Kuna kosa kubwa sana linafanyika kwenye hii issue ya madawa.
Kwanza, Hawa watuhumiwa kwanini wanatajwa kabla hawajatiwa nguvuni?
Pili, inakuaje unamtuhumu mtu kwa issue nzito hivi halafu badala ya kumkamata unampa muda mrefu hivi about 48 hrs kuripoti polisi? Is this how to deal with drugs?
Kweli Ma-Don wa Drugs ambao hata kwa majina huwajui vizuri unawapa 48 hrs uraiani?
Naunga mkono mapambano dhidi ya Unga, lakini naona kuna something fishy which is going on..!
Isije ikawa lengo ni kuchafuana tu, Mlianza vizuri tukawaunga mkono, lakini naona tayari mmeanza kuingiza siasa zenu!