Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mbowe atatuambia wqliokuwa wanaleta unga kwenye club yake ni kina nani, wahusika ni wengi sana weka hisia chini kwanza alafu mwisho utalalamika bt hapa tutaleta siasa ambazo si madaMakonda hazimtoshi kabisa sasa kama ni bilicanus mbona hajataja meli ya KINANA AMBAYO MAISHA IMEKUWA IKIBEBA UNGA NA YEYE MWENYEWE SIKU ZOTE AMEKIRI KWAMBA HAJUI MZIGO WA NANI
Iyo fidia walipa kwa mahakama ipi? Wakati jamaa saizi anamiliki mihimili yoteIkagundulika Waliotajwa Hawausiki Na Madawa Ya Kulevya Ataitisha Press Conference Kuwasafisha?
Nachomlaumu Makonda Ni Kutumiwa Na Raisi Kuchafua Watu Au Kushindwa Kutumia Busara.
Hawa Watu Wana Watoto Anajua Madhara Watakayopata Ikiwa Baba Au Mama Zao Hawausiki Na Biashara Hizi
Serikali Ijiandae Kuna Watu Hapa Watastahili Kulipa Fidia Kubwa Sana
Mkuu kweli haramu ni nyingi sana na ndo zinaingiza pesa serikalini , kila mwaka serikali inaongeza kodi kwenye haramu yaani vileviCasino ni mahali pa anasa nadhani kwa vile wanalipa kodi si mbaya na hata sigara ni hatari sana kwa watumiaji pengine kuliko mirungi lakini kwa 7bu kodi inalipwa sio mbaya, hata konyagi na zwenzake ni Kali sometimes kuliko gongo lakini ushuru tunakusanya so sio mbaya. Nothing good or bad just ask attitude to define
Haahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kadhi mkuu unavyowakatia majina hadi rahaUmchanganya madawa kidogo. Gwajima ni mzee Wa misukule, mzee Wa upako ni yule Wa bapa.
Kwa hiyo makonda kwa amri ya Magufuli yupo juu ya sharia anaweza taja majina ya watu atakavyo bila uthibitisho kwenye vyombo vya habari nakuwapa ultimatum si ndio ndio utawala wa kiumlawameitwa kwa mahojiano zaid sio kufungwa usibadili mada
Freeman Mbowe na Philemon Mbowe kimatamshi L na R vinafanana flani Hv ni makosa ya kiuandishi (kimantiki) lakini ujumbe haswa umefika na hadhira imeelewa nani anahitajika kuendelea kulijadili sana nibkupoteza Muda coz episode zinaendeleaTatizo sio kwenda bilicana, tatizo ni umakini wa suala kubwa kama hili, kitu ambacho unaongea kilichoandikwa kinatakiwa kiwe sawa na unachoongea /tamka ,leo mimi ukiniletea mfano jina la musa kikwete nikiamka kutaja mbele za watu siwezi kusema mheshimiwa kikwete raisi mstaafu nakuhitaji polisi kesho, hata aliyenipatia jina hilo atanishangaa. Tusiwe kama wale waandishi wanaondika kuvutia magezeti kuwa raisi kafariki kumbe ukiingia ndani unakuta raisi wa shirikisho la mpira, kama unataka vitu kama hivi bila kuwa na umakini wowote ukitaka kufurahisha tu watu basi vitu vingi sana serikali itashindwa, sio swala la ukawa wala ccm.
Iyo fidia walipa kwa mahakama ipi? Wakati jamaa saizi anamiliki mihimili yote
Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.
Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.
Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...
Tega usikie....(Stay Tuned)
=======
hii vita ishakuwa vita ya maji maji
umenena vyemaKuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
nacholaum ni utaratib wa kumsummons mahakamani...ikiwa hana hatia je...haikuwa na ulazima kumtaja au kuwataja redioni wakati sheria ziko wazi kuwa unakuwa innocent until proven guilty....the treatment now inakuwa ka tayar wako proovedSijui citation naipata wapi lakini nilisoma kuwa ukweli ni ule uliosemwa na mahakama na si vinginevyo (justice) wana sheria watanisaidia, Manji na Chidi Benzi wote ni binadamu it doesn't matter una msaada gani kwa nchi kama utatoa sadaka hata m wananchi mmoja kwa madawa ya kulevya na uachwe kwa 7bu umeajiri miamoja. Tusubiri episode inayofata ukweli utakuja tu,
Naona hapo le mutuz hajamweka jamaa yake kwenye list husein pambakali kuwaficha flower wake.Je kweli hii imekaaje kisheria endapo wataweka wanasheria na wao wasipofika Central polisi kutakuwana hatia yoyote??![]()