Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Linapokuja suala nyeti kama madawa ya kulevya halina cha mkuu wa mkoa wala rais, vita ni ya watanzania wote wazalendo ambao nguvu kazi ya taifa lao imeangamia kwa miaka mingi sana! Sidhani na wala sifikirii kama wazazi wanafurahi kuwaona watoto wao wakiwa katika matumizi yaliyokithiri ya madawa ya kulevya! Si vyema watu wachache katika taifa lenye watu takribani milioni arobaini kujineemesha kwa biashara haramu ya dawa za kulevya...so kabla hatujamnyooshea Makonda kidole kuhusiana na issue alizoibua Msukuma MP ni vyema kuiacha sheria ichukue mkondo wake ili kupunguza au kutokomeza kabisa issue za madawa ya kulevya japo nami nakiri ni ngumu kutokana na reputation ya wahusika katika jamii! Time will tell!
 
Makonda hazimtoshi kabisa sasa kama ni bilicanus mbona hajataja meli ya KINANA AMBAYO MAISHA IMEKUWA IKIBEBA UNGA NA YEYE MWENYEWE SIKU ZOTE AMEKIRI KWAMBA HAJUI MZIGO WA NANI
Ndo mbowe atatuambia wqliokuwa wanaleta unga kwenye club yake ni kina nani, wahusika ni wengi sana weka hisia chini kwanza alafu mwisho utalalamika bt hapa tutaleta siasa ambazo si mada
 
Ikagundulika Waliotajwa Hawausiki Na Madawa Ya Kulevya Ataitisha Press Conference Kuwasafisha?

Nachomlaumu Makonda Ni Kutumiwa Na Raisi Kuchafua Watu Au Kushindwa Kutumia Busara.

Hawa Watu Wana Watoto Anajua Madhara Watakayopata Ikiwa Baba Au Mama Zao Hawausiki Na Biashara Hizi

Serikali Ijiandae Kuna Watu Hapa Watastahili Kulipa Fidia Kubwa Sana
Iyo fidia walipa kwa mahakama ipi? Wakati jamaa saizi anamiliki mihimili yote
 
Casino ni mahali pa anasa nadhani kwa vile wanalipa kodi si mbaya na hata sigara ni hatari sana kwa watumiaji pengine kuliko mirungi lakini kwa 7bu kodi inalipwa sio mbaya, hata konyagi na zwenzake ni Kali sometimes kuliko gongo lakini ushuru tunakusanya so sio mbaya. Nothing good or bad just ask attitude to define
Mkuu kweli haramu ni nyingi sana na ndo zinaingiza pesa serikalini , kila mwaka serikali inaongeza kodi kwenye haramu yaani vilevi
Sasa labda tuweke kodi kubwa sana kwenye hii haramu ya madawa ya kulevya au tupambane na hii haramu moja? Ujuwe hata kumpangishia nyumba hawara ni haramu mfano ukimpangishia masogange nk.
 
wameitwa kwa mahojiano zaid sio kufungwa usibadili mada
Kwa hiyo makonda kwa amri ya Magufuli yupo juu ya sharia anaweza taja majina ya watu atakavyo bila uthibitisho kwenye vyombo vya habari nakuwapa ultimatum si ndio ndio utawala wa kiumla
 
Tatizo sio kwenda bilicana, tatizo ni umakini wa suala kubwa kama hili, kitu ambacho unaongea kilichoandikwa kinatakiwa kiwe sawa na unachoongea /tamka ,leo mimi ukiniletea mfano jina la musa kikwete nikiamka kutaja mbele za watu siwezi kusema mheshimiwa kikwete raisi mstaafu nakuhitaji polisi kesho, hata aliyenipatia jina hilo atanishangaa. Tusiwe kama wale waandishi wanaondika kuvutia magezeti kuwa raisi kafariki kumbe ukiingia ndani unakuta raisi wa shirikisho la mpira, kama unataka vitu kama hivi bila kuwa na umakini wowote ukitaka kufurahisha tu watu basi vitu vingi sana serikali itashindwa, sio swala la ukawa wala ccm.
Freeman Mbowe na Philemon Mbowe kimatamshi L na R vinafanana flani Hv ni makosa ya kiuandishi (kimantiki) lakini ujumbe haswa umefika na hadhira imeelewa nani anahitajika kuendelea kulijadili sana nibkupoteza Muda coz episode zinaendelea
 
Iyo fidia walipa kwa mahakama ipi? Wakati jamaa saizi anamiliki mihimili yote



Haki Isipopatikana Nchini Kuna Mahakama Za Kimataifa Na Tanzania Ni Mwanachama Itapatikana Tu

Pesa Tu Inaongea Wanasheria Wapo Tayari
 
Kwa nini wasiwafatilie kimya kimya wawakamate na ushahidi kabisa then waite press,
 



Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.

Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.

Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...

Tega usikie....(Stay Tuned)

=======

Umeweka picha ya Freeman Mbowe inahusiana vipi na bandiko lako?Listi ulotoa aliyetajwa namba 54 ni Philemon Mbowe sasa hao si watu wawili tofauti au na wewe ushabugia miunga iyo unatokwa povu bila kutathimi unachokiandika?
 
IMG_3050.JPG
IMG_3051.JPG

IMG_3052.JPG


Hii List inaonekana iliandaliwa chap chap sana. Hata huyu Muaandaji hakupata muda wa kuipitia vizuri na kuihariri kwa umakini.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuwapa waandishi orodha "rough" kama hii sio sawa.

Naona huyu namba 54. Kwenye matamshi alitamkwa Freeman Mbowe, Mbunge wa Hai, lakini kwenye hii list FREEMAN MBOWE hayuko ila kuna ambaye ameandikwa Philemon Mbowe.

Hii ni kwa huyu tunayemjua, sijui hao wengine tusiowafahamu.!
Hata hayo makampuni ya mafuta, Hakuna kampuni inayoitwa TANGA PETROLIUM, bali kuna kampuni inayoitwa TANGA PETROLEUM.

Makonda awe serious kidogo.
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
umenena vyema
 
Ktk orodha ya Leo mchana kumejitokeza majina mazito kadhaa akiwemo mwenyekiti Wa chadema taifa,Ask Gwajima,Yusuf Manji na Iddi Azan,hao in baadhi wanaotakiwa kuripoti central
Sasa kuna orodha kamili alowaachia waandishi itolewe copy na isambazwe kwa waliopata copy waturushie humu maana Leo kasema ni watu 75, awamu ya pili, Nani wengine?


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Sijui citation naipata wapi lakini nilisoma kuwa ukweli ni ule uliosemwa na mahakama na si vinginevyo (justice) wana sheria watanisaidia, Manji na Chidi Benzi wote ni binadamu it doesn't matter una msaada gani kwa nchi kama utatoa sadaka hata m wananchi mmoja kwa madawa ya kulevya na uachwe kwa 7bu umeajiri miamoja. Tusubiri episode inayofata ukweli utakuja tu,
nacholaum ni utaratib wa kumsummons mahakamani...ikiwa hana hatia je...haikuwa na ulazima kumtaja au kuwataja redioni wakati sheria ziko wazi kuwa unakuwa innocent until proven guilty....the treatment now inakuwa ka tayar wako prooved
 
301024b29312bfb27ec11bb74408d877.jpg
Je kweli hii imekaaje kisheria endapo wataweka wanasheria na wao wasipofika Central polisi kutakuwana hatia yoyote??
Naona hapo le mutuz hajamweka jamaa yake kwenye list husein pambakali kuwaficha flower wake.
 
Back
Top Bottom