Mtani mtata
JF-Expert Member
- Nov 5, 2015
- 475
- 341
Magufuli Kama ana akili Timamu amwondoe Makonda, Au inwwezekana Lengo la Kumtaja Yusuf Manji Gwajima na Mbowe ndio lililokusudiwa Tangu Mwanzo ili Kuthibiti Ushindani wa Lowassa! Yangu Macho, I think Makonda and Who ever is using him, are swiming in a new Lake of Darkness full of Alligators Piranhas and all Kinds of river monsters! Haya!
Mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.Respect,watu tulivyokuwa tunasema hii vita ni ngumu tulitarajia lazima watajitokeza wengi kumpinga Makonda.Angalia jinsi Polisi,Mwigulu walivyokuwa kimya
Hakuna mahakama ya wapuuzi kama wewe hapa duniani.Yule amejichanganya mwenyewe ngoja apewe alichokitaka, ukishashutumiwa hutakiwi kuongea ongea mana kila utakachozungumza kinaweza kikatumika mahakamani kukufunga ..... kuongea ongea hzo ni kazi za mawakili, kwahyo wema anakula alichokipanda! afu now ndo nimegundua kuwa hawa wasanii ni njaa tu yan anakosa ht wakili!!
Hakuna mahakama ya wapuuzi kama wewe hapa duniani.
Watuhumiwa wote wa Makonda wameshashinda hii kesi kabla hata haijafika kwa court.
Tunawataka GSM, ni kwa nini wameifunga Home shopping center?
ndiio maana walisema hii vita ningumu, kwasababu bado watanzania hatuutaki ukweli kuna watu hatutaki waguswe kabisa, unaposema kuchafuana kisiasa hivi mwanasiasa pale yupo pekee yake?Sasa manji nimsemee wa nini?? Wwe umemuongelea mbowe na hoteli yake ndio nmekujibu ssa manji anaingiaje kwenye hoteli ya mbowe???
Watever the case hao owners hakutaja jina ila alitaka owners hivyo haijalenga individual owner ila wanaweza leta mwakilishi??
Kwa mbowe imemlenga yye kma yye sio shareholder mwingine yeyote hta kma hiyo kampuni wamiliki ni watatu! Is it fair???
Yaani useme bar yangu wanauza madawa afu owners tuko watatu uniite mimi personally ni sawa?? Kwanni hakusema wamiliki wa mbowe hotels au bilicanas ili tujue analenga kampuni sio mtu kma alivyofanya kwa slipwaya na ile yatch club???
Mkuu kuna shida hapa ya kuchafuana kisiasa maana hta kma atahojiwa na kuonekana kma hana hatia bado itakuwa wimbo huo "CHAMA CHA WAUZA MADAWA".....this is so annoyin na round ya tatu watamtaja lowasa wait and see.
Siku utajwe wwe ndio utaelewa ilivyo ngumu kuijenga reputation upya
Nani kakwambia hawana ushahidi?Kumhusisha MTU na chochote kile kuhusu madawa ya kulevya bila ushahidi ni kuchafuana katika jamii
Nani kakwambia hawana ushahidi?
Kusaidia kutoa taarifa ZITAKAZO SAIDIA KATIKA VITA HII, sio kuchafuana ,acheni MAKONDA AFANYE KAZI
Kwa hiyo ulitaka washikwe wapi wale wanaoshikwa nayo tu au. Ninyi mtarudi kuema hapa wauzaji hawashikwi kwani ni agf=halabu wao kuyabeba! Kweli unanikumbusha hadithi ya mwarabu na Punda! Wngine wanasaidia uchunguzi tu, povu la nini?!?!?! Ikidhihirika hawahusiki itatangazwa!Kumhusisha MTU na chochote kile kuhusu madawa ya kulevya bila ushahidi ni kuchafuana katika jamii
Sasa mtu unayemhitaji akupe taarifa nyeti unamtaja hadharani?! Vipi kuhusu usalama wake?!Kusaidia kutoa taarifa ZITAKAZO SAIDIA KATIKA VITA HII, sio kuchafuana ,acheni MAKONDA AFANYE KAZI
Kama wanaushahidi kwann wangoje ijumaa badala ya kuamuru polisi wawakamate? Mwenye akili timamu anaelewa mchezo unaofanywa na makonda lkn hauwezi kuwa nawisho mwema.Nani kakwambia hawana ushahidi?