Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Kwa hiyo nikimpigia simu na kumwambia nanihii naye anatumia dawa, kesho atakwenda kwenye media kumtaja??? Ha ha ha, hii nchi sasa inakuwa hatari kweli kweli...

Hiki hujakisoma post namba moja? "Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza" - RC Makonda
 
Hawa walio tajwa wanatakiwa wamfikishe jamaa mahakamani wadai kulipwa fidia ya kuchafuliwa majina. Huyu mpayukaji anatakiwa kufundishwa adabu sasa
 
Kwa utawala huu uliojaa kutengeneza matukio na kuishi kwenye midomo ya media..nadhani uchumi wa viwanda tutasubir sanaaa
 
Mbowe bado muhimu ila kweli hizisoft politics za akina lowassa waachane nazo kabisa wanachezewa kwa sababu wamesuccumb ccm ya sasa ni mtulinga kwa mtulinga period
Sasa kama hawaruhusiwi hata kufanya mikutano wategemea nini?
 
JamiiForums mmeonesha namna gani mlivyo wa hovyo naomba Freeman Mbowe awashtaki JamiiForums kwa kumchafulia jina.
 


Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.

Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.

Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...

Tega usikie....(Stay Tuned)

=======
UPDATE:
=======

ORODHA KAMILI:

View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.

Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.

Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.

'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda


'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda

'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda

'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda

'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda

'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda

'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda

'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda

'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda

'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda

'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's

'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda

'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda

'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda

'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda

Hii


Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.

Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.

Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...

Tega usikie....(Stay Tuned)

=======
UPDATE:
=======

ORODHA KAMILI:

View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.

Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.

Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.

'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda


'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda

'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda

'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda

'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda

'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda

'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda

'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda

'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda

'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda

'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's

'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda

'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda

'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda

'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda

Hii video imefungwa tena, tuleteene tuisikilize vizuri.
 
Philemon Mbowe ni nani?
Mwenyekiti wa cdm si ni Freeman Aikael Mbowe, ndio maana kwenye radio alisikika kuongeza maelezo ili kuonyesha kwamba ni Mbowe wa cdm. Sasa je, kisheria itakuwa ni sawa Mh. Freeman Mbowe kuitikia wito au mpaka ifanyike clarification ya typing error!?
 
wasiishie kutajwa funga kabisa nimeharibiwa mdogo wangu alikuwa na akili sana darasani akageuka kuwa teja mara ya mwisho alipona kuuliwa kwa kuchomwa moto alichukua blanket nyumbani akauze apate unga watu wakafikir kaiba kwa majirani alipigwa sana na aliamwagiwa mafuta mwenyekiti wa kijiji aliokoa maisha ya mdogo wangu kwa kuwatuliza raia baadae ukweli ukaja kujulikana alichukua nyumbani lakini baada ya kupona kuchomwa roho inaniuma sna tumempeleka soba kila mwisho wa mwez tunalipa laki mbili na nusu madawa hatar sana napenda ushahidi uwepo wenye nguvu


bado namuunga mkono makonda hapa hamna siasa kama azan na husein wametajwa sana manji kaongelewa sana kupitia yanga hakuna jipya ambalo wanasingiziwa hapo.

kila nikimuangalia mdogo wangu naumia sana kifo cha moto noma sana alichopona nacho kijana mdogo sna miaka 25
Pole sana mkuu...madawa ni hatari sana aisee!!
 
nauliza hao aliowataja wapo chini ya ulinzi wa polisi au wako mtaani wanakula bata....?
 
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.

Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Mbona wa kijani haujawataja,
Rais alisema hata awe mtoto wa nani,sasa mbona haumtaji huyo mtoto wa nani?
 
nimekuwa nikifuatilia snaa hizi inshu za drug dealers america ..karibia kila kiongozi yoyote america anapokuja na sera za kuwakamta wauzaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya america huwa anaishia kufa gafla au kupigwa risasi....

hii ni kwa sabab drug dealers wana mtandao mkubwa sna na wanafadhiliwa na watu wenye pesa kama mtandao wenyew unavyojulikana kuwa kuna pesa ....yani kila drug dealer mkubwa lazima awe na bastola yani hicho ni kitu cha kawaida snaa ....manake kama ingekuwa ni america wew unayetangaza watu hadharani na kusema wajisalimishe yan tayr unaanza kuwindwa na wew..unawinda huku inawindwa pia ...
ile ni vita kubwa snaa sijui kwa hapa bongo
..(cursed skinned ppl)
itakuwaje...
kama kweli na wao wana mtandao mkubwa sijui tu lazima mtu afe hapa...unless otherwise wawe ni drug dealers uchwara.....
but kama kweli ni drug dealers under sponsored mamaaaae kuna damu zinamwagwa...

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Mkuu huyu jamaa anafanya mzaha anafikiria hii ni kazi yakutafutia umaarufu subiri kitakachofuata kabla 2020 ndio utaniambia nini maana ya mtandao........
 
Back
Top Bottom