Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Hivi mbunge wa Ilala anaitwa nani? na yule alokuwa wa Kino anaitwa nani?....nani ni Zungu kati yao...haya majina na la huyo alowekwa hapo juu ni kama yanafanana....wasije mharibia mtu asiyehusika
Kino Idd Azzan
 


Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.

Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.

Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...

Tega usikie....(Stay Tuned)

=======
UPDATE:
=======

ORODHA KAMILI:

View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.

Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.

Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.

'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda


'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda

'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda

'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda

'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda

'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda

'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda

'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda

'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda

'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda

'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's

'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda

'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda

'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda

'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda






Dah huu ukuu wa koo na ulevi - tusubiri ngano za chifu
 
Is it Philemoni or freeman mbowe? mbowe sijawahi msikia na issue kama hizi, hata majina mengi yametolewa humu ndani miaka mingi lakini sikuwahi sikia, au ameletwa kubalance mambo?
 
Nataka kijua Huyo Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema,maana tusijekuwa tunadhani ndio yeye kumbe ni mwingine
 
Hawa walio tajwa wanatakiwa wamfikishe jamaa mahakamani wadai kulipwa fidia ya kuchafuliwa majina. Huyu mpayukaji anatakiwa kufundishwa adabu sasa
Fidia Bongo...mahakama umesikia ndio chaka la wahalifu...
 
Inaelekea huko Police Central Wema Sepetu anamwaga ubuyu mtamu wa Vinto. Ndio maana apandishwi mapema mahakamani
 
Bahati mbaya

Siasa imeingizwa tangu awali upuuzi wa hiyo orodha upo kwenye neno WATUHUMIWA

Ijumaa wataitika na jion watarudi mitaani

Lema = mchochezi ......ndani

Lisu = mchochezi........ndani

Mbowe = dawa za kulevya.......ijumaa

CUF = Wamepewa Lipumba kuiuwa

Zito = mchochezi anawindwa

Hii inaongeza kutambulika zaid kwa hawa watu.......badala ya kuangamiza upinzani.....ndani ya mioyo ya watanzania chuki kubwa dhidi ya ccm inajijenga
 
Mbona sijamwona huyo Freeman Mbowe? Anayeonekana hapo ni Philemoni Mbowe. Au Freeman Mbowe anaitwa pia Philemoni?
 
Philemon mbowe ni sawa na freeman mbowe?

Hilo ndio swali langu pia. Aliyeorodheshwa kwenye orodha iliyowekwa hapa ni Philemoni Mbowe. Clearly, huyo hawezi kuwa Freeman Aikaeli Mbowe. Sijamsikiliza Makonda wakati anataja haya majina. But it will be interesting to know kama alitaja Freeman Mbowe wakati orodha inasema Philemoni Mbowe. Kama wamekosea makusudi, basi watakuwa na lengo la kui-confuse jamii. Je, kuna mtu anafikiri jina la Freeman Mbowe linaweza kukosewa? Kwamba mtu aandike Philemoni Mbowe badala ya Freeman Mbowe? Maybe. Kukosea makusudi ni siasa.
 
Kukaa kimya sio kwamba hawatendi......hawa wanaweza kuwa bora 100 times makonda

Kelele na vita ya dawa za kulevya wapi na wapi? = maji na mafuta ya taa

kelele nikuwaepusha wahusika wajifiche na kuficha ushahidi
Tulishaligundua hili zamaaaaaaani hizi kelele hizi vibuyu vyote vinapasuliwa
 
Hahaha kumbe kweli chadema sisi huwa Manyumbu yaani wa Afrika bwana hawajashtuka bado kinachoendelea. In short Mwisho WA ubaya umeanza kuonekana.. Wengi hamjui kama uchaguzi wa mwaka JUZI ulikuwa ni baina ya makundi mawili wasafi na wachafu kama Unakumbuka team mbili za ccm kubwa kwenye Mchakato zilifeli zote. Rais akawa magufuli. Kisha wabaya wakaungana wakawatumia Manyumbu.. Eeh MUNGU asante kutuonyesha Kiongozi mzuri.. Wengi mna akili ya kijinga ETI mmeishia kumkosoa makonda.. Mnashindwa Kujua kwamba hii vita ni ya magufuli mwenyewe Ila anatumia tu makonda.. Heshima Sasa inarudi.. Hahahahahahahahahahahahahahah Leo Nina furaha Sana.. Subirini phase namba tatu atatawajwa tu na huyo drug dealer mkubwa kabisa.... Bye bye chadema ya wachafu.. Mkae wanachama tujitafakari tuchague viongozi wenye Nia kweli sio Hawa wafanya biashara wenye kumiliki sehemu za starehe.. Wake up. Mnashindwaje kujua kwamba kelele zote Sasa kishindo chake hatari
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia

43f5dd645d2131afae370625a6bdbe00.jpg


Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.

Mtafukua sana mwaka huu ila mwisho wa siku mtonyooka tu ..... tukutane central ijumaa!
 
Back
Top Bottom