jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
bashite ni mjadala katika/ wa kwenye watsa'ppp hapa ni kwa GTsMambo sasa ni ni bashite tu hayo mengine ni yako tu.
Swissme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bashite ni mjadala katika/ wa kwenye watsa'ppp hapa ni kwa GTsMambo sasa ni ni bashite tu hayo mengine ni yako tu.
Swissme
Wewe nae ni GT?au wewe ni jingalao kielehele wa ccmbashite ni mjadala katika/ wa kwenye watsa'ppp hapa ni kwa GTs
Najiuliza inakuwaje Slaa na Zitto kukaa kimya hapo zamani na hatimaye hivi sasa kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya mwenyekiti wao wa chama wa enzi hizo??r 1.Je Slaa na zzito hawakujua kuwa mwenyekiti wao anakwepa kodi??au kuhujumu NHC ???...je hawakujua ya kuwa anahusuka na ngada(rejea list ya Makonda) ina m hawaaana gani kwa hawa watu wenye uwezo wa kupa ta nyeti za watu ikiwemo serikali waushindwe usanii wa mbowee.kuna male.ezo zaidi ya kumfichia siri?
Alfajiri yote hii mwanaume unaanza na umbeya ??!! Tanzania ya viwanda hiibashite ni mjadala katika/ wa kwenye watsa'ppp hapa ni kwa GTs
Anzisha mada yaƙoTuambie kuhusu kununua umeme kutoka Ethiopi
Duuh...Wewe nae ni GT?au wewe ni jingalao kielehele wa ccm
Swissme
Mkuu hapo kwenye Hub naomba unieleweshe kidogo. Ina maana watakuwa na hub ya ndege zao kuanzia DSM kwenda mataifa mengine bila kupitia Adis?..hakuna anayepinga Tz kuunganisha nguvu na kuwa na mahusiano ya kiuchumi na nchi majirani na za Afrika kwa ujumla.
..particularly naunga mkono Ethiopian Airline kufungua HUB hapa Dsm.
..tena ningependa waweke hub (abiria na mizigo) nyingine kanda ya kaskazini ili kusaidia sekta ya utalii na sekta ya kilimo cha maua.
..zaidi naunga mkono mashirikiano ktk sekta ya nishati. Mpango wa kuwa na grid ya pamoja kuanzia Ethiopia, Kenya, Tz ni mzuri.
..nisichokubaliana nacho ni madai yaliyotolewa kuwa mizigo ya Ethiopia itakuwa ikiletwa bandarini Dsm na baadaye kupakiwa ktk ndege kwenda Addis Ababa.
..lingine nisilokubaliana nalo ni hoja ya kufundishwa na Waethiopia jinsi ya kuzalisha umeme wa maji. Naamini utaalamu huo waTz tunao. Tumekuwa na miradi ya Kidatu, Mtera, Pangani, ..miongo kadhaa kabla Ethiopia hawaanza mradi.
..lakini vilevile kwa mazingira yetu, umeme wa maji siyo wa uhakika. Tulishaamua kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme wa gesi.
..Idea ya kushirikiana na Ethiopia ni nzuri. Tatizo nimeliona ktk hoja za JPM ambaye alijikita zaidi kuomba-omba hata mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu.
..
RUDI KWENYE TOpiC ....hoja hujibiwa kwa hoja....kihelehele ndio msemo wa namna gani??again...acha mipasho ya facebook na watsapp jjibu hojaWewe nae ni GT?au wewe ni jingalao kielehele wa ccm
Swissme
wote hao tunajua walikuwa compromised kwa namna moja ama nyingine katika zama hizo...swali la muhimu hawa wawili walikuwa mstari wa mbele sana kupinga maswala ya ukwepaji kodi na waliichachafya serikali na waliaminika kwa kupata taarifa nyeti za ubadhilifu,ufisadi,ngada n.k....Je inawezekana walikuwa na taarifa zza mbowe lakini wakazihold??....uzalendo wao tuliouamini uko wapi??ni kwa nini hadi leo hawajacomment lolote kuhusu tuhuma zinazomgusa mbower?Mbona unawataja Dr. Slaa na Zitto pekee
Kwa nini hukuanza na
TRA walikuwa hawajui?
NHC walikuwa hawajui?
KITENGO CHA MADAWA nao walikuwa Hawajui?
Badala ya kuanzia kujenga hoja zako kwenye shina wewe unaaznia kwenye matawi
That is your take...kwa hiyo unamaanisha Yohana ni...
P.
KWA NINI USINYAMAZE AU KUONGELEA YA LEVEL YAKO????Wewe kama ni meli Huwezi ingia ɓanɗari ya mtu bila visa hiyo visa inaitwa mkataɓa wa ushiriƙikiano wa usafiri ambao lazima usainiwe na raisi ingeƙuwa ƙila meli ruksa kuingia za alkaeɗa na alshaɓaɓu zingeƙuwa zinaingia tu ɓila shida kwani hakuna restriction
Mbaya zaidi wanaungana dhidi ya MakondaKuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Kwa hakika watu wamenyooshwaVita dhidi ya madawa ya kulevya inahitaji mikakati na umakini wa hali ya juu lakini kwa jinsi hali inavyoenda sidhani kama kuna mwanga mbele zaidi ya siasa za muda mfupi