Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Mimi nimeenda Maka na madina mara kadhaa sijaona ibada ya kubusu jiwe
Kwenye Qur'aan kuna Aya nyingi zinazungumzia kusali
Waislamu mnaliabudu jiwe , na jiwe linasamehe dhambi zenu na pia litahukumu siku ya mwisho kwa kutoa ushaidi kwa Allah , yani dini yenu inaelekea mpo watupu Sana hamjui vitu vingi Sana

Itakuwa hata hujui jiwe ni mkono wa Allah
 
Usiwaonee huruma hata kidogo.... Waarabu waliwatumikisha mabahu zetu kwa ukatiri wa kutisha kuliko hao wazungu wanachowafanyia......

Hebu tujionee huruma kwanza sisi miafrika kabla ya kuwaonea hao wasio na huruma hata kidogo na ww
Trans Atlantic slave trade ilifanywa na Wazungu
 
Waislamu mnaliabudu jiwe , na jiwe linasamehe dhambi zenu na pia litahukumu siku ya mwisho kwa kutoa ushaidi kwa Allah , yani dini yenu inaelekea mpo watupu Sana hamjui vitu vingi Sana

Itakuwa hata hujui jiwe ni mkono wa Allah
Hayo ni maneno ya mtu aliyekata tamaa na asiyejua. Fanya juhudi ktk kujifunza kwanza
 
Noted
 
Bila ya kuleta ushahidi wowote huo Ni chuki binafsi
Biashara za utumwa zilikuwa nyingi, Waarabu waliongozwa na akina Tip Tip kufanya biashara za utumwa.Tena waarabu walichokifanya kibaya zaidi ni kuwaasi wanaume wa kiafrika ili wasizaane.
 

ADF imegundua kuwa ni mshirika wa ISS
 
Waislam wanapinga ushoga wazungu wanaupenda na hata kubariki ndoa za jinsia moja ndani ya mahekalu, waislamu hawakubaliani nao nasubiri muanze kuzibariki ndio muwe wafuasi wazuri watiifu wa wazungu Ndio maana muislam ataitwa gaidi sababu anapinga vingi ambavyo wazungu kwao ni sahii
 
sawa! Asante
 
Unavyoulilia uislamu wakati uliwachukua babu zako mateka utumwani inashangaza.. ukristu pia ulifanya ufisadi huu huu
 
N
Unavyoulilia uislamu wakati uliwachukua babu zako mateka utumwani inashangaza.. ukristu pia ulifanya ufisadi huu huu
Taifa lipi la kiarabu uliwahi sikia limedaiwa fidia ya utumwa ikiwa hakuna ni mataifa yapi yalidaiwa na kulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…