Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyomuelewa mleta mada alikuwa anajaribu kuangalia kama huyu mr.whiteman anayaishi yale anayojifanya kuyahubiri...maana hapa walitaka kususa wasicheze hii mechi kisa wamefanyiwa ndivyo sivyo(vita nje ya uwanja) sasa baada ya kuwa vita hiyo ya figisu wameishindwa wameamua kuihamishia uwanjani....napo wakashindwa ,mpira wa afrika umetawaliwa na figisu nashangaa yeye anavyoishikia bango simba [emoji23][emoji23][emoji23]Hii game nadhani ilikuwa ni kule Nigeria, ndugu zetu yanga walipata misukosuko, hapo anachofanya manara ni kuhamasisha timu, kuboost morali ya timu.
Shida kwangu naona anatoa maelezo kwa goalkeeper, sasa kitaalamu hii haijakaa sawa, je maelezo anayotoa yanaendana na kocha!?
Au mleta mada ulizungumzia vita ya nje kwa maana uchawi, hii iko wazi kabisa sisi watz(Afrika kwa asilimia kubwa tunaamini uchawi katika soka) sio wao tu yanga, hata sisi SIMBA sc tunaamini katika hilo.
[emoji23][emoji23]UJINGA NA UPUMBAVU ULIOKITHIRI
1) Msemaji wa Timu (ZeruZeru) yupo kwenye Benchi la Ufundi anatoa maelekezo yake.
2) Enjenea Harth Saidi (Sijui chake ni Kipi kwenye Yanga) yupo kwenye Benchi la Ufundi anatoa maelekezo.
Lakini Timu ina Kocha na Benchi lake la Ufundi.
Halafu Utopolo hii inayocheza kwa Maelekezo ya Manara ilihitajika iwafunge Wanaijeria.
Amekwenda kwa diara hajui amwambie nn kabaki kusema ...diara war,diara war,war diara war war war waa waa waaa waaaaaakweli Simba tupo mbali sana. sasa huyu msemaji anafanyaje bench la ufundi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kweli Simba tupo mbali sana. sasa huyu msemaji anafanyaje bench la ufundi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukizingatia Diara katokea ukanda wa vita huko, akashangaa inakuwaje tena mabunduki uwanjani.Amekwenda kwa diara hajui amwambie nn kabaki kusema ...diara war,diara war,war diara war war war waa waa waaa waaaaaa
Albino ana shida sn huyu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app