Vita hewa vya kiuchumi na Dhuluma kwa wawekezaji wazawa

Vita hewa vya kiuchumi na Dhuluma kwa wawekezaji wazawa

Kwa hiyo hujaona taarifa ya CAG? Na kwa nini hadi leo hii Serikali haileti majibu ila inajizungusha tuu?

Ndio maana Wadau wanaitaka serikali ifanye uchunguzi inaruka ruka tuu 👇
kwahiyo source yako ni raia mwema? raia mwema ni gazeti?

halafu nakuhakikishia Magufuri angekua amefanya ufisadi hata wa laki moja, hii serikali ingekua imeweka data zote wazi na sio kauli za kina utouh pekee
 
kwahiyo source yako ni raia mwema? raia mwema ni gazeti?

halafu nakuhakikishia Magufuri angekua amefanya ufisadi hata wa laki moja, hii serikali ingekua imeweka data zote wazi na sio kauli za kina utouh pekee
Tupe source yako inayoonyesha hakuna Ufisadi..

Yaani Serikali wanaoshitumiwa hawatoki kujitetea ila wewe kenge kenge mmja ndio unajifanya kuijua Sana Serikali kuliko CAG Assad na Utouh?

Acha ufala wewe,hii pesa itachunguzwa tuu hata kama sio Samia watakuja wengine watawatafuta,aliyepona ni Mwendazake aliyekufa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    151.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-125655.png
    Screenshot_20220719-125655.png
    43.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-125349.png
    Screenshot_20220719-125349.png
    46.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-125402.png
    Screenshot_20220719-125402.png
    54.7 KB · Views: 4
Tupe source yako inayoonyesha hakuna Ufisadi..

Yaani Serikali wanaoshitumiwa hawatoki kujitetea ila wewe kenge kenge mmja ndio unajifanya kuijua Sana Serikali kuliko CAG Assad na Utouh?

Acha ufala wewe,hii pesa itachunguzwa tuu hata kama sio Samia watakuja wengine watawatafuta,aliyepona ni Mwendazake aliyekufa 👇
Bila shaka we ni mwehu au shoga!
 
Nimekwambia lete data za uhakika kwamba magufuri alichukua hiyo pesa, unaniletea kauli za wapumbafu wenzako kina utouh na assad,
Na mimi nakwambia hivi kuna siku mtazitapika,shida nini? Jinai haiozi..Atayepona ni Jiwe aliyekufa subiria Katiba mpya ije Wala usipate tabu just wait time itasema ukweli..
 
Magufuri alijitahidi kuleta ukombozi wa fikra, alijua ukimkomboa mwanadamu kifikra umemkomboa kiuchumi!

vita ya kiuchumi aliyopigana magufuri ni pamoja kuondoa mianya ya kukwepa kodi kwa wafanyabiashara wa ndani na nje ya tanzania, na hili alifanikiwa

na kilichomsaidia hakuangalia mtu usoni, hakujali ulimsaidia kwenye kampeni zake au lah, mfano kuna radio pale mwanza ilimpa airtime sana wakati wa kampeni kumbe wale jamaa ni wakwepa kodi, alichofanya kila mtu anajua

kwahiyo ukiangalia wafanyabiashara ambao wanalalamika waliumizwa na magufuri, wengi ni wakwepa kodi wakubwa na walizoea wakajua kukwepa kodi ni kawaida hivyo alivyowazuia wakamuona mtu wa ajabu

for me Magufuri was the best president we ever had after nyerere.

Sadist
 
kwahiyo source yako ni raia mwema? raia mwema ni gazeti?

halafu nakuhakikishia Magufuri angekua amefanya ufisadi hata wa laki moja, hii serikali ingekua imeweka data zote wazi na sio kauli za kina utouh pekee

Magazeti yenu ya Tanzanite yako wapi siku hizi.
 
Tanzania sio wageni kwa FDI tumekuwa nazo na hazijawahi kuwa na manufaa yoyote.

Kodi ndogo na ajira za kubangaiza hazina maana yoyote.

Tuna hitajika kuwa sehemu ya uwekezaji wowote na sio kuokoteza makombo ya kodi na ajira za kuonewa huruma.

Nchi kama Botswana na nyinginezo zina mifumo mizuri ya uwekezaji ambayo inawanufaisha wananchi na approach ya awamu ya tano ilikua ni kutupeleka huko.

Ila sasa kinachofanyika ni kurudi kule kule Misri ambapo watanzania wanageuka watumwa kwenye nchi yao wenyewe.
Sawa mkuu. Lakini hebu tuwatizame hawa watz kwa undani..

Watz ni liability katika uwekezaji katika nchi yao.. kwa sababu
1. Walio wengi hawana upeo wa kiuwekezaji, wanafikiria tu ajira.. ajira..
2. Watz hawana mitaji na vyombo vya kifedha vya ndani haviko tayari kuwakopesha. Na kutokana na la kwanza hapo juu, mabenki yanaweka riba kubwa kwa sababu risk ni kubwa ukimkopesha mtanzania ambaye hana experience/connections/attitude sahihi katika uwekezaji

3. Ujuzi hafifu.. watz wengi hawana ujuzi (technical skills) karibu katika kila uwanja wa maendeleo, kuanzia kilimo hadi kuchakata chuma.. hii inatokana na sababu za kihistoria.. kwamba mfumo wa elimu uliopo sasa na uliokuwapo toka kale hauna mashiko wala misingi stahiki.. upo kama boshen, ili tu ijulikane watoto wanaenda shule wakati hakuna lolote. Siasa za elimu ya Tz hazieleweki kabisa, ni vigumu kufahamu kama nchi ni kitu gani tunakitaka.
4. Wivu wa viongozi wazawa dhidi ya wazawa.. viongozi wa Tz hawana akili kabisa kwani wao huamini locals wakiwa na pesa basi ni vigumu kuwacontrol. Jambo hili ni kweli kabisa. Sasa kwa vile uongozi wa nchi hii upatikanaji wake ni wa kimichongo na kikashfa hivi, watu wenye pesa na wanaojitambua wasingekubali kirahisi kufanyiwa mambo ya kikhanithi. Kwa hiyo ni sala za viongozi na hila za wazi kuhakikisha watz wanaendelea kuwa mafukara na waendelee kuwa yes men ili viongozi wale kiulaini

5. Watz wengi bado ni mbumbu mbumbu, tena wenye ile mentality ya "hainihusu". Hata katika hali ambayo watz wanakandamizwa, basi wao kila mmoja kwa wakati wake husema hainihusu.. kwa ujumula hii ni akili ya kizembe sana, na kwa sababu imejengeka kwa muda mrefu, basi watz wataendela kuumia kwa miaka mingi ijayo. Sikuamini wakazi wa Kimara walivunjowa nyumba zao tena mchana kweupe na bila fidia na hakuna kilichotokea.. niliumia sana rohoni. Hata kuitisha maandamano, kufunga barabara.. watu waliona powa tu kwa vile hiyo kadhia haikuwahusu.. watz ndo tulivyo.. tunaona powa..

Nikirudi kwenye mada, Mtakatifu Jiwe alitumia udhaifu walio nao watz kufanya alivyofanya. Si kwamba huo ni mwisho, unaona pia aliyemrithi amefanya hivyo.. kuamua kwamba mfanyakazi aongezewe buku 10, hata kama sheria ya Establishment inataka kila mfanyakazi kuongezewa mshahara kila mwaka kuendana na hali ya mfumuko wa bei.

Mwisho, kina Jiwe wataendelea kuwepo, na pengine kuharibu zaidi, kwa sababu tuna style mbovu ya maisha kama watz.

Asantee
 
Muacheni magu apumzike magu Ni rais wa. Africa na marais wa Africa wamejifunza kwa magu jinsi ya kuendesha serekali pmj na katiba mbovu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Approach ya serikali ya awamu hii ni kuwakandamiza wazawa na kuwafurahisha wageni.

Hii ni approach mbaya.

Wapiga kura ndio wa kupewa kipaumbele na sio hao wanaokuja kujinufaisha na kuondoka.

Kwahiyo hao wenye bureau de change hawakuwa wapiga kura?
 
Back
Top Bottom