Vita kati ya jide na luge wa clous fm

Ukiona wenzako wanagombana chukua jembe ukalime
 
Naamini Mungu yupo na siku zote husimamia ukweli na usawa. Basi hapo Mungu atadhihirisha ukweli kwa kumuumbua mkandamizaji na kumwenua mkweli

Mambo mengine mungu ameyaacha dunia ili atoe adhabu siku ya malipo, angekua naadahibu wanyonyaji papo kwa papo mabepari/mabeberu wangeshatoweka kwenye uso wa dunia.
 
Huyu Luge nae kila mtu anamlalamikia atakuwa na matatizo
 
Sawa labda kuongea Kiswahili kidogo kuna ugumu hata kuandika pia??????? Kie kie kie kie
 
Hii bidii tungewekeza kwingine mbona tungetoka tu.......
 

Uwe unatafuta msaada kabla ya kupost, Yaani hapa unatupa urahisi wa kuona ndani ya ubongo (kama x ray).

Sasa nashindwa kujua umeposti ili tuchangie hoja au tusahihishe ?
 
Ni macho yangu tu hapo kwenye Red au ni kweli kwamba Jide alikuwa zaidi ya Ruge?
 
Naamini Mungu yupo na siku zote husimamia ukweli na usawa. Basi hapo Mungu atadhihirisha ukweli kwa kumuumbua mkandamizaji na kumwenua mkweli

Mungu yupo kwa ajili ya wote na kamwe hatoi hukumu kwa upendeleo.

Naomba pia tujulishwe ni kiasi gani Dada alilipa kwa familia za marehemu kwa kurudia nyimbo kama:-

"Siwema" wa marehemu Marijani Rajabu.

"Shida" wa marehemu Mbaraka Mwinshehe.

"Muhogo" wa Jang'ombe wa marehemu Bi Kidude.

Au dada "muadilifu" alitumia "mali kauli" ili hali yeye alitengeneza jina na mamilioni ya pesa.
 

Kumbe mlalamikaji na mlalamikiwa wote dugu moja.
 
FYATU asante umesaidia yaliyokuwa ndani mwangu
nikaogopa mtoa mada anaonekana shari ipo kwa finger-tips!
 
Last edited by a moderator:
Usikute ruge ndo alimuua ngwea ili show ya hannivesare ya jide iahirishwe. Im just saying... Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…