Nikipiga Kili zangu hafu ukaniletea maji Uhai, lazima nitapike.
marufuku uhai kuuzwa Bar.
ukiona bar wanauza maji ua Uhai, ukienda jikoni haukosi kukuta mende.
Kusema ukweli mimi nikiyanywa (Uhai) tumbo huwa linaniuma. Nimeazimia kuachana nayo kabisa vinginevyo niwe sina jinsi ya kupata maji mengine na ninywe kidogo tu kutuliza kiu. Angalau CoolBlue na Maji Afrika yana ubora, Uhai ni mabaya sana na yanachakachuliwa mno na kwa ujumla TBS yake ni karibu na sifuli.
Malalamiko ya huyo jamaa hayana msingi kwa sababu kama ulivyosema kila mtu ana uhuru wa kuchagua product za kuuza sehemu yake ya biashara na inashangaza mtu kubebelea mimaji hadi sehemu hiyo huku akijua kwamba hapo kuna kinywaji kinauzwa. Kwa hili hata angeenda na gold label angefurushwa nayo kama ambavyo mtu angeenda na chakula chake cha kutoka kwa mama ntilia na kuingia nacho hotelini. Mbona hajiulizi kwa nini maji ya Kilimnjaro yalikuwa yanauzwa kwenye world cup Afrika ya Kusini na hakukuwa na hayo maji yake ya Uhai?
Mbona mnamlaumu mleta mada pasipo sababu? Kwenye free market economy ni kosa kubagua bidhaa kwakutoziweka kwenye shelf kama ni uchaguzi basi customers watachagua based on labels. Kama kuna something to do with quality siyo kazi ya suppliers ku control quality na kuweka standards bali ni kazi ya sijui ni kamisheni ama ni nini hapa nyumbani I think foods and drugs ama tbs lakini si kazi ya retailers ama whole sellers. Wao kufanya hizo segregetion ni against the rules na standards za WTO ambapo Tanzania ni signatory. Ni kazi ya fair competition kuregulate hizo behaviours kama kweli kuna hiyo hali lakini kama kawaida governance ni issue hapa nyumbani; utakuta wenye hisa ndiyo hao hao vibosile huko fair competition maana conflict of interests na ethics ni vocubulary zisizokuwepo kwenye dictionary yetu ya governance.
Mbona mnamlaumu mleta mada pasipo sababu? Kwenye free market economy ni kosa kubagua bidhaa kwakutoziweka kwenye shelf kama ni uchaguzi basi customers watachagua based on labels. Kama kuna something to do with quality siyo kazi ya suppliers ku control quality na kuweka standards bali ni kazi ya sijui ni kamisheni ama ni nini hapa nyumbani I think foods and drugs ama tbs lakini si kazi ya retailers ama whole sellers. Wao kufanya hizo segregetion ni against the rules na standards za WTO ambapo Tanzania ni signatory. Ni kazi ya fair competition kuregulate hizo behaviours kama kweli kuna hiyo hali lakini kama kawaida governance ni issue hapa nyumbani; utakuta wenye hisa ndiyo hao hao vibosile huko fair competition maana conflict of interests na ethics ni vocubulary zisizokuwepo kwenye dictionary yetu ya governance.
KWANINI UENDE NA KINYWAJI CHAKO SEHEMU AMBAPO WANAVINYWAJI KAMA HIVYO? LAWAMA ZINGINE HAZINA MASHIKO.Natumaini wengi wenu mtakuwa mmegundua hali ambayo si nzuri katika biashara ya ushindani kati ya maji yenye chapa ya KILIMANJARO na maji kama UHAI na mengineyo.
Hali iliyopo ni kuwa katika sehemu nyingi hapa Dar Es Salaam kama vile Baa maarufu mbalimbali, Kumbi za Starehe, Club za Usiku, Mahoteli, Migahawa mbalimbali pamoja na mikutano na semina mbalimbali utakuta sehemu zote hizi maji yanayouzwa ni ya KILIMANJARO. Binafsi nimeishazuiwa kuingia na maji ya UHAI katika baadhi ya sehemu hizi kwa kuambiwa kuwa maji hayo hayaruhisiwi kwa maelezo kuwa maji yanayoruhusiwa ni ya KILIMANJARO tu? Je hii ni haki? na Je FAIR COMPETITION COMMISSION wanalijua hili? na kama wanalijua hili tatizo, je ni hatua gani wamechukua ili kuleta usawa katika ushindani wa biashara hii ya maji ya kunywa?