BBC iliripoti taarifa za ndege ya kirusi kulipuliwa na washirika wa NATO ikiwa na marubani wawili.
Taarifa hii ikitangazwa na BBC ingawa imeshafutwa hadi youtubyoutube.Je kuficha ukweli ama kuna makosa?!
Kwenye Breaking news hii kunaonekana video ya jeshi la Kirusi likishambulia makombora ya kutosha kuelekea kwenye majeshi ya UK/USA.
Kama ni kweli naona dalili ya vita ya 3 ya dunia kukaribia mapema sana.
Wajuvi na manguli wa hizi mambo si mbaya mkitujuza zaidi!
Taarifa hii ikitangazwa na BBC ingawa imeshafutwa hadi youtubyoutube.Je kuficha ukweli ama kuna makosa?!
Kwenye Breaking news hii kunaonekana video ya jeshi la Kirusi likishambulia makombora ya kutosha kuelekea kwenye majeshi ya UK/USA.
Kama ni kweli naona dalili ya vita ya 3 ya dunia kukaribia mapema sana.
Wajuvi na manguli wa hizi mambo si mbaya mkitujuza zaidi!