GreatSeal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,785
- 3,094
Ebwana mtaniua hahahaKwani ukiwa nayo ndio inakua sio feki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana mtaniua hahahaKwani ukiwa nayo ndio inakua sio feki?
Sasa ww huoni haya ni maoni ya mtu binafsi?
Mbona kwenye hiyo video mwisho anataja timu za mpira wa miguu[emoji13] [emoji13]BBC iliripoti taarifa za ndege ya kirusi kulipuliwa na washirika wa NATO ikiwa na marubani wawili.
Taarifa hii ikitangazwa na BBC ingawa imeshafutwa hadi youtubyoutube.Je kuficha ukweli ama kuna makosa?!
Kwenye Breaking news hii kunaonekana video ya jeshi la Kirusi likishambulia makombora ya kutosha kuelekea kwenye majeshi ya UK/USA.
Kama ni kweli naona dalili ya vita ya 3 ya dunia kukaribia mapema sana.
Wajuvi na manguli wa hizi mambo si mbaya mkitujuza zaidi!