Vita kuu ya kwanza ya dunia

Vita kuu ya kwanza ya dunia

Hi vita ilianzishwa na Ujerumani ilitaka kuonyesha mguvu zao katika uchumi matokeo yake walishindwa na kunyang'anywa makoloni kama adhabu
Vilianzishwa na Austro-Hungary aliyetaka kuvamia Bosnia baada ya kuuwawa mwanamfalme Francis Ferdinand.
Ujerumani na Urusi kila waliingia baadaye kila mtu kulinda swahiba wake.
 
Back
Top Bottom