Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoka France huyu?mbona mwajuma ndara ndefu ,hata odometer yake itasoma zile za magari ya fast rally, yaani Diamond anakaa na huyu ndo aangaishane nae mi hata nikimkuta jalalani ntamwacha.View attachment 1727237Kushoto Ndiye Mrembo aliyekamata Headlines Mitandaoni akitokea nchini Ufaransa ambapo Anadai amekuja Bongo kwa ajili ya Diamond ...Baada ya Kutua Nchini alifanikiwa kuonana na SHILOLE ambaye ndiye alimfikisha mikononi mwa Diamond tena hadharan baada ya domo kumaliza kuongea na waandishi wa habari..Tukio hili limeibua Taswira Mpyaa Kwani Diamond na Familia yake wameonesha wazi kuwa Hawajafurahishwa na Ujio wa Mwanamke Huyo huku maneno ya chini nchini yakisema Ana NIA OVU Dhidi ya Diamond
[emoji23]Aiseee ilitakiwa domo mwenyewe amuonye shilole mbona kama mama mtu kaona wivu usio wa kimzazi.
Atagombeza wangapi hadharani wanaomkuwadia mwanae.
Kasababisha hadi tununu akaongeze tako kumzidi sanchi
😂😂😂😂😂Diamond kampotezea vibaya mmmh
Unatulaumu bure sisi watu wa Kigoma, kwanza hata huyo Domo hatumtambui kama wa kigoma, lakini zingatia kabira la kigoma ndio watu pekee tunajitahidi kupambana kiuchumi kuliko watu wa majiji wanaopambana na majungu na kukaa vijiwe vya kahawa kuhesabu nani kapaka poda vizuri, jaribu kutuheshimu kiongozi wanguTokea mpaka sasa mwanao mama dangote umeonesha nini zaidi ya kuzalisha.na wewe kutafuta wakukulea.
Katika sehemu usijekosea kigoma hawa kabila hili.wanajua mpaka wasicho kijua