MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
MwanaJamii; si mzee Kawawa ni Vita ni mtoto wa wa mzee kawawa ndiye anazungumziwa hapa.
Inaelekea cv yake bungeni inawalakini.
Waliona habari kamiri endeleeni kutu habarisha.
😀😀😀😀😀😀😀😀
Oh aksante sana Mchukia Fisadi kwa kuniondoa tongotongo la ubongo maana nilishapitwa mie.
Thanx bro.
Mh isijekuta ndo yale yale kaingizwa kwa vile mtoto wa........ I wish nami baba yangu angekuwa kiongozi mbona ngefaidi.... maana kama si ubunge basi japo umeneja BOT ningepata pamoja na kuwa elimu yangu ya ngumbaru.