Vita uenyekiti Bunge la Katiba; CCM plan B kumuondoa Chenge na kumuweka Dr. Migiro

Vita uenyekiti Bunge la Katiba; CCM plan B kumuondoa Chenge na kumuweka Dr. Migiro

Kidumu chama chetu, Leo Mbowe yuko bize kumkampenia Sitta japo Slaa aliwahi kumwita ni mnafiki.

wewe lazima ulifeli shule, kwani hukusoma methali "baniani mbaya kiatu chake dawa"

kichwa buta weye!!!!!!!!!
 
Mimi hata siwaelewi posho wameshaanza kutafuna kabla hata majadiliano hayajaanza.na siku zinazidi kuyoyoma tu..

ndiyo wamelipwa posho ya siku 21, utaka kazi ngani ndungu yangu kulipoti Dom , tayari kazi inakuwa imeanza.
 
Mkuu Mwana Mpotevu
Heshina kwako, Binafsi huwaga naheshimu sana michango yako hapa JF.
Kwa Bunge lenye watu wenye weledi kama Rage tusitegemee lolote la maana.
Watu kama Rage wao wakiambiwa na CCM kesho watembee uchi wao watakuwa tayari so long as ni Msimamo wa chama.
Na watakujongea na hoja kabisa huko kutembea uchi.
 
Last edited by a moderator:
Sitashangaa nikisikia mzee 6 akiambiwa tena aende akafanya plastic surgery kwanza ya kubadiri jinsia ili apewe kugombea, chezea rafu za magamba wewe!?

Ahahaaa, ataambiwa tena usawa kijinsia, ikiwa hivyo hatarudia kugombea chochote tena.
 
Tiba kinachoendelea hapa kinalalamikiwa hata na baadhi ya wajumbe wenyewe (wachache wenye uchungu na nchi). Kinachoelezwa ni kwamba rasimu ya kanuni za bunge hili zinazopitiwa na kamati ya Profesa Mahalu imebaini kuwa kanuni ni mbovu na za kidikteta na zitafanya mwenyekiti wa bunge kuwa dikteta na kuwa na maamuzi ya mwisho. Baadhi ya wajumbe wanaopitia kanuni hizi akiwemo Tundu lissu wakasema kanuni za aina hii hazikubaliki. Ikabidi wafumue na kuanza kuandika kanuni upya na ndio maana jana wakaomba muda ili waendelee kuandika rasimu mpya kabisa ya kanuni na zile za awali wakiziweka kando.

Lakini jana usiku.kazi walimaliza na leo wangeweza kuendelea lakini kwakuwa kificho alishasema watakutaka kesho jtano kwa semina kwahiyo hadi kesho ndo watafanya semina ya kanuni hizo mpya na sio ile rasimu waliyogawiwa wiki iliyopita. Axtually kuna kupoteza muda sana ingawa nahisi wanafanya hivi purposely!

Mkuu Mwana Mpotevu, asante kwa ufafanuzi. Hapo naona hela inateketea bure halafu wakianza watakuwa wanakimbizwa na kupitisha vifungu ambavyo hata hawavielewi kwa kisingizo cha ku-catch up na muda.

Tiba
 
Bramo thanx for compliment mkuu. Kiukweli watanzania tuna kazi kubwa sana huko.mbele ya safari. Jamaa wameingia kikaoni sasa (CCM) na tutarajie lolote ingawa mambo yao hufanya siri.nitatafuta kujua walichokubaliana.
One thing is: kuna wanaccm wengi wanamtaka sitta. Kama upinzani usiposimamisha mtu na wakamuunga mkono sitta basi Dr Migiro na CCM wataanguka tu na watanzania kuibuka washindi. Ngoja tuone
 
Last edited by a moderator:
Mimi hata siwaelewi posho wameshaanza kutafuna kabla hata majadiliano hayajaanza.na siku zinazidi kuyoyoma tu..

Ndio Tanzania na viongozi wetu dada, safari bado ndefu sana tuliyonayo mpaka tuwe tumeendelea.
 
You are very right Tiba maana watajifanya wanakimbizana na muda kama ambavyo walifanya walipopitisha kodi ya simcard na kisha wakarudi kuifuta wenyewe
 
Last edited by a moderator:
SITTA; MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA = KURA YA SIRI/ELECTRONIC + CDM + NCCR + TLP + CUF + WAVUVI + WAGANGA WA KIENYEJI + WAFUGAJI + WALEMAVU + WATUMISHI + WASOMI + MALENGO YANAYOFANANA + CCM UAMSHO - CCM MAFISADI

Viva SITTA; Mzee wa Standard and speed. You are the man "mjengoni" who can deliver us a new constitution worthy of the name.

Nimecheka hadi mbavu sina
 
Mwana Mpotevu ahsante kwa taarifa hii.

Lakini kumekuwa na taarifa nyingine kuwa kucheleweshwa kwa rasimu ya kanuni kunakofanywa na team ya Mahalu ni mpango wa ccm Lowasa kujipanga baada ya kubaini kuwa Mzee Six alikuwa ameshawawahi na kujichukulia ufuasi mkubwa sana miongoni mwa wajumbe wengi.

Sasa unaposema tena kwamba kanuni zilikuwa mbaya sana hadi team Mahalu ikalazimika kuzifumua na kuziandika upya hapo nashindwa kujua kipi ni kipi manake yote mawili yanaonekana kuwa na ukweli kiasi Fulani.
 
Last edited by a moderator:
wewe lazima ulifeli shule, kwani hukusoma methali "baniani mbaya kiatu chake dawa"

kichwa buta weye!!!!!!!!!

ndo nimeshangaa namuona Mbowe hapa bize kwenye Tete tete za kushawishi Sitta achaguliwe! si nyie mnasemaga Sitta ni mnafiki? kwa nini leo mtake Mchakato wa katiba mpya uongozwe na Mnafiki? au nyie ndo wanafiki?
 
CCM wanamsimamisha Werema......ni kama kioja lkn ndio ukweli.
 
Mwita Maranya rasimu iliyowasilishwa last week inampa mwenyekiti madaraka makubwa sana na yenye udikteta ndani yake. Na pia kuna mambo.mengi ya.hovyo ambayo Tundu lisu na baadhi ya wenye mapenzi mema wameshinikiza kanuni ziandikwe upya ili ziwe mwongozo wa kufanya mwenendo wa wa majadiliano uwe na maslahi ya umma.

Dr migiro anapewa nafasi na team lowasa na ccm wengine ili kupambana na Sitta. Lakini Sitta kama kukiwa na uwanja sawa wa ushindani na ccm wasitie mkono basi atashinda na huyo Migiro hatafua dafu. Lakini hilo pia linategemeana na wapinzani kama hawatamsimamisha mtu na badala yake waingie kwa team Sitta. All in all CCM wameahirisha kikao chao hadi saa moja jioni hii ngoja tuone watakachosema
 
Last edited by a moderator:
Hamna kitu wajumbe waliowengi hawajitambui
 
lakini kwanini wasi adopt kanuni zinazo tumika BW au bunge letu la kila siku na kufanya maboresho kwenye exemption eg muda wa mtu kuchangia, na jinsi ya kufikia maamuzi . mengine ni General . so hamna sababu za msingi kuja na kanuni mpya saana.
 
lakini kwanini wasi adopt kanuni zinazo tumika BW au bunge letu la kila siku na kufanya maboresho kwenye exemption eg muda wa mtu kuchangia, na jinsi ya kufikia maamuzi . mengine ni General . so hamna sababu za msingi kuja na kanuni mpya saana.
Hicho ndicho hasa kilifanywa Ktk rasimu ya kwanza na kuonekana Kuwa kimeo na kuzaa rasimu hii ya Leo ambayo imebadilisha karibu asilimia 80.
 
Hicho ndicho hasa kilifanywa Ktk rasimu ya kwanza na kuonekana Kuwa kimeo na kuzaa rasimu hii ya Leo ambayo imebadilisha karibu asilimia 80.
hii nafikiri ni mazara ya kuchagua certificate ya sheria badala ya watu waliobobea katika sheria, wanachukulia mambo kisiasa badala ya kisheria, ndio maana ccm wanafikiria katiba ya kisiasa badala katiba ya kisheria. sasa nakumbuka maneno ya Mwl alipo ongelea kiongozi tunaye mtaka na mambo ya kumuapisha ili aape kulinda katiba na kama akishindwa tumstaki. Leo hii wasomi wetu Chenge, Mahalu wamefungwa magoli ni aibu kwao na kwetu pia. Nchi haiendeshwi kwa ulaghai
 
Back
Top Bottom