Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo

Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363

Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo​



043a0097ea1fdf2a97b695ad5b62fe91.jpg

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Edorgan akiwa na Rais wa Urusi Vladimir Putin jijini Moscow
MSAIDIZI Mkuu wa Rais wa Uturuki amesema kuwa jumuiya ya kimataifa haiwezi kumaliza vita nchini Ukraine kwa kuipuuza Moscow.



Amesema hayo wakati Erdon na Putin wakijiandaa kukutana, katika mkutano wa ngazi ya juu unaokuja baada ya Uturuki kusaidia kupata makubaliano ya kurejesha mauzo ya nafaka ya Bahari nyeusi ya Ukraine ambayo ilikuwa imezuiliwa na uvamizi wa Urusi.



Mkurugenzi Mkuu wa mawasiliano wa Rais wa Uturuki Fahrettin Altun, ameliambia Shirika la Habari la Reuters kwamba makubaliano hayo yanathibitisha mafanikio makubwa ya Uturuki katika juhudi za kuirejesha amani kati ya Ukraine na Urusi huku akikosoa nchi nyingine zinazochochea vita kuendelea.

107099617-16597042182022-08-05t125602z_730858418_rc2cqv9tfc59_rtrmadp_0_ukraine-crisis-turkey-russia-scaled.jpeg

Uturuki imekuwa ikijitahidi kushiriki katikakutatua mgogoro kati ya Urusi na Ukraine
Kiongozi huyo wa Uturuki alinukuliwa akisema:



“Ukweli ni kwamba baadhi ya marafiki wetu hawataki vita iishe wanamwaga machozi ya Mamba, Jumuiya ya kimataifa haiwezi kumaliza vita nchini Ukraine kwa kuipuuza Urusi, Diplomasia na amani lazima vitawale.”

fhjkfhjf.jpg

Uturuki imeshauri ili vita kati ya Urusi na Ukraine iweze kutamatika basi kuna kila sababu ya kutoipuuzia Urusi katika majadiliano ya kidiplomasia
Alimaliza kwa kusema kuwa baadhi ya Watu walikuwa wakijaribu kudhoofisha juhudi za Uturuki bila mafanikio, lakini hakutaja watu hao ni akina nani.



Ikumbukwe kuwa katika siku chache zilizopita Uturuki imesaidia katika kusainiwa kwa Mkataba mpya Mjini Istanbul Unaoiruhusu nchi ya Ukraine kuuza nafaka yake nje ambapo Meli ya kwanza kutoka Ukraine ikibeba mahindi imeelekea nchini Lebanon.

 
Nakukumbusha kabla uvamizi wa urusi haujaanza , viongozi kadhaa wa ulaya na America walikuwa wakipishana Moscow kumsihi Putin asivamie Ukraine lakini yeye akajiona ana akili sana..,hivi mtu kama huyu unaweza kumteteaje?
... Katibu Mkuu UN alimsihi sana fashisti ajizuie kuvamia nchi ya watu; fashisti akapuuza. Pope Francis alimwomba sana dikteta atafakari damu zisizo na hatia zitakazomwagika; shetani la kunywa damu lilishamwingia fashisti hakutaka kuelewa. Duniani kote wenye mapenzi mema walipaza sauti zao kumwomba fashisti ajizuie kuanzisha vita; fashisti akona vita ni dili! Mshenzi kweli kweli!
 
... Katibu Mkuu UN alimsihi sana fashisti ajizuie kuvamia nchi ya watu; fashisti akapuuza. Pope Francis alimwomba sana dikteta atafakari damu zisizo na hatia zitakazomwagika; shetani la kunywa damu lilishamwingia fashisti hakutaka kuelewa. Duniani kote wenye mapenzi mema walipaza sauti zao kumwomba fashisti ajizuie kuanzisha vita; fashisti akona vita ni dili! Mshenzi kweli kweli!
Alafu watu wenye mahaba Niue, wanasema Putin anapenda amani [emoji848]
 
Ni fara tu anaeshabikia vita, na maviongozi yenyewe yanaogopa kifo kishenzi uku yakiwatuma wanajeshi waende kufa
 
Nakukumbusha kabla uvamizi wa urusi haujaanza , viongozi kadhaa wa ulaya na America walikuwa wakipishana Moscow kumsihi Putin asivamie Ukraine lakini yeye akajiona ana akili sana..,hivi mtu kama huyu unaweza kumteteaje?
America(MAREKANI) hawakua na usafi wa kunyoshea kidole Mrusi.
Marekani wananuka damu muda wote.
 
... Katibu Mkuu UN alimsihi sana fashisti ajizuie kuvamia nchi ya watu; fashisti akapuuza. Pope Francis alimwomba sana dikteta atafakari damu zisizo na hatia zitakazomwagika; shetani la kunywa damu lilishamwingia fashisti hakutaka kuelewa. Duniani kote wenye mapenzi mema walipaza sauti zao kumwomba fashisti ajizuie kuanzisha vita; fashisti akona vita ni dili! Mshenzi kweli kweli!
Fikiri kabla hujapost, Soma na ujue sababu ya kila kitu kabla hujapost, Russia ameinya muda mrefu kuhusu maadui USA+NATO kumsogelea na kumzunguka wameendelea, na akawaambia mwishowe wanavuka redline wanataka kummunga Ukraine NATO ambaye anashare boarder na Russia unamtegemea Nini, mfano Zanzibar anataka kujiunga na Kenya,
Brainwashed unaropoka sijui papa ,hao wote Ni puppet ya ushetani na ushoga duniani.
Unafikiri Mwenyezi Mungu alishindwa kutuumba kwa maumbo imara kuliko hii minyamanyama na udhaifu alishajua kutakuwa na washenzi Kama hao ,akaumba umbo dhaifu mno na Lina mwisho I mean kifo ,
 
Nakukumbusha kabla uvamizi wa urusi haujaanza , viongozi kadhaa wa ulaya na America walikuwa wakipishana Moscow kumsihi Putin asivamie Ukraine lakini yeye akajiona ana akili sana..,hivi mtu kama huyu unaweza kumteteaje?
Urusi hatutaki kutetewa na wanafki na mafala. Kabla ya kuja kukomenti, kajifunze kwanza nini chanzo cha huo uvammizi
 
Fikiri kabla hujapost, Soma na ujue sababu ya kila kitu kabla hujapost, Russia ameinya muda mrefu kuhusu maadui USA+NATO kumsogelea na kumzunguka wameendelea, na akawaambia mwishowe wanavuka redline wanataka kummunga Ukraine NATO ambaye anashare boarder na Russia unamtegemea Nini, mfano Zanzibar anataka kujiunga na Kenya,
Brainwashed unaropoka sijui papa ,hao wote Ni puppet ya ushetani na ushoga duniani.
Unafikiri Mwenyezi Mungu alishindwa kutuumba kwa maumbo imara kuliko hii minyamanyama na udhaifu alishajua kutakuwa na washenzi Kama hao ,akaumba umbo dhaifu mno na Lina mwisho I mean kifo ,
Exactly....
 
Fikiri kabla hujapost, Soma na ujue sababu ya kila kitu kabla hujapost, Russia ameinya muda mrefu kuhusu maadui USA+NATO kumsogelea na kumzunguka wameendelea, na akawaambia mwishowe wanavuka redline wanataka kummunga Ukraine NATO ambaye anashare boarder na Russia unamtegemea Nini, mfano Zanzibar anataka kujiunga na Kenya,
Brainwashed unaropoka sijui papa ,hao wote Ni puppet ya ushetani na ushoga duniani.
Unafikiri Mwenyezi Mungu alishindwa kutuumba kwa maumbo imara kuliko hii minyamanyama na udhaifu alishajua kutakuwa na washenzi Kama hao ,akaumba umbo dhaifu mno na Lina mwisho I mean kifo ,
... Ukraine ni nchi huru acha kutolea mifano ya kipumbavu. How comes unafananisha relationship iliyopo kati ya Zanzibar/Tanzania na Ukraine/Russia? Ficha ujinga wako.
 
Fikiri kabla hujapost, Soma na ujue sababu ya kila kitu kabla hujapost, Russia ameinya muda mrefu kuhusu maadui USA+NATO kumsogelea na kumzunguka wameendelea, na akawaambia mwishowe wanavuka redline wanataka kummunga Ukraine NATO ambaye anashare boarder na Russia unamtegemea Nini, mfano Zanzibar anataka kujiunga na Kenya,
Brainwashed unaropoka sijui papa ,hao wote Ni puppet ya ushetani na ushoga duniani.
Unafikiri Mwenyezi Mungu alishindwa kutuumba kwa maumbo imara kuliko hii minyamanyama na udhaifu alishajua kutakuwa na washenzi Kama hao ,akaumba umbo dhaifu mno na Lina mwisho I mean kifo ,
Uongo mkubwa. Unasema Urusi imeivamia Ukraine kwa sababu Ukraine ilitaka kujiunga na NATO na hivyo kuisogelea Urusi?. Baltic States zote (Latvia,Estonia na Lithuania) Zina pakana na Urusi na zilijiunga na NATO. Finland yenye Mpaka wa 1300 Km na Urusi mda sio Mrefu inajiunga na NATO. Mpaka Sasa,Mataifa 23 yalishaidhinisha Finland na Sweden zijiunge na NATO,bado Mataifa 7 TU kuoamilisha mchakato huo. Je,Huyo Urusi mbona hakuvamia Hizo nchi ili zisijiunge na NATO? Jibu Ni moja TU,Huyo Putin anaangalia nchi wanyonge jirani zake ndio anazivamia. Urusi anavamia vinchi Kama Georgia,Moldova,Ukraine ambavyo havina Nguvu zozote za Kijeshi. Ndio maana Vitaifa vingi ambavyo Ni WEAK kijeshi Vimekimbilia NATO ili Vilindwe na Marekani dhidi ya Uvamizi wa Urusi. Ukisikia Urusi amevamia mwanachama wa NATO hata Lithuania TU ambayo imepiga Marufuku misafara ya train kutoka Urusi kwenda Kaliningrad uniite Kichaa. Ataishia kuwakatia Gesi tu,zaidi ya hapo,Hakuna adhabu nyingine aliyonayo Putin dhidi ya wanachama wa NATO.
 

Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo​



043a0097ea1fdf2a97b695ad5b62fe91.jpg

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Edorgan akiwa na Rais wa Urusi Vladimir Putin jijini Moscow
MSAIDIZI Mkuu wa Rais wa Uturuki amesema kuwa jumuiya ya kimataifa haiwezi kumaliza vita nchini Ukraine kwa kuipuuza Moscow.



Amesema hayo wakati Erdon na Putin wakijiandaa kukutana, katika mkutano wa ngazi ya juu unaokuja baada ya Uturuki kusaidia kupata makubaliano ya kurejesha mauzo ya nafaka ya Bahari nyeusi ya Ukraine ambayo ilikuwa imezuiliwa na uvamizi wa Urusi.



Mkurugenzi Mkuu wa mawasiliano wa Rais wa Uturuki Fahrettin Altun, ameliambia Shirika la Habari la Reuters kwamba makubaliano hayo yanathibitisha mafanikio makubwa ya Uturuki katika juhudi za kuirejesha amani kati ya Ukraine na Urusi huku akikosoa nchi nyingine zinazochochea vita kuendelea.

107099617-16597042182022-08-05t125602z_730858418_rc2cqv9tfc59_rtrmadp_0_ukraine-crisis-turkey-russia-scaled.jpeg

Uturuki imekuwa ikijitahidi kushiriki katikakutatua mgogoro kati ya Urusi na Ukraine
Kiongozi huyo wa Uturuki alinukuliwa akisema:



“Ukweli ni kwamba baadhi ya marafiki wetu hawataki vita iishe wanamwaga machozi ya Mamba, Jumuiya ya kimataifa haiwezi kumaliza vita nchini Ukraine kwa kuipuuza Urusi, Diplomasia na amani lazima vitawale.”

fhjkfhjf.jpg

Uturuki imeshauri ili vita kati ya Urusi na Ukraine iweze kutamatika basi kuna kila sababu ya kutoipuuzia Urusi katika majadiliano ya kidiplomasia
Alimaliza kwa kusema kuwa baadhi ya Watu walikuwa wakijaribu kudhoofisha juhudi za Uturuki bila mafanikio, lakini hakutaja watu hao ni akina nani.



Ikumbukwe kuwa katika siku chache zilizopita Uturuki imesaidia katika kusainiwa kwa Mkataba mpya Mjini Istanbul Unaoiruhusu nchi ya Ukraine kuuza nafaka yake nje ambapo Meli ya kwanza kutoka Ukraine ikibeba mahindi imeelekea nchini Lebanon.

Huyu dingilai aache ukinyonga wake, kwa upande wa Ukraine anauza drones za kuwalipua Warusi, akija upande wa Urusi analaumu mataifa yanayochochea vita na kuichukulia poa Urusi. Alipaswa amweleze Putin kwa uwazi matumizi ya drones ambazo Uturuki inazoziuza kwa Ukraine.
 
Fikiri kabla hujapost, Soma na ujue sababu ya kila kitu kabla hujapost, Russia ameinya muda mrefu kuhusu maadui USA+NATO kumsogelea na kumzunguka wameendelea, na akawaambia mwishowe wanavuka redline wanataka kummunga Ukraine NATO ambaye anashare boarder na Russia unamtegemea Nini, mfano Zanzibar anataka kujiunga na Kenya,
Brainwashed unaropoka sijui papa ,hao wote Ni puppet ya ushetani na ushoga duniani.
Unafikiri Mwenyezi Mungu alishindwa kutuumba kwa maumbo imara kuliko hii minyamanyama na udhaifu alishajua kutakuwa na washenzi Kama hao ,akaumba umbo dhaifu mno na Lina mwisho I mean kifo ,
Watz tuna udumavu mkubwa wa akili, hivi utaipangia vipi nchi huru aina ya marafiki zake?.Tumeseme hiyo ilikuwa hoja, mbona kwa sasa ndio majirani wengi zaidi ndio wanajiunga na NATO ?
 
Watz tuna udumavu mkubwa wa akili, hivi utaipangia vipi nchi huru aina ya marafiki zake?.Tumeseme hiyo ilikuwa hoja, mbona kwa sasa ndio majirani wengi zaidi ndio wanajiunga na NATO
Ukraine na urusi sio majirani tu ni ndugu kabisa, sema ndugu mmoja akawa mjinga kwa kuleta adui wa familia na kuanzisha conflicts among members of family. Zelensky alianza kuua watu wenye asili ya Russia na aliwekwa pale kama kibalaka wa USA. Ndio maana wana family wakaamua kulianzisha
 
Back
Top Bottom