Vita Ukraine itaisha na zile billion za ruzuku kwenye mafuta hatutaona manufaa yake.

Vita Ukraine itaisha na zile billion za ruzuku kwenye mafuta hatutaona manufaa yake.

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wandugu,si ajabu zile billion zilizotolewa kwa ajiri ya kupunguza Bei za mafuta tusione manufaa yake tutashangaa Vita Ukraine imeisha na Bei ya mafuta ipo palepale na billions zetu zimetumika na wajanja nimeamua kuja hapa baada ya kuona Hali ni tete kwenye usafiri wa umma wameanza mwendo Kasi na Sasa meli nao wamepandisha nauli hi Tanzania ya AJABU AJABU .
 
Vita ikiisha tutaomba hiyo bilioni 100 anunue ng'ombe na mchele agawe Kila Kijiji tufanye sikukuu ya kusherehekea kuisha Kwa vita na kuyakaribisha maisha mazuri. Tule tuahibe tubebe wali kwenye mifuko.
 
Back
Top Bottom