Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru 7yrs-$57BMabadiliko haya ya kiuchumi yakitazamwa na mabadiliko ya kihistoria na uongozi yanaweza kutuonyesha ni kitu gani kinaweza kusababisha uchumi kuimarika au kusambaratika.
View attachment 1549573
Wachana na Hawa, useless kabisa.Huu uzi mumeukaushia na kuupitia kwa mbali kama ukoma, ila ndio ukweli wenyewe, yaani kipindi cha miaka mitano Kenya imeongeza pengo la kiuchumi kuliko awamu zingine zote, mna la kujifunza sana majirani, siku nyingine msitangulize chuki kwenye hii michezo, mjifunze kukumbatiana na wenzenu, na bado kama hamjajifunza kitu subiri miaka ijayo mitano tukutane tena hapa muone kama hamtakua mumeota mvi kila mmoja wenu kwa stress za chuki.
Sijui ni kweli au ni makaratasi. Maana wakati uchumi mkubwa mkifa kwa njaa, corona, mafuriko, nzige na ukame, nchi mnayoizidi kwa karibu nusu hakuna njaa, hakuna nzige, umwagiliaji unaendelea na zaidi ya yote kuna dollars multi millionaires wengi kuliko hiyo nchi yenu. Sometime tufikirie angle hiyo piaHuu uzi mumeukaushia na kuupitia kwa mbali kama ukoma, ila ndio ukweli wenyewe, yaani kipindi cha miaka mitano Kenya imeongeza pengo la kiuchumi kuliko awamu zingine zote, mna la kujifunza sana majirani, siku nyingine msitangulize chuki kwenye hii michezo, mjifunze kukumbatiana na wenzenu, na bado kama hamjajifunza kitu subiri miaka ijayo mitano tukutane tena hapa muone kama hamtakua mumeota mvi kila mmoja wenu kwa stress za chuki.
Sijui ni kweli au ni makaratasi. Maana wakati uchumi mkubwa mkifa kwa njaa, corona, mafuriko, nzige na ukame, nchi mnayoizidi kwa karibu nusu hakuna njaa, hakuna nzige, umwagiliaji unaendelea na zaidi ya yote kuna dollars multi millionaires wengi kuliko hiyo nchi yenu. Sometime tufikirie angle hiyo pia
Katika vitu vilituudhi Ni kua ldc haya mengine yanavumilikaDuh! Yaani kwa huyo Mkapa mlikua mnatukimbiza, ila naona miaka ya hivi majuzi tumewatoka na kuwaacha, jameni aliyeandaa hiyo animation ni balaa la mtu dadadeki....nitaitunza siku zote hiyo
Mzee wa mwakani njoo uone haya madude lwiva jifunze historia kidogo.
Hii inaonyesha chanzo cha hasira zote hizi mnazokuaga nazo.
View attachment 1549577
Ww wala usionge sana ....unafikiri uchumi ni maneno, tukutane 2025 ....utaelewa mana ya mabadiliko.Huu uzi mumeukaushia na kuupitia kwa mbali kama ukoma, ila ndio ukweli wenyewe, yaani kipindi cha miaka mitano Kenya imeongeza pengo la kiuchumi kuliko awamu zingine zote, mna la kujifunza sana majirani, siku nyingine msitangulize chuki kwenye hii michezo, mjifunze kukumbatiana na wenzenu, na bado kama hamjajifunza kitu subiri miaka ijayo mitano tukutane tena hapa muone kama hamtakua mumeota mvi kila mmoja wenu kwa stress za chuki.
tatizo lenu kubwa wengi wenu ni walemavu wa akili na wavivu.......nchi kama kenya na uhabeshi na matatizo yao yote si wa kushinda tanzania na raslimali hizo zoteSijui ni kweli au ni makaratasi. Maana wakati uchumi mkubwa mkifa kwa njaa, corona, mafuriko, nzige na ukame, nchi mnayoizidi kwa karibu nusu hakuna njaa, hakuna nzige, umwagiliaji unaendelea na zaidi ya yote kuna dollars multi millionaires wengi kuliko hiyo nchi yenu. Sometime tufikirie angle hiyo pia
Uchumi sio kama siasa za kupayuka na kuruka ruka tu....jua kwamba uwekezaji wa kimkakati unao fanyika utatoa majib mapema sana, wewe kuwa mpole tu sindano zitaingia hata kwa lazima.Huu uzi mumeukaushia na kuupitia kwa mbali kama ukoma, ila ndio ukweli wenyewe, yaani kipindi cha miaka mitano Kenya imeongeza pengo la kiuchumi kuliko awamu zingine zote, mna la kujifunza sana majirani, siku nyingine msitangulize chuki kwenye hii michezo, mjifunze kukumbatiana na wenzenu, na bado kama hamjajifunza kitu subiri miaka ijayo mitano tukutane tena hapa muone kama hamtakua mumeota mvi kila mmoja wenu kwa stress za chuki.
Kenya inawekeza zaidi kwenye infrastructure kuliko hapo nyuma shida yenu ni kujiona nyinyi tu ndo mnajenga, rais akifungua posho mill mnacelebrate the whole week.Uchumi sio kama siasa za kupayuka na kuruka ruka tu, jua kwamba uwekezaji wa kimkakati unao fanyika utatoa majib mapema sana, wewe kuwa mpole tu sindano zitaingia hata kwa lazima.
Kuna kipindi mliwekeza kwenye miundo mbinu, sasa msilewe sifa na hiyo payoff mnayo experience.
Izo ndio blabla nazo sema ...subiri vitu kama kama [emoji116] plus on going upgrade of infrastructure ....trust me you will be shocked ...its a time bomb.kenya inawekeza zaidi kwenye infrastructure kuliko hapo nyuma shida yenu ni kujiona nyinyi tu ndo mnajenga, rais akifungua posho mill mnacelebrate the whole week
Wachana na Hawa, useless kabisa.
A country blessed with all kinds of natural resources, yet mentally they are stuck on stupid.
Mumelipa wakulima wa korosho? Na walimu je?[emoji38] [emoji38] hili bomu la GDP nalo litaripuka siku si nyingi, dalili zote ziko wazi.
[emoji1][emoji1]
watu na GDP ya $109 bln wanashindwa kulipa mishahara manesi wa dispensary[emoji23][emoji23].