Vita vya GDP Afrika Mashariki ni Kati ya Kenya, Ethiopia na Tanzania tangu 1980. Nafasi ya kwanza inaeza nyakuliwa na nchi hizi tatu

Huyu Magufuli tangu aingie per capita imegrow na $80 pekee

Alafu juzi anajisifu yeye ndiye amefikisha tz lower middle income.
 
tatizo lenu kubwa wengi wenu ni walemavu wa akili na wavivu.......nchi kama kenya na uhabeshi na matatizo yao yote si wa kushinda tanzania na raslimali hizo zote
Sisi tuna historia tofauti na Kenya na Ethiopia. Uhabeshi hawajatawaliwa kama koloni. Kenya haijashiriki kutafuta uhuru wa nchi yoyote. Sisi vita vya Ukombozi tumekuja kuhitimisha mwaka 1992 baada ya Afrika kusini kupata uhuru wake. Miaka yote tumekuwa kukipignia uhuru wa nchi za kusini mwa Afrika. kote huko tumetumia rasilimali fedha na watu. Kuanzia uhuru wa Msumbiji, Zimbabwe, Angola, Ushelisheli n.k. Bila kusahau mchango wetu kwa jirani zetu Kongo DRC na Uganda katika vita vya kuuondoa utawala wa Dikteta Idd Amini Dada.

Sisi ni Taifa mama ukanda huu na upendo wa mama huu. Tunhgekuwa na roho mbaya na ya ubinafsi kama jirani zetu wa hapo Namanga historia ingekuwa nyingine. Tanzania tupo vizuri na tunaenda vizuri tena kwa kasi kubwa sana. Tuipende nchi yetu.
 
unaambia notes nyani, haiwezi kushika.
 
I hope you realize all your statements are contradictory. I do not doubt that you believe everything you are saying, I know the derangement you guys suffer from.

Here are facts:

i) Kenyan GDP has outpaced Tanzania in the last decade from a difference of $8 billion in 2010 to $45 billion in 2020 i.e Tanzania combined with Rwanda and burundi will still need help from Uganda in order to be equal to Kenyan GDP i.e About 46% of eac GDP is generated in Kenya.

ii) Kenya has a bigger and growing middle class than Tanzania and for your information a growing middle class is actually the sign of a growing economy, not where people are equally poor.

iii) Parts of Kenya have problems not because food is not available in the country but to get food you need to have money and government is not in the business of feeding people i.e. Government is not a humanitarian/charity organization, work yourself in order to feed your family.

iv) An urban poor person in Kenya now uses more products and services than any urban poor person in East Africa i.e. The Kenyan urban poor has more stuff than any urban poor person in East Africa.

v) The data shows the Kenyan worker is more productive than a Tanzanian worker despite Tanzania having more resources than Kenya.

vi) In sub Saharan Africa only Kenya and south africa have strong local demand for products and services, which means a lot of the Kenyan GDP is driven by local consumers totalling about 87% of GDP, while the rest is accounted for by exports. The rest Tanzania included, rely heavily on commodities exports like Gold, LNG, Copper etc which account for an average 29% of GDP, even though their exports bring in less money than Kenyan exports.
 
Magufuli sio tatizo? Remember Magufuli got into power when the GDP gap between Kenya and Tanzania was only 15 b dollars, right now the gap has increased to 47b dollars. What is Magufuli doing?
Kwahiyo unataka kusema uchumi wa Kenya unakua kwa zaidi ya 16% kwa mwaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji117][emoji205] ako na IQ ngapi?
 
Kwani hii miaka yenu kumi huwa haifiki? Nilianza kusikia miaka kumi ijayo since 1990`s. We are in 2020 and you are still singing miaka kumi ijayo.
Kwa hiyo were una amini kabisa kuwa uchumi wa Kenya ni juu ya tz [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe tuko 2020
Wachana na reasoning za 1980s hapa,
Hakuna watoto hapa ama machizi.
 
Unapenda porojo sana 9000km?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tunazaidi ya 12000km izo 3k unazipunguza ili iweje? Unajua gharama ya kujenga 3k km za lami wewe?

I doubt hata kama mmefika 20k maana mnapenda sana kujilisha upepo
 
kitu mmefanikiwa kutuacha tokea 2009 ni GDP pekee.
Let`s see who is ahead.
Unapenda porojo sana 9000km ?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tunazaidi ya 12000km izo 3k unazipunguza ili iweje?unajua gharama ya kujenga 3k km za lami ww?

I doubt hata kama mmefika 20k maana mnapenda sana kujilisha upepo
Tuko 21,300km while nyinyi bado mpo less than 11,000km

 

In short I can say you generally made a good analysis. Le me quickly walk case by case.

i) No one is disputing on the size of GDP. However, a good number of scholars (including me) are not seeing the GDP (indeed even the par capita income) as a good measure of economic development. One of the criticism being put forward is the ratio obtained after dividing the GDP to Population is not necessarily depict what is on ground.

The truth is, the wealth has never been evenly distributed like how the arithmetic shows. (refer the inaugural speech given by Mwal. Nyerere in a first non apartheid Parliament of RSA). So the big economy does not necessarily means good welfare to the citizens. Many countries have big economies, but they have a good number of poor individuals who can't even afford just a single meal. Go to Nigeria, South Afrika etc, if at all their bigger economy can move out the poor who stuck in poverty. So bro don't think that the figures are doing something on the ground. They are just numbers have very little to do with the real life of citizens.

ii) Good move. We all need to embrace this.

iii) Aha haaa trying sugar coating the bitter truth. The long term strategy will get you out of this.

iv) If you can avail some empirical evidence, will be content.

v) Kindly cite the authority.

vi) Ibid
 
Unadhani hii ni uchumi ya Tandale. Punguza ujinga
 
Wewe tuko 2020
Wachana na reasoning za 1980s hapa,
Hakuna watoto hapa ama machizi.
Wewe una uwezo mdogo wa kufikiri. Development is a gradual change. Time is a factor. Hao wenzetu walianza kupambanana hali yao soon baada ya uhuru since 1960's. Hawakuhangaika kuimsaidia rafiki wala jirani.
 
i) It is indisputable.
ii) This is proven by disposable income for the middle class to spend. evidence is in World bank reports, AFDB reports and the number of malls, luxury retail outlets and international and local food chains in Kenya all around the country.

iii) You have no idea what the food situation in Kenya is. We have overproduction in a lot of counties in the lower parts of Kenya, problem is as a farmer I can not take my product to an area where they can not afford or transportation cost will make it more difficult to make a profit, which is majorly north of Kenya. Also production cost of food is higher in Kenya due to a bigger economy that is why people come to look for cheaper options in Uganda and Tanzania to stabilize prices.That is why we grow high value products for export to bigger economies and buy cheap products from Tanzania and Uganda.

iv) AFDB reports on middle income growth in africa.

v) Productivity report from stanford university and UNIDO among multiple other reports from the world bank. Infact the stanford report found a kenyan worker to be 5 times more productive than a Tanzanian.
 

ii) Will double check the source.
iii) If I got you well, the issue in here is the distribution, not supply. My question is how within a same country with all you believe and think to have face such basic problems. Remember, you are claiming and thinking to have a best and wide road network in the region. Now how distribution becomes an issue.
iv) Op cit.
v) ibid
 
Kenya ni zaid ya brain washed, wanasubiri wafundishwe na mzungu maana ya uchumi mkubwa ndiyo nini. Kuwa Mkenya ni zaidi ya laana, ardhi yenye rutuba, misitu mikubwa vyote vinamilikiwa na wazungu, wao ni kujisifu gdp kubwa tu, mau na matunda wanalima na kuuza wazungu wakunjaland kazi yao kujisifu, ndege za KQ shareholder mkubwa mzungu na faida anabeba mzungu wapumbavu hawa ni kujisifu na jina hewa tu la kq.
 
Mabadiliko haya ya kiuchumi yakitazamwa na mabadiliko ya kihistoria na uongozi yanaweza kutuonyesha ni kitu gani kinaweza kusababisha uchumi kuimarika au kusambaratika.

Ethiopia ni heavy weiight wana viongozi wenye IQ kubwa mno na weledi ktk mambo siyo hawa akina bongo lala kula manzese kujamba magomeni
 
Per capita imegrow from gap ya 200 hadi double sasa within iyo 10yrs
Ni wakati wa kikwete ambaye aliwachukulia kama ndugu na badala yake wakatujumu, tujifunze kutokana na makosa, Wakenya ni wadhaifu kwa kila jambo na haifai watukaribie hata kwa punje ya mchanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…