CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kichuguu
Heshima Yako Mzee wangu.
Samahani nitakuwa na maswali naomba nikusumbue.
1. Binafsi sijui chanzo halisi cha hii vita ya Tanzania na Uganda Maarufu kama vita ya Kagera. Nasikia tu urafiki wa Obote na Mwalimu Na sio uvamizi wa Nduli Idd Amin Eneo la Kagera
2. Uhusika wa kagame na Museven katika kuwapambania watanzania
Je nikweli kagame alipigana vita ya Kagera kama Una Taarifa.
3. Ni kweli Rais wa Libya alimsaidia sana Nduli Iddi amin na Baadaye kuwaomba Radhi watanzania kwa Kutaka Kujenga Mji wote wa Dodoma.
Barabara, Uwanja wa Ndege, msikiti wa Gadafi nk
Asante sana.
Heshima Yako Mzee wangu.
Samahani nitakuwa na maswali naomba nikusumbue.
1. Binafsi sijui chanzo halisi cha hii vita ya Tanzania na Uganda Maarufu kama vita ya Kagera. Nasikia tu urafiki wa Obote na Mwalimu Na sio uvamizi wa Nduli Idd Amin Eneo la Kagera
2. Uhusika wa kagame na Museven katika kuwapambania watanzania
Je nikweli kagame alipigana vita ya Kagera kama Una Taarifa.
3. Ni kweli Rais wa Libya alimsaidia sana Nduli Iddi amin na Baadaye kuwaomba Radhi watanzania kwa Kutaka Kujenga Mji wote wa Dodoma.
Barabara, Uwanja wa Ndege, msikiti wa Gadafi nk
Asante sana.