Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Kichuguu

Heshima Yako Mzee wangu.

Samahani nitakuwa na maswali naomba nikusumbue.

1. Binafsi sijui chanzo halisi cha hii vita ya Tanzania na Uganda Maarufu kama vita ya Kagera. Nasikia tu urafiki wa Obote na Mwalimu Na sio uvamizi wa Nduli Idd Amin Eneo la Kagera

2. Uhusika wa kagame na Museven katika kuwapambania watanzania
Je nikweli kagame alipigana vita ya Kagera kama Una Taarifa.

3. Ni kweli Rais wa Libya alimsaidia sana Nduli Iddi amin na Baadaye kuwaomba Radhi watanzania kwa Kutaka Kujenga Mji wote wa Dodoma.
Barabara, Uwanja wa Ndege, msikiti wa Gadafi nk

Asante sana.
 
Pia walikuwa kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe na Renamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…