Vita vya majimaji mpaka jina la Songea

Vita vya majimaji mpaka jina la Songea

Mack...
Ninao wazee wangu Wangoni.
Hapo Songea uliza habari za marehemu Abdallah Simba.

Huyo ni babu yangu.

Uliza utaelezwa historia yake kwani alikuwa ndiye Liwali wa maeneo hayo.
ielezee hiyo historia ya huyo mtu
 
Mack...
Ninao wazee wangu Wangoni.
Hapo Songea uliza habari za marehemu Abdallah Simba.

Huyo ni babu yangu.

Uliza utaelezwa historia yake kwani alikuwa ndiye Liwali wa maeneo hayo.
Babu yetu umeharibu mada ya watu

Mwenzako kaanzisha mada vizur kabisa wewe umeingiza udini kwenye mada yake

Kama ulikuwa unayajua yote haya kwanini usingefungua topic yako? Dah!

Yaan sisi tunajivunia majina ya kibantu wewe unajivunia majina ya kitumwa
 
Babu yetu umeharibu mada ya watu

Mwenzako kaanzisha mada vizur kabisa wewe umeingiza udini kwenye mada yake

Kama ulikuwa unayajua yote haya kwanini usingefungua topic yako? Dah!

Yaan sisi tunajivunia majina ya kibantu wewe unajivunia majina ya kitumwa
Beira...
Huwa nashindwa kufanya mjadala na mtu anaeingia katika mjadala na kejeli na kurusha majina wewe fulani wewe hivi, wewe babu.

Mwisho inaishia matusi nk.

Una hoja unaweza ukasema, ''Mzee Mohamed...'' hapa najua nazungumza na mtu mwenye adabu zake kamili vinginevyo ni kinyume cha hivyo.
 
Beira...
Huwa nashindwa kufanya mjadala na mtu anaeingia katika mjadala na kejeli na kurusha majina wewe fulani wewe hivi, wewe babu.

Mwisho inaishia matusi nk.

Una hoja unaweza ukasema, ''Mzee Mohamed...'' hapa najua nazungumza na mtu mwenye adabu zake kamili vinginevyo ni kinyume cha hivyo.
Kwahiyo unakataa kwamba wewe siyo babu?
 
Kwahiyo unakataa kwamba wewe siyo babu?
Beira...
Hapana mimi ni mtu mzima sana nina wajukuu Alhamdulillah ninachokueleza ni staha.

Umri wangu ni miaka 67 hivyo nikiamini wewe ni kijana mimi ni sawa na baba yako naweza kukuzaa kwa hiyo nastahili heshima ya huu uzee wangu.

Ikiwa nitahisi dalili za utovu wa adabu kutoka kwako kwa jinsi unavyoandika naingiwa na hofu ya kuvunjiwa heshima.

Ndipo nikakuelekeza hata namna ya kuandika ikiwa kumtaja mtu kwa umri wake ni muhimu kwako.

Unaweza kuandika hivi: "Mzee Mohamed..."

Yaweza labda kwenu umefunzwa adabu vingine lakini kwa kawaida ya mtoto aliyelelewa hatafanya hivyo kwani ukimtaja mtu kwa hiyo namna yako ni umemtukana.

Ningeweza kukaa kimya na ukawa mwisho wetu lakini nimekuchukulia kama kijana unaehitaji kuelekezwa na ukajua.
 
Mack...
Ninao wazee wangu Wangoni.
Hapo Songea uliza habari za marehemu Abdallah Simba.

Huyo ni babu yangu.

Uliza utaelezwa historia yake kwani alikuwa ndiye Liwali wa maeneo hayo.
Shikamoo Mzee wangu

Kwanza pole na msiba wa kijana wetu Sheikh Zingizi nasikia Jana ijumaa alilala mauti na kuzikwa Msasani

Pili ahsante kwa historia ,wangoni wakwe zangu ,Mungu akuzidishie
 
Hossam,
Hata ukiziacha humu ni kazi bure kwani ninayoandika yapo katika
Maktaba kubwa duniani.

Hapo niko Library of Congress, Washington DC.
Nimo ndani humo:

CCM-bsqAtDtdGEVlN9zh2USSYaIzdUwBvnEVUc8DuVTEwRdlvrJ2tPCpaKebxsRzvc48YLvZaePJlW_ohX86PJu5YVpUgcQ2BFdBAiyIbn7gqb2m25DQcSfn5JSQwSCZPG_GCLDKIrehN4f-77pip6mQNEC4LnrndXpmp69X5QtGB2MzxZR8-GwAY0SDbV9KzVNSFRSo7xAuzpfvY5lAZLdyMZka2dWRs1U2HpfL4WbigytEy5RSsTmpPUlT-MmYyses7r93vnkIs3EY2XVR11gK6XDQcaoVClAzMyZiRwXKPhqyjTXQFjhL9T6BghKAH_EVXvKTBniGeovGPP97g0qAnXktcuGOfIcVC9hldQ5lwxLUEj74sN0oyW_k2XWtJY4x_cQI8g3EeIPAnz76SAC8EWm9TQPalAJdlYurA6SYrnz_Kx25tkLXTT5zCjchXg0LeSdl8yF3f2t_86xj_bYu8t5_OnWuVggaQCTsoOkzNNF-9GFQWOdy3wZuuz02LFwQCBkIddDX3LZxKulgFbhP6ULXEAeiluQvw7culEDYivjnb0qg6yBiWkVIWoMf37d3i7E2J63HILQ8oDi7MHJTkXPfjWlObn7FmBKACw=w941-h630-no


Hapo ni Zentrum Moderner Orient, Berlin.
Nimo hapo:

EV_9nuKc3XIzlhTrBBHy5-Y1CrFtVAP-qLcM41mGnn4c_gZ327J8Sw1eH6Sbh5cZ1jwxCkn2JxxyYgr9DF5ZY0e23UhbhNqluilG25BvuUoko5Tr2nP6RLp4HMJ8-p4qq8WgLbdd12At2ZVquvyCi6O9a9ho7wKj62M8GQ5QEU2CLl46BxIPkOEJq4M1EO3D9sSgbCJeIi7CMD0hopvukKqE-RasOLQxagDAv5w333Arx4LaqxFy1-lqIC2WpyRSJFM_MC6gsKCeowW5L6G_bbYsVad68W4Ri_udytIz7hmHqMLKyqNgkh1UWsE0F2kgS3bw8BcC5FYSys3kMTyRQpQWK4eNgNv9tNRqAb6urm-wEKfoTEBSoa11DpIn58oMUkMauKF24a8TPqdx_nI7z5jSCBN41vKYurFyj1beDkA2nSD8yF3BQSqiWE1x9QqXCip_dYqj4Y5OoyuTJZqS3L0T-HkBiYvtbDZxZgayoF5IKlIx59tvfBJpRxDrnf2TCIhDTmYRtwpprIOKt23Mqv4QcJ6uFXdW6LGW1DbK5yHPT9iEf2HzYMOXWWmm1zisPKaE4fizfw3XqGYUQdSUDJYTtcIsevquqOVFpZdeUVg=w840-h630-no


Hapo Northwestern University, Evanston Chicago.
Nimo hapo:

4L4dDvZ14CgXNQmZ7mzkK_P9Pc85LBoc68vK-hi4CFtpkd1mkEoVF97rlRh3o11q3Ce8Kf03RpbQdegX5scPUipdWp4YxOYTQkSJlpWsZwMGRgtiF8bQEkh2cnWG28nqePw9Vsqs66bSyAI174rZcNPiHrZT_oNvBhh0gAZNVmdakY0Zw_fAhI5wNsIVWEnvKOJHHRvad3X06PJxBvms37CQkmec0qdBzFjsL0cJU-vJuLvd8ACiaxeiLa8csc5vfPEQajDBqFeRDtQNMe3E6ZPSFlDPQRg1TXxVvclGrqdGuXrKMWrHpY3hxN3agtTYPiYL-9m1L1b-GVn4C-A7geMd9M3RJuX2mATOae9sKFbUetOf8HQBo6SeSRgEnKQTW8QASTMF98fRiaoRZc_hVRvOmmgZOA59lX8_pgY5YoxhCq1Fk--Q1G1wcnF9AHGcys9TF888zaWyM-N6MgxHrbMaIZMYrTFffZtyeAm59DqXIx5P_lkXCXdSsAaE_Z6L2WKTpI86_Stg8af_iYWry6iXu0SQ1scFfPZi-dwNocS4BT_qoGShb0UtzmJfttY5jzVpBQ1--geHybhwmcN94Q_G0zRnhLjLIv1_VV5qBzw=w412-h297-no


Hata kwenye Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam...
Nimo.

Huwa tabu sana mtu akija na kitu kipya kupuuzwa...
Ati naacha humu humu...

Hapa Columbia University, New York
Nimo..:

h1zAgAwcRBVh6knGhP0eALRCX7Fm-XyVQMI-4MThgqF-CpYKJb-q56t629vsUOnWEgRsCzTYguU9LnV6DjjxGSUkHnUHzlHjAExu8NJ-bOZ_TAeHGYUiJA_44BIAmcgqVoihKAnv2h6TjlbkR8g2PacbRvMBZk8u7vFVmFI2kznv1AX_iZB0ORZXJ7Ed1RAJ8VzWdSSGQi-tFwF01CHSDZG7MMbzbbKWOKtejlHPLrwWO16jc5Xd0bbZvscc9XkWC7T35C6rgIiAP15efMcPN98mVjWjvAu0ocbLrEb1r_xXFd9QToqzsI2LYTo0fwe_Ibg3jyB4A1eNN6nEWNRBG_5MfvZivHxWyRohRxxYPkttokd9Ctsb_dQ6PmpBGUIgIID8yJdlUpysJQ5FZgCBSe2mdxlgnGfeE6z2N9v82YcIMlib8uxULlkjppB-347hI6neNQZsLLEHFaDp431ZShW3Knkp0JRoKgtiiK5Dh7WnkSH9WHMaBrU3ilc0XrI6-2bZJUxBmFaKgKbDXuyTJQhA09P0Di76vtTOWhBPG7ndawpXkv6g6GicsuuTi4A0kZqStxBcIPRIN82WQdhaNxm5G46rN9N4CtxlkHJ77Ck=w360-h480-no


Kote hapo chini nimo:
  1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
  2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
  20. Awards: Several Awards
  21. Visiting Scholar: (2011)
  22. University of Iowa, Iowa City, USA
  23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
  24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
  25. OTHER COUNTRIES VISITED
  26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Hahahaha, Mzee wangu Mohamed Said wala usitumie nguvu ,hii kitu ungewapa reference wakasome wenyewe
 
Hahahaha, Mzee wangu Mohamed Said wala usitumie nguvu ,hii kitu ungewapa reference wakasome wenyewe
Mtu Chake,
Nimegundua kuwa hii ndiyo njia nyepesi sana ya kuelewana.

Kuna mtu tunafanya mjadala lakini mwenzangu kaghadhibika na lugha ya kejeli imetamalaki sana dhidi yangu anashikilia kuniita ''sheikh,'' kwa kejeli.

Kila ninavyomfahamisha hasikii.
Namwambia kuwa mimi si sheikh unaiweka sifa hiyo sipo.

Nikamwekea hivyo vitu ili turejee nyuma tuelewane.

Hakika alinielewa na lugha ikabadilika akarejea na adabu kamili.
Mimi hainifurahishi sana.
 
Mtu Chake,
Nimegundua kuwa hii ndiyo njia nyepesi sana ya kuelewana.

Kuna mtu tunafanya mjadala lakini mwenzangu kaghadhibika na lugha ya kejeli imetamalaki sana dhidi yangu anashikilia kuniita ''sheikh,'' kwa kejeli.

Kila ninavyomfahamisha hasikii.
Namwambia kuwa mimi si sheikh unaiweka sifa hiyo sipo.

Nikamwekea hivyo vitu ili turejee nyuma tuelewane.

Hakika alinielewa na lugha ikabadilika akarejea na adabu kamili.
Mimi hainifurahishi sana.
Hahahaha, hua natulia sana pindi uwekapo mabandiko yako

Natumai wanaelewa ila kdg kdg
 
Hahahaha, hua natulia sana pindi uwekapo mabandiko yako

Natumai wanaelewa ila kdg kdg
Mtu...
Historia hii huwezi kuisikia ukaipuuza na laiti kama si kuwa nilizaliwa na wazee hawa na katika kipindi kile nisingeyajua haya yote.
 
Babu yetu umeharibu mada ya watu

Mwenzako kaanzisha mada vizur kabisa wewe umeingiza udini kwenye mada yake

Kama ulikuwa unayajua yote haya kwanini usingefungua topic yako? Dah!

Yaan sisi tunajivunia majina ya kibantu wewe unajivunia majina ya kitumwa
Huyo mzee ni laghai, muongo na aliejaa hila! Anataka watanzania kila wanachowaza wawaze udini tu!

Binafsi namwona mhalifu tu, anapenda sana watu wabaguane ki dini! Mwl aliwaita watu kama hao wajinga na wapumbavu!
 
Huyo mzee ni laghai, muongo na aliejaa hila! Anataka watanzania kila wanachowaza wawaze udini tu!

Binafsi namwona mhalifu tu, anapenda sana watu wabaguane ki dini! Mwl aliwaita watu kama hao wajinga na wapumbavu!
Mzizi...
Umeghadhibika na ukighadhibika unapoteza umakini na staha inakutoka.

Hapana udini katika kusahihisha historia iliyoandikwa kwa makosa.

Mimi singependa umwingize Mwalimu Nyerere katika mjadala huu ila uwe umeisoma vyema kwanza historia ya Tanganyika na changamoto zilizokuja na uhuru.

Historia hii naamini mimi naijua vyema na nimeandika sana na moja katika tatizo kubwa baada ya uhuru kupatikana ilikuwa nafasi ya Uislam katika Tanganyika huru.

Hili lilizungumzwa katika Muslim Congress mwaka wa 1962.

Hii ni historia labda wewe huijui na inakughadhibisha kusikia kuwa hili ni tatizo tulilonalo katika jamii.

Hapana haja ya kuhamaki isome historia na haya yote yatakuwa wazi kwako.

Unàweza kuanza kwa kumsoma P. Van Bergen (1981), John Sivalon (1992) na Hamza Njozi (2002).

Kitabu cha Njozi kimepigwa marufuku.
 
Beira...
Hapana mimi ni mtu mzima sana nina wajukuu Alhamdulillah ninachokueleza ni staha.

Umri wangu ni miaka 67 hivyo nikiamini wewe ni kijana mimi ni sawa na baba yako naweza kukuzaa kwa hiyo nastahili heshima ya huu uzee wangu.

Ikiwa nitahisi dalili za utovu wa adabu kutoka kwako kwa jinsi unavyoandika naingiwa na hofu ya kuvunjiwa heshima.

Ndipo nikakuelekeza hata namna ya kuandika ikiwa kumtaja mtu kwa umri wake ni muhimu kwako.

Unaweza kuandika hivi: "Mzee Mohamed..."

Yaweza labda kwenu umefunzwa adabu vingine lakini kwa kawaida ya mtoto aliyelelewa hatafanya hivyo kwani ukimtaja mtu kwa hiyo namna yako ni umemtukana.

Ningeweza kukaa kimya na ukawa mwisho wetu lakini nimekuchukulia kama kijana unaehitaji kuelekezwa na ukajua.
Kama una miaka 67 wewe siyo sawa na baba yangu

Wewe ni sawa na babu yangu
 
Kama una miaka 67 wewe siyo sawa na baba yangu

Wewe ni sawa na babu yangu
Beira...
Mjukuu wangu wa kwanza ana miaka minne.

Mwanangu wa kwanza nimempata 1984.
Fanya "interpolation," utapata jibu.

Uandishi unataka sana kufikiri.

Sababu kubwa ni kuwa kuweka kitu katika maandiko ni kuweka "record."

Hiki ndicho kinakuwa kipimo cha uwezo wako.

Anaekusoma atajua kama una kitu au mtupu.

Ikiwa umeonyesha uwezo wa akili nzuri utaheshimika.

La akikuona hamna kitu ikiwa ni muungwana ndiyo mwisho hatokujibu.

Utaona kapotea.
 
Wewe sema ujuavyo lakin lakin wewe ni babu tu
Beira...
Mjukuu wangu wa kwanza ana miaka minne.

Mwanangu wa kwanza nimempata 1984.
Fanya "interpolation," utapata jibu.

Uandishi unataka sana kufikiri.

Sababu kubwa ni kuwa kuweka kitu katika maandiko ni kuweka "record."

Hiki ndicho kinakuwa kipimo cha uwezo wako.

Anaekusoma atajua kama una kitu au mtupu.

Ikiwa umeonyesha uwezo wa akili nzuri utaheshimika.

La akikuona hamna kitu ikiwa ni muungwana ndiyo mwisho hatokujibu.

Utaona kapotea.
 
Nimejifunza na nimeelewa historia, lakini hao wanaotuletea udini sijaelewa na sidhani kama ina tija sana, zaidi utaanza ugomvi dhidi ya waislamu na wakristo, kwa hali kama hii utagundua kwamba Nyerere angekuwa muislamu basi nchi hii ingekuwa inafuata misingi ya kiislamu lakini Mungu ana makusudi sana.
muanzisha uzi hajataja dini ila kuna watu bado wanavinyongo na nguvu ya dini zao (acheni hizo)
Nyerere alikuwa na akili sana kuweka uhuru wa kidini, japo yeye ni mkristo lakini hakuwahi kujisifia eti ni Nguvu ya ukristo au laah,.....
Mungu wetu ni mmoja sasa hayo matabaka ya kidini yatatuletea faida gani,

Kama hao akina Abdul Sykes walikuwa wanashawisiana kuunda TANU tangu 1950 sasa walikuwa wapi mpaka Nyerere aje aanzishe 1954 na atupe uhuru 1961?
mimi sijui Historia japo inaniuma navyoona kitu cha kawaida mtu anakuja kuingizia mambo ya kidini wakati mada haihusiani na hivyo
Wakristo tumshukuru sana Mungu kwa kutupatia mtu mwenye busara sana aliyetusaidia kuikomboa nchi kutoka kwa wakoloni maana bila hivyo ingekuwa shida sana kutokana na haya yanayoonekana sasa.
 
Nimejifunza na nimeelewa historia, lakini hao wanaotuletea udini sijaelewa na sidhani kama ina tija sana, zaidi utaanza ugomvi dhidi ya waislamu na wakristo, kwa hali kama hii utagundua kwamba Nyerere angekuwa muislamu basi nchi hii ingekuwa inafuata misingi ya kiislamu lakini Mungu ana makusudi sana.
muanzisha uzi hajataja dini ila kuna watu bado wanavinyongo na nguvu ya dini zao (acheni hizo)
Nyerere alikuwa na akili sana kuweka uhuru wa kidini, japo yeye ni mkristo lakini hakuwahi kujisifia eti ni Nguvu ya ukristo au laah,.....
Mungu wetu ni mmoja sasa hayo matabaka ya kidini yatatuletea faida gani,

Kama hao akina Abdul Sykes walikuwa wanashawisiana kuunda TANU tangu 1950 sasa walikuwa wapi mpaka Nyerere aje aanzishe 1954 na atupe uhuru 1961?
mimi sijui Historia japo inaniuma navyoona kitu cha kawaida mtu anakuja kuingizia mambo ya kidini wakati mada haihusiani na hivyo
Wakristo tumshukuru sana Mungu kwa kutupatia mtu mwenye busara sana aliyetusaidia kuikomboa nchi kutoka kwa wakoloni maana bila hivyo ingekuwa shida sana kutokana na haya yanayoonekana sasa.
Windson,
Kila jamii na kila watu wana historia.

Historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika imeandikwa lakini cha kustaajabisha historia hii imewafuta wazalendo wengi sana.

Imesadifu kuwa historia hii ni historia ya wazee wangu na ninaijua vyema kwa kuwa achilia mbali kuwa waasisi wa harakati za kudai uhuru ni wazee wangu, mimi nimezaliwa katika kipindi hicho.

Baadhi ya wazalendo hawa nimewajua toka udogoni.

Kwa kuona upungufu huu ndipo niliponyanyua kalamu nikaandika historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya TANU nikitumia Nyaraka za Sykes.

Kitabu kikachapwa London 1998 kwa Kiingereza na tafsiri ya Kiswahili ikachapwa Nairobi mwaka wa 2002.

Kitabu hiki kimebadili historia nzima ya uhuru wa Tanganyika na nimeeleza mchango wa Waislam katika kupambana na ukoloni.

Wako ambao hawakupendezewa na kitabu hiki lakini pia kuna wengi sana wamekipenda kitabu kiasi sasa tunakwenda toleo la nne.

Hakuna suala la udini labda kama waliowafuta wazee wangu kwenye historia ya chama walichokiasisi walifanya hivyo kwa udini kwa kuhofu kuonyesha mchango wa Waislam katika kudai uhuru wa Tanganyika.

1575103816551.png
 
Wakati cc wengine tunajivunia waafrika wenye majina halisi ya kiafrika kutetea utu wetu mwingine anaibuka na KUCHAFUA historia kwa kisingizio cha DINI za kigeni, anafoji Lwafu isomeke kiarabu!?! Shame upon u.

Katika hayo majina uliyoweka sijaona la kiislam labda pengine tumia neno bin ili kutuaminisha unachotaka.

Historia haidanganyi, km kweli wajerumani ktk vita ya majimaji walipgana jihad na wapganaji wa kiislam basi walau tungeona ule muji una waislam wengi zaidi ya dini zingine, lakini songea pale waislam hawafk ht 20% nimeishi pale kwa miaka 5 uislam upo na kijikabila kipo mtaa unaitwa ruvuma kinaitwa wayao wavivu sana na maskini wa kutupwa ambao sifa yao kubwa n wanapenda sn chini na wanazaa sanaaaa.

Mohammed Said acha kabisa UPOTOSHAJI kwa wengine ambao tunajivunia rekodi hizi unatuboa sana tena sana, hizo swaga peleka madrasa

Tukiachana na kasumba na ushabiki wa dini, Ki-uhalisia hakuna mtume yeyote aliyekuja na majina kwa ajili ya kuwaita wafuasi wake. Tulio wengi tumeathirika na kasumba kutokana na kutopenda kufanya utafiti hata ule mdogo kuhusu baadhi ya mambo tunayoyaamini.

Ndiyo maana leo hii Waafrika walioupukea uislamu hudhani kuwa yale majina ya kiarabu ndiyo ya KIISLAMU kitu ambacho siyo kweli maana hata Mtume Muhamad (SAW ) aliyakuta. Waafrika waliyopokea UKRISTO nao hudhani ya kuwa yale majina ya kizungu ndiyo ya KIKRISTO kitu ambacho pia si kweli maana majina yalikuwepo kabla mitume hawajafika.

Ki uhalisia majina yametokana na mila za watu mbalimbali ndiyo maana hata watu weupe (Waarabu, Wazungu, waajemi, wachina, wajapani na wakorea) wanatofautiana majina kulingana na lugha na tamaduni zao. huwezi kukuta mchina anaitwa jina la kijapani au ukute muhajemi anaitwa jina la kiarabau. Hata wazungu ni mara chache kukuta Muitaliano anaitwa jina la kirusi.

Sisi wazee wetu hawakuwa wakihoji au kudadisi, wao waliopokea tu mradi wamepewa na weupe (Umasikini mbaya ) ndiyo maana leo hii baadhi yetu tumefikia kuhoji kwa nini fulani ana jina la kiislamu halafu anaenda kanisani (& vice versa). Tujitambue tuanze kutukuza vyetu (japo tumechelewa)
 
Mzizi...
Umeghadhibika na ukighadhibika unapoteza umakini na staha inakutoka.

Hapana udini katika kusahihisha historia iliyoandikwa kwa makosa.

Mimi singependa umwingize Mwalimu Nyerere katika mjadala huu ila uwe umeisoma vyema kwanza historia ya Tanganyika na changamoto zilizokuja na uhuru.

Historia hii naamini mimi naijua vyema na nimeandika sana na moja katika tatizo kubwa baada ya uhuru kupatikana ilikuwa nafasi ya Uislam katika Tanganyika huru.

Hili lilizungumzwa katika Muslim Congress mwaka wa 1962.

Hii ni historia labda wewe huijui na inakughadhibisha kusikia kuwa hili ni tatizo tulilonalo katika jamii.

Hapana haja ya kuhamaki isome historia na haya yote yatakuwa wazi kwako.

Unàweza kuanza kwa kumsoma P. Van Bergen (1981), John Sivalon (1992) na Hamza Njozi (2002).

Kitabu cha Njozi kimepigwa marufuku.
Mie siwezi kugadhabiika kwa ajili yako Babu MS...japo hupendi kuitwa babu sijui kwanini!

Nawapa tahadhari tu watu wasioweza kubaini nia yako ovu uliyoificha chini ya kivuli cha "kuijua sana historia"!
Bahati nzuri watu wengi wanaanza kukustukia kuwa unachanganya mambo makusudi kitapeli kulaghai watu!

Mwl ntamtumia tu, hakuna mtu mwenye haki zaidi ya kutumia misemo ya Baba wa taifa! Ni kweli wadini aliwaita wajinga wakati akawaita wapumbavu!
 
Back
Top Bottom