Vita vya yom-kippur kati ya Israel na waarabu 1973-1

Vita vya yom-kippur kati ya Israel na waarabu 1973-1

Hii ndiyo hasara ya kushinda kwenye vijiwe vya Kahawa!!!!!!
Nchi za kiarabu hazisaidiwi na taifa lingine, wanajisaidia wao kwa wao tu.


Israel ndo anaye saidiwa na taifa lingine sio la ki Israel.

Kilio cha wenzako wanavyo ogopa kikosi tu cha kiarabu, magazeti yao yanajaribu kujidai wao wamba lakini wanaogopa, ukweli ndio huo.

Erdan: Hezbollah Has 200,000 New Rockets, and the Same Goal

Israel's enemies now aim to instill fear and chaos rather than to conquer land. Israel's job is to stop them, minister says.
AAFont Size

By Maayana Miskin First Publish: 10/9/2013, 10:37 AM



381671.jpg
Hamas terrorists train for rocket attacks
Israel news photo: Flash 90

Israel's enemies are taking a new approach to warfare, and Israel must be ready, Minister of Home Front Defense Gilad Erdan said Tuesday, speaking at a conference at Bar Ilan University.
"Our enemies have abandoned the idea of conquering territory in the land of Israel. What remains is their desire to defeat Israel by threatening the homefront," he explained.
The preparations Israel's enemies have made clearly show that their aim in a future battle would be to attack civilians and civilian infrastructure, he said.
Hezbollah in particular has focused on stockpiling missiles and increasing their accuracy, Erdan said. The group now has over 200,000 rockets, he warned, "Every tenth house in Lebanon has either a rocket launcher, or ammunition in storage."
A future battle would likely be similar to the Second Lebanon War, but on a larger scale, he said, "Three weeks in which thousands of rockets are fired at the Israeli homefront, at the entire country."
Hezbollah would use its most accurate rockets carefully, he said. "They'll try to aim those where it would do the most harm to daily life," he said.
This new style of battle – a war of terror targeting the civilian population – has radically changed the importance of the Home Front, Erdan said. The homefront was once important in times of war due to its ability to produce goods that were needed on the battlefront, he said.
"Today, the importance of the homefront has increased dramatically, and is almost equal to that of the IDF on the battlefront," he declared. "It's a completely different way of thinking."
Israel's enemies plan to defeat Israel by breaking its citizens' spirit, he said. Israel's job is not to let them do that.
"My job, and that of my ministry, is to bring the Home Front to a level of preparedness… to create an apparatus that ensures that whatever happens, we will continue to function," he said. Daily life must continue, and will continue, even if Israel comes under attack, he stated.
Erdan noted that while he sees Hezbollah's massive rocket arsenal as a "realistic scenario," he does not believe that Israel's enemies will use chemical weapons.
 
Mimi bado sijafahamu kwani Israel walisema wanadanganya wale walio sema USA alitusaidia kwenye vita.

Hapo wenye akili mbona wameisha jua wazi, siku zote mwizi anawahi kujitetea hajaiba.

Na kama ulisaidiwa lazima useme hujasaidiwa, na kusema wengine wanazua uwongo.

sio mbaya hata akisaidiwa c warabu nao walisaidiana
 
MUNGU IBARIKI ISRAELI iendelee kuwachapa hao wafilisti mpaka warudi Jangwani
 
MUNGU IBARIKI ISRAELI iendelee kuwachapa hao wafilisti mpaka warudi Jangwani
Hawezi kuwabariki hao wa Israel hata siku moja, alisha wabariki wajukuu wa Ismaili na dalili ni hizi hapa.

Mungu alipopeleka mailaka kuongea na wanawake mtu wa kwanza kuongea na malaika Alikuwa Hagar, mama wa warabu na mtoto wake Alitwa Ismail, yani Mungu anasikia, warabu wanasikilizwa na Mungu kwa salaa zao.

The name Ishmael was also chosen by God Himself: Genesis 16:11: "And the Angel of the Lord said unto her [Hager]: 'Behold, thou art with child, and shalt bear a son, and shalt call his name Ishmael, because the Lord hath heard thy affliction."' Ishmael means "God hears."

Long before both Ishmael and Isaac were born, God made a covenant with Abraham:


That covenant was made with Abraham and Ishmael:

Genesis 17:10 This [is] my covenant, which ye shall keep, between me and you and thy seed after thee; Every man child among you shall be circumcised.


 
ADIOSAMIGO tafadhali acha UDINI wako kama huna point acha kuchangia wewe umekuwa mtu wa kuchafua MADA za wengine kwa kuzigeuza na kuingiza mambo ya DINI hivyo kusababisha Marumbano yasiyo na tija hatimaye wewe umekuwa ukisababisha MADA za wengine Kufungwa,Mimi kama mtoa mada mada yangu haikuwa na chembe ya DINI lakini ADIOSAMIGO sijui kwa sababu ya Ugeni wake amekuwa akiibadirisha Mada hizo na na kuingiza Udini Kitu ambacho si kizuri na si cha kiungwana,ACHA MARA MOJA!!!!!!!!.
Hawezi kuwabariki hao wa Israel hata siku moja, alisha wabariki wajukuu wa Ismaili na dalili ni hizi hapa.

Mungu alipopeleka mailaka kuongea na wanawake mtu wa kwanza kuongea na malaika Alikuwa Hagar, mama wa warabu na mtoto wake Alitwa Ismail, yani Mungu anasikia, warabu wanasikilizwa na Mungu kwa salaa zao.

The name Ishmael was also chosen by God Himself: Genesis 16:11: "And the Angel of the Lord said unto her [Hager]: 'Behold, thou art with child, and shalt bear a son, and shalt call his name Ishmael, because the Lord hath heard thy affliction."' Ishmael means "God hears."

Long before both Ishmael and Isaac were born, God made a covenant with Abraham:


That covenant was made with Abraham and Ishmael:

Genesis 17:10 This [is] my covenant, which ye shall keep, between me and you and thy seed after thee; Every man child among you shall be circumcised.


 
ADIOSAMIGO tafadhali acha UDINI wako kama huna point acha kuchangia wewe umekuwa mtu wa kuchafua MADA za wengine kwa kuzigeuza na kuingiza mambo ya DINI hivyo kusababisha Marumbano yasiyo na tija hatimaye wewe umekuwa ukisababisha MADA za wengine Kufungwa,Mimi kama mtoa mada mada yangu haikuwa na chembe ya DINI lakini ADIOSAMIGO sijui kwa sababu ya Ugeni wake amekuwa akiibadirisha Mada hizo na na kuingiza Udini Kitu ambacho si kizuri na si cha kiungwana,ACHA MARA MOJA!!!!!!!!.
Na aliye andika Mungu ibariki Israel alikuwa hajaingiza udini.
 
Na aliye andika Mungu ibariki Israel alikuwa hajaingiza udini.



Mkuu!

Nimefuatilia posts zako hapa kiduchu...uliyoandika ni makini mno na pia yanaingia akilini tena kwa mantik ya hali ya juu na mwendo/mtiririko mzuri wenye kufahamika.

Kwa kifupi;pamoja na yoote,wewe pia ulikuwa unajaribu kuonyesha upande wa pili wa shilingi,na kuwaomba jamaa zetu wasikumbwe au kuvutiwa mno na propagandas zisokwisha za Israel;ambayo siku zoote tangu iundwe hujifanza kama vile vita zoote wanapigana wao wenyewe binafsi kwa hali na mali bila ya msaada wowote toka Western World!?

Ghafula,naona kaingia jamaa kaanza kuweka vi-sentensi vya kidini...nakhis ndipo hapo alipokutibua,na wewe ukaamua kudondosha mistari kivingine!? Kwi! Kwi! Kwi!

Usijali sana huyo Echolima kukukanya,japo nakhis ametumia commanding language...lakini si unajua mwenzetu huyo ni Askari!? Kwi! Kwi! Kwi!

Tena una bahati huyo Echolima ni mstaarabu kiduchu,wangekua wale wengine ungekua umeshaitwa gaidi,mnywa gahwa/kashata,hujasoma na kashfa nyingine kadhaa!

Kaza buti,tupo pamoja Mkuu!

Ahsanta.
 
Mkuu!

Nimefuatilia posts zako hapa kiduchu...uliyoandika ni makini mno na pia yanaingia akilini tena kwa mantik ya hali ya juu na mwendo/mtiririko mzuri wenye kufahamika.

Kwa kifupi;pamoja na yoote,wewe pia ulikuwa unajaribu kuonyesha upande wa pili wa shilingi,na kuwaomba jamaa zetu wasikumbwe au kuvutiwa mno na propagandas zisokwisha za Israel;ambayo siku zoote tangu iundwe hujifanza kama vile vita zoote wanapigana wao wenyewe binafsi kwa hali na mali bila ya msaada wowote toka Western World!?

Ghafula,naona kaingia jamaa kaanza kuweka vi-sentensi vya kidini...nakhis ndipo hapo alipokutibua,na wewe ukaamua kudondosha mistari kivingine!? Kwi! Kwi! Kwi!

Usijali sana huyo Echolima kukukanya,japo nakhis ametumia commanding language...lakini si unajua mwenzetu huyo ni Askari!? Kwi! Kwi! Kwi!

Tena una bahati huyo Echolima ni mstaarabu kiduchu,wangekua wale wengine ungekua umeshaitwa gaidi,mnywa gahwa/kashata,hujasoma na kashfa nyingine kadhaa!

Kaza buti,tupo pamoja Mkuu!

Ahsanta.
Asante sana.
 
Misri ilitumia siku ngapi kuikomboa Canal Suez kutoka kwa Waislael.
 
Mimi bado sijafahamu kwani Israel walisema wanadanganya wale walio sema USA alitusaidia kwenye vita.

Hapo wenye akili mbona wameisha jua wazi, siku zote mwizi anawahi kujitetea hajaiba.

Na kama ulisaidiwa lazima useme hujasaidiwa, na kusema wengine wanazua uwongo.
Mkuu nakusoma na miwani ya 3D endelea kutoa darsa.
 
Misri ilitumia siku ngapi kuikomboa Canal Suez kutoka kwa Waislael.
Alikaa miaka tisa, lakini kumbuka Israel hakuwa peke yake nchi za Europe/USA walikuwa wamevaa tu mavazi ya kijeshi kama ya Israel.

Ngojea sasa USA wawache kuwahonga wa Misri, uone kama Israel itakuwa iko katika usalama.
 
Nimejaribu kufuatilia kwa makini historia ya hii vita kupitia chaneli ya aljazeera english katika makala walizo zibatiza jina la" the war in october".Kotokana na sehemu mbili kati ya tatu ya makala hizi,nimepata kuelewa kwamba waarabu walionekana karibia kushinda vita hii,lakini jinsi muda ulivyololoma ndivyo majeshi ya israel yalivyokuwa yakijipanga kimkakati dhidi ya maadui wawili ambao nao waliongezeka kutokana na nchi kama Iraq na Jordan kuwaongezea nguvu za kijeshi misri na Syria hii yote ilitokana na hisia na chuki za waarabu dhidi ya taifa teule la Israel na ikichagizwa sana ni dhihaka ya Israel kuwapiga waarabu kwa siku 6 katika miaka michache kabla ya msuguano huu kujirudia tena.Kuna watu wanauliza nani alikuwa na vifaa vya kisasa kuliko mwenzake,jibu ni misri alikuwa na vifaa vizuri vya kijeshi kuliko israel na hii wamekili kabisa viongozi wa kijeshi wa nchi zote mbili kwani misri ilikuwa inapata sapoti ya vifaa vya kivita kitoka muungano wa kisoviet,na pia inasemekana Israel baada ya zana zao za kivita kuona zinapungua walikuwa wakipokea zana kutoka marekani kama mshirika wake kijeshi na pia marekani ilikuwa ikiipatia Israel taarifa za kijasusi ambazo zilizikusanya kupitia anga ya misri na Syria ambazo kutumia ndege za kivita zinazojulikana kama THE BLACK BIRD, tarifa hizi zilichochea ushindi mkubwa kwa taifa la Israel.Yote juu ya yote hitimisho la hii vita kuna makala ya mwisho ita rushwa alhamisi hii,kwani inasemekana vita hii ilinogesha vita baridi.
 
Askari wa MISRI walitumia siku moja tu kuvuka mfereji wa Suez siku hiyo 06-10-1973 majeshi yote ya Misri na Syria yalipata mafanikio makubwa sana kwenye uwanja wa Vita lakini ilipofika tarehe 08-10-1973 majeshi ya Misri na Syria yalishindwa kabisa katika Viwanja vyote vya Mapigano,Misri walishindwa kukidhibiti kikosi cha vifaru kilichokuwa kinaelekea kulidhibiti daraja la Ismailia na Vikosi hivyo vya israel vilipolidhibiti Daraja hilo vilikata Supply Route kwa majeshi ya Misri yaliyokuwa kwenye Jangwa la Sinai na yaliyokuwa yamevuka mfereji wa Suez,Baada ya Israel kulidhibiti Daraja hilo vikosi vingine vya Israel vilishika njia ya kuelekea Mji mkuu Cairo, Majeshi hayo ya Misri yaliachwa bila msaada hivyo kupelekea Rais wa Misri Anwar Sadat alipoona Majeshi ya Israel yanaelekea Cairo hakika aliona mambo yanaenda kuwa Magumu hasa akiangalia nguvu waliyotumia na misaada waliyopewa na nchi za kiarabu aliamua kwa Moyo mmoja kuachana na nchi zingine ili tu iwepo Amani maana wametumia nguvu lakini hata chembe ya kurudisha ardhi yao haionekani basi kaamua tu kuunga mkono juhudi za kusimamisha mapigano maana hata kama angekataa huku Majeshi ya Israel yalikuwa yanasonga mbele kuelekea mji mkuu Cairo Anwar Sadat aliamua kuachana na vita na kuanza kutafuta suluhu ya kusimamisha mapigano baadaye waliweka mkataba wa Amani na Israel
Misri ilitumia siku ngapi kuikomboa Canal Suez kutoka kwa Waislael.
 
Askari wa MISRI walitumia siku moja tu kuvuka mfereji wa Suez siku hiyo 06-10-1973 majeshi yote ya Misri na Syria yalipata mafanikio makubwa sana kwenye uwanja wa Vita lakini ilipofika tarehe 08-10-1973 majeshi ya Misri na Syria yalishindwa kabisa katika Viwanja vyote vya Mapigano,Misri walishindwa kukidhibiti kikosi cha vifaru kilichokuwa kinaelekea kulidhibiti daraja la Ismailia na Vikosi hivyo vya israel vilipolidhibiti Daraja hilo vilikata Supply Route kwa majeshi ya Misri yaliyokuwa kwenye Jangwa la Sinai na yaliyokuwa yamevuka mfereji wa Suez,Baada ya Israel kulidhibiti Daraja hilo vikosi vingine vya Israel vilishika njia ya kuelekea Mji mkuu Cairo, Majeshi hayo ya Misri yaliachwa bila msaada hivyo kupelekea Rais wa Misri Anwar Sadat alipoona Majeshi ya Israel yanaelekea Cairo hakika aliona mambo yanaenda kuwa Magumu hasa akiangalia nguvu waliyotumia na misaada waliyopewa na nchi za kiarabu aliamua kwa Moyo mmoja kuachana na nchi zingine ili tu iwepo Amani maana wametumia nguvu lakini hata chembe ya kurudisha ardhi yao haionekani basi kaamua tu kuunga mkono juhudi za kusimamisha mapigano maana hata kama angekataa huku Majeshi ya Israel yalikuwa yanasonga mbele kuelekea mji mkuu Cairo Anwar Sadat aliamua kuachana na vita na kuanza kutafuta suluhu ya kusimamisha mapigano baadaye waliweka mkataba wa Amani na Israel
Mkuu!

Mbona umeishia njiani majeshi ya Israel yaliachia yenyewe Canal Suez bila vita?

Kwa maana hiyo majeshi ya Misri hayakuikomboa Canal Suez.

Hebu tufahamishe vizuri hapa.
 
bila kusahau enzi hizo kiteknolojia RUSSIA/USSR walikua na vifaru bora kuliko USA. Sasa hapo aidha ni miujiza au waarab hawajui kupigana vita maana wao ndo walikua na vifaa vya kirusi

Labda ilikuwa miujiza! Misri pamoja na Syria zilisaidiwa na: Iraq, Libya, Saudi Arabia, Kuwait. Tunisia, Morocco, na Jordan! Jeshi la Israel lilibakiza km 105 tu kuingia mji mkuu wa Misri - Cairo!
Au yale maandiko yalikuwa yakitimia [Walawi 26:3, 7-8]
 
Labda ilikuwa miujiza! Misri pamoja na Syria zilisaidiwa na: Iraq, Libya, Saudi Arabia, Kuwait. Tunisia, Morocco, na Jordan! Jeshi la Israel lilibakiza km 105 tu kuingia mji mkuu wa Misri - Cairo!
Au yale maandiko yalikuwa yakitimia [Walawi 26:3, 7-8]

Israel nayo ilisaidiwa na almost all western nations

Sadaat aliwa betray viongozi wenzake wa kiarabu
 
Back
Top Bottom