GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Wanataka wenyewe kwakuwa wanamkataa mjumbe wa YESU(MUNGU) anayeitwa NETANYAHU awaletee AmaniVita nchini Lebanon ilipokuwa inaelekea mwisho, mzozo mwingine mkubwa umezuka Mashariki ya Kati - au labda si mpya sana. Waasi wa Syria wanaopinga serikali wameanzisha mashambulizi ya haraka dhidi ya jiji kubwa zaidi nchini, Aleppo. Tayari wanadhibiti vijiji kadhaa na wameendelea hadi barabara kuu ya Damascus-Aleppo.
Kwa mara ya kwanza tangu 2020, mapigano makali yamezuka nchini Syria. Vikosi vya serikali vinatoa upinzani dhaifu. Waasi wanasonga mbele kwa kasi, na vikosi vya Assad vimeshindwa kuwazuia, vikijiondoa vyenyewe maeneo
Wakati wa mapigano karibu na Aleppo, mshauri wa kijeshi wa Iran, Jenerali wa IRGC Kiyumars Pourhashemi, aliuawa. Shughuli mpya za waasi zimechochewa na kushindwa kwa Hezbollah na Israeli na kupelekwa tena kwa vikosi vya Urusi vilivyokuwa syria Ukraine. Dikteta wa Syria Bashar al-Assad amepanda ndege haraka kwenda Urusi kwa mashauriano na Putin.
Kulingana na ripoti ambazo hazijathibitishwa, makumi ya wanajeshi wa Urusi kutoka kwa "PMC ya Wagner" wameuawa wakati wa mashambulizi ya waasi, na baadhi , ya silaha na usafiri wa Urusi zimekamatwa. Waasi wanabomoa picha za Bashar al-Assad na alama zinazohusishwa na Urusi. Wametangaza kuwa maadui wao wakuu ni WaIrani na Warusi, wanaounga mkono utawala wa Assad.
View attachment 3165135
Mcheki naye huyu misumu imemtagia mayai kichwaniInshallah tutashinda makafiri
Tunamwomba Allah akatutendee haki siku ya kiyama kwa bikra safi
Kwani wakuu nyie mnafatilia media gani? Una uhakika urusi kadorola huko Ukrainr?.Iran na Russia kweli hawawezi kukubali Utawala wa Assad uanguke lakini hawana jinsi.
1. Kumbuka Russia anamenyana huko kwake na Ukraine -na hali sio poa kwa Russia katika vita hiyo. Hali ni tete kiasi kwamba Russia ameanza kuokoteza au kubangaiza wapiganaji mamluki e.g. Houthis, N.Korea n.k.
2. Kumbuka Juzi kati hapo viwanda vya kutengeneza silaha vya Iran vilishambuliwa na kuharibiwa na (IDF) Israeli. Kwa mantiki hiyo Iran imepungukiwa na uwezo wa Utoaji wa misaada ya Hali na Mali (silaha na mafunzo)kwa makundi ya kigaidi na hivyo uwezo wake kumsaidia Asad pia nao umepungua.
Ni katika mtizamo huo Bwana Asad wa Syria atakuwa na wakati mgumu sana.
Mkuu kwamba iran ni underdog kwa turkiyeTurkey siyo nchi ya kupambana na Underdog Iran.
ni sawa, ila marekani ukatoliki si mwingi kivile ndio maana katoliki haipendi sana marekani huwa inaona inaharibu dhehebu lao kwa kueneza madhehebu yasiyo ya kikatoliki. Wakatoliki wanaona kama wanahujumiwa. Mind kuwa kuna othodox ya mashariki na ya magharibi, hao ukraine huenda wamejiunga na ya magharibi.Kwa nini Ukraine wawe vibaraka wa Marekani na si Urusi ambao ni waothodox wenzao? tunarudi pale pale ni masilahi ndo yamefanya ndugu hawa wagombane.
Mbona hujawahi kujiuliza kuwa ni kwann Venezuela na Cuba ni maadui wakubwa wa Marekani ambao ni wakatoliki wenzao?
Ulisha wahi kujiuliza ni kwanini China na Vietnam ni maadui wakati wote ni mabudha?
Ulisha wahi kujiuliza ni kwanini Bangladesh ilitengana na paksitani hali yakuwa wote ni waisilam?
Linapo kuja suala la masilahi ya wana siasa mambo ya sijui undugu , sijui dini ,sijui kabila huwa ni takataka kwake,mwana siasa kumuua hata baba na mama yake kwa ajili ya madaraka ni kitu cha kawaida.
Unaijua vizuri siasa ya middle east? Please kabla hatujaanza midahalo em nenda kwanza kajifunze uko mitandaoni at least ujue baadhi ya key issues vinginevyo unaajenda yako please be well informed before engaging! Itakupunguzia kutokuelewa vitu vingi kama nia ni kuelewaUkilipwa unaua ndugu zako ?
Tumia akil kdg tu utaelewa