Vita ya Aleppo inaanza tena

Vita ya Aleppo inaanza tena

Weka sababu yoyote unadhani ndio itafanya Russia asiende kusaidia!! Lkn mm nakuakikishia RUSSIA aitokubali kuanguka kwa serikali ya Assad Wanasababu nyingi sana za kuilinda SYRIA lkn pia usidanganyike kuwa Russia aina Wajeda wakupigana kwakuchukua Wajeda w korea Hii ya kuchukua Wajeda ipokimkakati zaid sio vile unadhani!!! Moja ya Sababu wanataka washilika wake wapate uzoefu Vitani mfano kizazi cha Wajeda wasasa wote w Korea awajawai kupigana vita ndio mn korea kusini ilichukia kusikia N korea wamepeleka wajeda Russia wanajua wenzao wanaenda kwenye mafunzo yajuu kivitendo yenye Hatari harisi. Usidhani tu Russia kaishiwa ata ukisikia IRAN kapeleka Missile Ressia jua ivyo Iran ndio kaomba ikatest Tec yake kwenye Air DF ya West marekani na West wanajua ivyo wanachukia sana kujua washilika wa Ressia wanapata Uzoefu na kutest vitu vyao,,, lkn sasa marekani aiwezi sema ilo la kweli kivita aipo ivo hii Vita watu wanakufa pande zote ,, sasa kipropaganda itabidi waseme Russia kaishiwa Wanajeshi Russia anategemea Misile za Iran hii ni propaganda dogo jiongeze kichwani kidogo. RUSSIA ni dude kubwa sana ndio mana wamejikusanya lkn wapi Tegemea vita upya apo Syria lkn west awashindi iyo vita wanaopigana apo ni wajeda w West pamoja na Uturuki lkn kwenye picha utaoneshwa Waarabu ndio ilivo kimikakati ya jeshi. Kwasasa majibu tumepata Hezboollah kukubali kusimamisha mapigano kule na Israel kulichangiwa na ukweli huu w Syria yumkin walishapata fununu ya kuzuka vita Syria na niwao tena ndio tegemeo kule syria sasa unaweza pata picha West waliratibu alaka hii vita ya Syria ili kumuokoa Israel mana ilishakuwa piga nikupige piga nikupige ndio utaona Marekani ataki kuondoka Syria Yupo pale kimkakati.
Hili gazeti kwakweli siwezi kulimaliza, Anza upya
 
Russian newspaper Izvestia:

The major terrorist attack on Aleppo was coordinated between Turkish Intelligence and Ukrainian intelligence and French intelligence with Israeli support and American approval.

The planning had been in progress for two months and the attack was supposed to take place next March, but the events in Lebanon contributed to the urgency.

@meiaagency
 
Sehemu yote ikiwa chini ya udhibiti wa serikali huu mgawanyiko hauwezi kuwa na nguvu.
Tatizo lipo kwa Uturuki na Marekani kunganganua nchi Syria.
Tatizo La Syria lipo kila nchi ya Kiarabu Middle East, ni suala muda kutokea nchi nyingine.

Washia na Wasunni hawawezi kukaa chungu kimoja bila kuchangamshana...

Hata hapa Tanzania tafuta mijadala ya Masheikh wa Kissuni dhidi ya Washia au vice versa, sasa Imagine hiyo Hali kwenye nchi ambayo Serikali ni ya Kishia au Kissuni.
 
Turkey, Israel na USA wote lao Moja hapo syria.ila nimefurahi Russia amenimwagia moto wa kutosha usiku wa kuamkia leo hawa waasi hawana maisha marefu wameanza kulia kuwa Russia ana commit war crimes
Syria lazima itagawanyika usijipe moyo labda kama hujui Geopolitics, next country yenye demographic kama Ya Syria ni Iraq
 
Tatizo La Syria lipo kila nchi ya Kiarabu Middle East, ni suala muda kutokea nchi nyingine.

Washia na Wasunni hawawezi kukaa chungu kimoja bila kuchangamshana...

Hata hapa Tanzania tafuta mijadala ya Masheikh wa Kissuni dhidi ya Washia au vice versa, sasa Imagine hiyo Hali kwenye nchi ambayo Serikali ni ya Kishia au Kissuni.
Kabla ya vita mbona huo mgawanyiko unao usema mbona haukuwepo , kuhusu wasuni na washia kusemana mbona wasabato na wakatoliki wanasemana na hakujawahi kuwa na tatizo ndani ya Tz?.
 
Hizi ndio derby sasa

Kobaz vs kobaz.

Huwez sikia neno war crime, Al Jazeera huwezi kuwaona maeneo kama haya, kobaz waliojazana Ulaya huwezi kuwaona wakiandamana ila subiri siku mu Israel akianza kutoa kichapo makelele Kila Kona.

Ndio hapo utakapojua bila unafiki maisha hayaendi.
 
Kwani wakuu nyie mnafatilia media gani? Una uhakika urusi kadorola huko Ukrainr?.

Week hii mwanzon kama sio week iliopita mwishoni, nilikuwa nacheki al jazeera, ... nikasikia kwamba mapigano katika Kursk yanazidi kuwa tafu kwa Ukraine na washirika wake , ipatayo asilimia 40 ya maeneo yaliyotekwa na Ukrein pale kursk yameshatwaliwa tena na urusi na hali inazidi kuwa tete, LAKINI pia huko mashariki mwa ukrein ,urusi anazidi kusonga kwa kasi.
Uko sahihi mkuu na sijasema Urusi kadorora huko Ukraine. Urusi yupo anapambana huko Ukraine lakini katika mapambano yoyote yale kuchoka huwa kupo na kupata hasara au kupoteza Watu , askari Wapiganaji, Mali vitu/vifaa ni kawaida ya Vita.
 
Kabla ya vita mbona huo mgawanyiko unao usema mbona haukuwepo , kuhusu wasuni na washia kusemana mbona wasabato na wakatoliki wanasemana na hakujawahi kuwa na tatizo ndani ya Tz?.
Vita ya Syria ni muendelezo wa Migogoro ya mipaka iliyoanza baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia kuisha...

Nchi za middle east zote zilitakiwa zigawanywe kulingana na Dini na Kabila... Fatilia History ya Syria utakuta Allawites walingia madarakani kwa mapinduzi na Kuanzisha chama kama CCM ambacho kikawa kinaongoza nchi kimabavu
 
Hizi ndio derby sasa

Kobaz vs kobaz.

Huwez sikia neno war crime, Al Jazeera huwezi kuwaona maeneo kama haya, kobaz waliojazana Ulaya huwezi kuwaona wakiandamana ila subiri siku mu Israel akianza kutoa kichapo makelele Kila Kona.

Ndio hapo utakapojua bila unafiki maisha hayaendi.
Kobazi Ndio SI unit ya Unafiki huko Syria Ndio matu wanauliwa kama Rwanda 1998 lakini hutaona Free Syria
 
Cha kwanza nakubaliana na wewe ila Cha pili hakuna kiwanda Cha silaha Cha Iran kilicholipuliwa mkuu.
It is nearly impossible kulipua tunnels za silaha za Iran.
Na takriban Kila mji Kuna tunnels za kuunda na kuhifadhi silaha ndani ya Iran.
Iran ana stock kubwa sana ya silaha.
Labda useme Kwa namna mzozo ulivyo umewabana Iran na Russia kusaidia.
Cha pili: Hii ni nukuu.
Picha za satelaiti za baada ya mashambulizi ya Israel zinaonyesha uharibifu wa majengo katika kile ambacho wataalamu wanasema ni kituo kikuu cha kutengeneza silaha kilichopo katika eneo la Parchin, lililopo takriban kilomita 30 (maili 18.5) mashariki mwa Tehran.
Eneo hilo limehusishwa na utengenezaji wa roketi kulingana na wataalamu kutoka taasisi ya kimataifa ya mafunzo ya kimkakati (IISS).
Inaendelea ...Ikilinganisha picha za satelaiti zenye ubora wa juu zilizopigwa tarehe 9 Septemba na picha iliyopigwa tarehe 27 Oktoba, inaonekana kwamba angalau miundo minne imeharibiwa kwa kiasi kikubwa.....
Waweza kuzipata habari zaidi kwa kutembelea https://www.reuters.com/
 
kama ndio ni mechanism ya mizozo ya vita mashariki ya kati atimuliwe tu madarakani eneo hilo liwe na utulivu na amani. Hiyo nchi sasa imekuwa ya kipuuzi kila taifa linaingia tu kama choo cha wengi na kufanya yake, mara iran, mara urusi, mara uturuki, hapo kweli kuna taifa au ni eneo la mataifa kupigana?
Usisahau kwamba hapo kuna biashara nyeti kiuchumi inaendelea. NI Kichwa cha mwenda wazimu kila mtu anajifunzia kunyoa.
 
Hivi unajua ukubwa wa sekta ya utengenezaji wa silaha nchini Iran au unaongea ili ujifirahishe?
https://www.iranwatch.org/........The largest industrial group of the Defense Industries Organization (DIO); products include ammunition, mortar bombs, pyrotechnics, anti-tank and sea mines, hand grenades, detonators, brass materials, cutting tools, industrial valves, perforating charges for the oil industry, and other industrial parts; comprised of ten subsidiaries, including Shahid Sattari Industries, Parchin Ammunition Industries, 7th of Tir Industrial Complex, Yazd Metallurgy Industries, Khorasan Metallurgy Industries, Isfahan Ammunition Industries, Shahid Shiroudi Industries, and Shahid Sayyad Shirazi Industries.
1. Hiyo kuitwa ni the largest inamaana vipo na vingine vingi ila sio kwa ukubwa huo wa AMIG.
2. Najua sekta ya utengenezaji wa silaha nchini Iran ni Sekta ya Kibiashara zaidi.
 
Back
Top Bottom