GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi mashambulizi yake ana yafanya kwa kutumia akili na sio kurusha mabomu hovyo.Hiv huko hawaishi wanawake na watoto mbona hakuna vitoto vinavotolewa kwenye vifusi
Bwashee hayo ndio maisha tuliyochagua sisi waajemi,tumeshazoea kuruka sarakasi huku tukiwa tumevaa msuli na kobazi zetu.Sasa hawa watoto wadogo wacha tu tuwafirimbe mpaka wachakaeHao waasi hapo kwa Iran wanatafuta matatizo yani unamletea ugaidi gaidi kubuhu? Sasa hivi litatokea kundi jingine ghafla sana lianze uchinjaji Iran kwa vikundi hajambo
Kenya anakuzid Kila kitukenya ipi hiyo itake serengeti na kilimanjaro yetu? Mkono utapigwa isijaribu hata kufikiria kitendo hicho
Sawa.Uundaji wa silaha hufanyika chini ya mahandaki sio juu mkuu.
Kuna video na picha ziliwahi kusambazwa humu zikionesha mahandaki marefu yenye silaha za Iran.
Main core of weapons production is underground situated kaka sio juu.
Mmmmm! Kweli kazi ipo. Nimekuelewa.What you should know is those foreign powers are scrambling for natural resources and other strategic interests.
They don't care who is dying.
The local militias and Syrian army are struggling for power. Any internal power struggle is the worst kind of war you could imagine. Because it blinds any one involved, make them ignore humanity and freezes their hearts.
pamoja na hayo asijaribu wala kufikiria kutaka serengeti na mlima kilimanjaroKenya anakuzid Kila kitu
Kenya hana jeshi lenye uwezo wa kuteka hata km 1 ya Tz labda ungesema hata Uganda angalau.Kenya anakuzid Kila kitu