GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Unapata shida na habari zako izo za upande mmoja.πππ
Put in tukiwa kama waislam tunamsifia sana kwa kuipinga lgbtq hata wewe ukiupinga tutakusifia na sio wewe tu hata marekani na shoga zake mtu akae asapoti wewe kufirwa au kufirana halafu tukae tuwasifie ukiwapenda wewe InatoshaWaislamu wanapenda sn kuisifia Russia wamesahau jinsi alivyowashushia kichapo Waislamu wa Chechniya.. yanayofanyika Ukraine yana tofauti gani na yaliyofanyika Chechniya ?
Waafrika na wazungu umewasahau hakuna race yenye akili basi kwasasa maana hakuna race itayoitaja ukute kwao kumetulia ingawaje waarabu wamezidi ukilaza ila acha kuwahusisha waarabu na uislamWaarabu hawana akili- wanatumika kama toilet papers - anybody can use them to his/her interests.Hawawezi wakaamua kutulia - na wote ni vikundi vya kiislam..sasa unashangaa dini moja lkn wanatwangana kama hawana akili - huku kuna ISIS, kule Al quida n.k.
Pale mashariki ya kati kuna laana sio bure...
Anzia Israel, Palestina, Lebanon, Syria - majirani zao waarabu wenzao mdo hawaeleweki - nenda Iran..naye full bifu na Saudia - Nenda kwa Turkey - huyu ndo kama Nyoka sasa..anauma na kupuliza..alikua anapiga kelele Israel kuipiga Palestina..wakati huohuo anawork na Israel against Syria - Syria ambaye ni pro Palestina..
Sogea chini kuna Yemen - huko ndo kama hakuna Serikali - Houthi wanaongoza nchi sasa - Shuka Sudan - wameuana mpaka wamekoma...na hawachoki.
NA HIZI NCHI ZOTE HAWAWEZI KABISA KUSOLVE MIGOGORO YAO.
Kuna shida na hizi races za hapo katikati - Wayahudi, Waarabu, Turks, Central Asian Countries...wanashida hawa watu.NO PEACE..THEY ALWAYS LIKE TROUBLES
Utafika tu wakati Americant ataiona israhell takataka tuuuuYaaaani una rahisisha mambo we Jamaa... Ila sishangai tunatofautiana uelewa. USA aache kumpa Israel back up apigwe mpaka achakae haitakuja kutokea hata kama pale Ikilu ya white house ya Marekani atakuja Rais mwenye asili ya Iran. Unaujua uhusiano wa USA na Israel? Yaani lile ni tawi la USA pale middle East hasa kipindi hiki ambacho Saudia anapewa presha kubwa na waarabu wenzie kwa namna ambayo amewndelea kuwa na uhusiano na Israel licha ya kadhia inayoendelea Gaza. HIVI UNAELEWA NI KWA NINI KWENYE VIKAO VYENYE HIGH PROFILE VINAVYOJADILI KUHUSU MASLAHI YA ISRAEL YOYOTE PALE MIDDLE EAST LAZIMA AWEPO MKUU WA MOSAD NA DIRECTOR MKUU WA CIA?
Nimekosea vinatokea RussiaKama inatoka uturuki hivyo vyombo in vya waasi kwahyo asad kazi anayo
Za pande mbili ziko wapi?Unapata shida na habari zako izo za upande mmoja.πππ
Wataungana tena ngoja kwanza wa choke kuuanacha ajabu wale ni ndugu kabisa, tena lilikuwa taifa moja washenzi wale
Na kupata amani wale waisahauIsrael ujanja mwingi mbele kiza Arab spring waliratibu wao wakidhani wakishawatawanya nchi za kiarabu wataishi kwa amani lakini leo bado wapo matatizoni
Syria hawajishikwa mikono na miguu wakaambiwa wakapigane...Mmarekani na washirika wake na Israel nitatizo sana hapo middle east , ukiangalia hizi tragedies ,ni as if hawataki pawepo amani hilo eneo
Kama ukisema hivi hakuna nchi duniani ambayo hakuna kakikundi kanataka kujitenga au tuanze kuorodhesha baadhi Canada kule cubec wanataka eneo lao marekani kule kuna majimbo kibao yanataka kujitenga Spain katalunya UK kuna kina Ireland pale German kuna kule German mashariki yaani hakuna hakuna hakuna nchi ambayo baadhi ya watu hawataki kujitenga kama ipo itajeVita ya Syria ni muendelezo wa Migogoro ya mipaka iliyoanza baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia kuisha...
Nchi za middle east zote zilitakiwa zigawanywe kulingana na Dini na Kabila... Fatilia History ya Syria utakuta Allawites walingia madarakani kwa mapinduzi na Kuanzisha chama kama CCM ambacho kikawa kinaongoza nchi kimabavu
Russia ipo vitani miaka na miaka mzee hili nisuala dogo sana kwake ngoja uone Russia akipiga pale Syria hapigi kama anavyo piga Ukraine Jana na leo tu kuna maeneo Aleppo yashafanana na ukanda wa Ghaza π’Najua Russia kamwe hataiacha Syria ila ni shughuli pevu kwake ukizingatia uchovu alionao atakuwa amejiongezeamzigo wa frontline nyingine tena mpya.
Kama alivyopisha nyauUkiua lzm upishe kiti iwe makusudi au bahai mbaya , mpk maandamano yanatokea bas ujue kuwa huwajibik kusikiliza kero ndio maana watu wanaingia mtaani
Kwahio kukwambia ukweli umeumia basi poleHahaha, unajua ukweli huwa unauma sana.
Assad hajakimbia nchi acha kupotosha alienda kwenye ziara ya kikazi kama anavyo fanya Elensky nkMbona Assad kakimbilia urusi basi hakubaki pale Syria kupigania nchi yake kama Zelensky wa Ukraine., utawala unaanguka mkuu huo, Assad anaifanya syria kama mali yake wacha nchi yao ikomboke