Turkey siyo nchi ya kupambana na Underdog Iran.Wapambane sasa Turkey vs Iran,wote wanafiki.
Kwa hiyo Uturuki wanafiki ?Israel na US na Turkey hao ndio wanataka kumtoa Assad. Afu huyo Tayyip Erdogan anakuambia Shetanyahu ni mshenzi huku kwa nyuma wako pamoja. Yote ili Assad asimamishe kupeleka silaha Lebanon. Yule Erdoğan yeyetarget yake aimeze Halab au kama ijulikanavyo Aleppo
Bikra mtakuta wameisha wamewahiwa na Ismael Hanniyeh na Yahya Sinawar.. mtaambulia vikongwe wa kiarabu wenye nyuso za mikunjo.Inshallah tutashinda makafiri
Tunamwomba Allah akatutendee haki siku ya kiyama kwa bikra safi
Acha uongo wewe ...Unajuwa kuwa aliyeiharib nchi ni Assad , Assad aliua mtu kweny maandamano yaliyopelekea Hali kuwa hv ilivyo Leo na bado mnaona ni sahihi Syria kuongozwa ni muuaji
Urusi mfupa umekwama kooni, Iran nae hoi.Mzayuni ndio kaactivate hio vita baada tu ya cease fire akaamsha makundi yake Assad pale hawamtoi unless Iran na Urusi wachakae kabisa nani wa kufanya hio kazi?
4. Waturuki wanaingia Syria kuwapiga wa-kurdNtaandika kwa key points
1. Netanyahu alichukizwa na Assad kutorosha silaha za hizbollah kupitia Syria zilikua zikitoka Iran na Urusi. Hili limesemwa kwenye press ya mwisho ya netanyau kabla ya cease fire kama unataka references itafute hio press, ambapo Netanyahu kamtishia maneno mawili Assad mwanzo kanwambia litakukuta la Nasrallah maana umecheza na moto
2. Netanyahu anataka kuhakikisha anafunga njia ya silaha kumfikia hzb kwa kudisturb root yake huko Syria hivyo akafanya cease fire na Hizbollah kwa siku 60 ili azuie kabisa hio root, ndio maana baada ya cease fire Jio yake kaactivate makundi HTS,Isil na mengine kumvuruga Assad.
3. Mrusi ana maslahi yake Syria, Iran ana maslahi yake Syria mojawapo ni kulinda makundi yake wote hao Iran na Russia wana mkataba na Assad wa kuwepo pale.
4. Sasa Mturuki nae kuingiza kundi lake pale anakiwasha ndani ya Syria ambapo Iran kalalamika Mturuki kafata nini na hana makubaliano yoyote na serikali ya Assad, Mturuki pale ana interest zake nadhani ni kulinda biashara zake na Israel
5. Mgogoro huu unakuzwa na Israel na Marekani kwa malengo ya kupata amani yao kwa kuisolate gaza na lebanon ili Israeli aishi kwa amani kama wanavyofikiri wao wakidhani Iran haelewi kinachoendelea, Iran yeye anaendelea kuranda randa na karata yake ya kushambulia Israel kama kulipa kisasi siku akiona mambo yamemuelemea ndio maana katulia kwanza
Na Uturuki safari hii kasema ataungana na UrusiMzayuni ndio kaactivate hio vita baada tu ya cease fire akaamsha makundi yake Assad pale hawamtoi unless Iran na Urusi wachakae kabisa nani wa kufanya hio kazi?
Urusi angekua laini hivyo angetema kibungo mapema hata kule UkraineUrusi mfupa umekwama kooni, Iran nae hoi.
US alizoea kuwasumbua waarabu, Mrusi atamtengeneza tu, mfaransa hana hamu nae alichokutana nacho Africa na bado ni muendelezo najua muarubaini wa US Mrusi anaoUrusi mfupa umekwama kooni, Iran nae hoi.
Edogan mnafiki sana haeleweki hasira tu hizo tenki yake ya mafuta imetiwa kibiriti na Houth ilikua inaenda Israel kamtishia kuungana na US kule baharini huyo hawezi kuunga Non NATO members wanamtumia watakavyo akina bidenNa Uturuki safari hii kasema ataungana na Urusi
andika ukwel sasa , unasena uongo halaf uandik ukwelAcha uongo wewe ...
Turkey anajigamba kwakua yuko NATO ila Iran inabidi aogopwe kwa moto wa vijana wao tu hao hizbo ulivyokuwa kiukweli Wairan waki kuamlia show utakua na mtihani mkubwa like the way anashambulia pitia documentary ya hizb hao ni vijana Wairan na walio watoa kamasi IDF ni sio makomandoo ni first level defence team, IDf hakuivuka ya pili ikua advance ya komandos ndio ya mwisho ni Elite Radwan.Turkey siyo nchi ya kupambana na Underdog Iran.
Sio kweli masilahi ya Israel na Uturuki kwenye mgogoro huu hayaendani.Uturuki na Israel ni kulwa na doto
Labda ishu ya wakurd itamfanya aingie ila acha tuoneEdogan mnafiki sana haeleweki hasira tu hizo tenki yake ya mafuta imetiwa kibiriti na Houth ilikua inaenda Israel kamtishia kuungana na US kule baharini huyo hawezi kuunga Non NATO members wanamtumia watakavyo akina biden
Hapo mashariki ya kati wanajuana naona ndo maana kila nchi imeamua kusimamia interest zakeTurkey anajigamba kwakua yuko NATO ila Iran inabidi aogopwe kwa moto wa vijana wao tu hao hizbo ulivyokuwa kiukweli Wairan waki kuamlia show utakua na mtihani mkubwa like the way anashambulia pitia documentary ya hizb hao ni vijana Wairan na walio watoa kamasi IDF ni sio makomandoo ni first level defence team, IDf hakuivuka ya pili ikua advance ya komandos ndio ya mwisho ni Elite Radwan.
Syria sio nchi ya kwanza kupambana na maandamano au kuuwa waandamaji hata Marekani kwenye maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi kuna waandamaji waliuawa.Unajuwa kuwa aliyeiharib nchi ni Assad , Assad aliua mtu kweny maandamano yaliyopelekea Hali kuwa hv ilivyo Leo na bado mnaona ni sahihi Syria kuongozwa ni muuaji
Hata ww ni wale wale unashabikia Israel kupora ardhi za wapalestina?Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
Shida kubwa ya Uturuki ni wakrudi anahofia kuwa wakrudi wakipata nguvu ndani ya Syria itawachochea wakurdi walioko ndani ya Uturuki kufanya uasi.Mkuu hivi hapo syria Turkey huwa ana maslahi gani yanayokinzana na Russia na Assad?
Iran na Urusi walifanya makosa makubwa kumuamini Edorgan ?Uturuki imeamua kutumia hii nafasi vyema kuiimarisha nguvu za waasi.