Vita ya Aleppo inaanza tena

Vita ya Aleppo inaanza tena

Ntaandika kwa key points

1. Netanyahu alichukizwa na Assad kutorosha silaha za hizbollah kupitia Syria zilikua zikitoka Iran na Urusi. Hili limesemwa kwenye press ya mwisho ya netanyau kabla ya cease fire kama unataka references itafute hio press, ambapo Netanyahu kamtishia maneno mawili Assad mwanzo kanwambia litakukuta la Nasrallah maana umecheza na moto

2. Netanyahu anataka kuhakikisha anafunga njia ya silaha kumfikia hzb kwa kudisturb root yake huko Syria hivyo akafanya cease fire na Hizbollah kwa siku 60 ili azuie kabisa hio root, ndio maana baada ya cease fire Jio yake kaactivate makundi HTS,Isil na mengine kumvuruga Assad.

3. Mrusi ana maslahi yake Syria, Iran ana maslahi yake Syria mojawapo ni kulinda makundi yake wote hao Iran na Russia wana mkataba na Assad wa kuwepo pale.

4. Sasa Mturuki nae kuingiza kundi lake pale anakiwasha ndani ya Syria ambapo Iran kalalamika Mturuki kafata nini na hana makubaliano yoyote na serikali ya Assad, Mturuki pale ana interest zake nadhani ni kulinda biashara zake na Israel

5. Mgogoro huu unakuzwa na Israel na Marekani kwa malengo ya kupata amani yao kwa kuisolate gaza na lebanon ili Israeli aishi kwa amani kama wanavyofikiri wao wakidhani Iran haelewi kinachoendelea, Iran yeye anaendelea kuranda randa na karata yake ya kushambulia Israel kama kulipa kisasi siku akiona mambo yamemuelemea ndio maana katulia kwanza
4. Waturuki wanaingia Syria kuwapiga wa-kurd
 
Mzayuni ndio kaactivate hio vita baada tu ya cease fire akaamsha makundi yake Assad pale hawamtoi unless Iran na Urusi wachakae kabisa nani wa kufanya hio kazi?
Na Uturuki safari hii kasema ataungana na Urusi
 
Na Uturuki safari hii kasema ataungana na Urusi
Edogan mnafiki sana haeleweki hasira tu hizo tenki yake ya mafuta imetiwa kibiriti na Houth ilikua inaenda Israel kamtishia kuungana na US kule baharini huyo hawezi kuunga Non NATO members wanamtumia watakavyo akina biden
 
Turkey siyo nchi ya kupambana na Underdog Iran.
Turkey anajigamba kwakua yuko NATO ila Iran inabidi aogopwe kwa moto wa vijana wao tu hao hizbo ulivyokuwa kiukweli Wairan waki kuamlia show utakua na mtihani mkubwa like the way anashambulia pitia documentary ya hizb hao ni vijana Wairan na walio watoa kamasi IDF ni sio makomandoo ni first level defence team, IDf hakuivuka ya pili ikua advance ya komandos ndio ya mwisho ni Elite Radwan.
 
Edogan mnafiki sana haeleweki hasira tu hizo tenki yake ya mafuta imetiwa kibiriti na Houth ilikua inaenda Israel kamtishia kuungana na US kule baharini huyo hawezi kuunga Non NATO members wanamtumia watakavyo akina biden
Labda ishu ya wakurd itamfanya aingie ila acha tuone
 
Turkey anajigamba kwakua yuko NATO ila Iran inabidi aogopwe kwa moto wa vijana wao tu hao hizbo ulivyokuwa kiukweli Wairan waki kuamlia show utakua na mtihani mkubwa like the way anashambulia pitia documentary ya hizb hao ni vijana Wairan na walio watoa kamasi IDF ni sio makomandoo ni first level defence team, IDf hakuivuka ya pili ikua advance ya komandos ndio ya mwisho ni Elite Radwan.
Hapo mashariki ya kati wanajuana naona ndo maana kila nchi imeamua kusimamia interest zake
 
Unajuwa kuwa aliyeiharib nchi ni Assad , Assad aliua mtu kweny maandamano yaliyopelekea Hali kuwa hv ilivyo Leo na bado mnaona ni sahihi Syria kuongozwa ni muuaji
Syria sio nchi ya kwanza kupambana na maandamano au kuuwa waandamaji hata Marekani kwenye maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi kuna waandamaji waliuawa.

Chanzo cha machafuko nchini Syria ni uingiliaji wa nchi za nje.
 
Uturuki imeamua kutumia hii nafasi vyema kuiimarisha nguvu za waasi.
Iran na Urusi walifanya makosa makubwa kumuamini Edorgan ?

Waasi walikuwa wamesha dhohofika kabisa mwaka 2015 na ilikuwa nafasi nzuri ya Asad kulikomboa jimbo la Idiribu ambayo ndo ilikuwa ngome ya mwisho ya waasi,sasa sijui Edorgan alitumia njia gani kuwarubuni viongozi wa Urusi na Iran mpaka wakahairisha mpango ya kulishambulia na kulichukua eneo hilo.
 
Back
Top Bottom