Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Mido ist bila kuondoka israhell amani waisahau tuuu ila waasi hawa ni suala la muda tu kabla ya kufyekwa ila tu wale mnaosema kama Iran karipuliwa viwanda vya silaha na Russia ana mfupa mgumu acheni utoto na ushabiki Russia juzi hapa kuna mtu pale EU kasema silaha anazozalisha Russia kwa mwezi wao EU ama nato wanazalisha miezi sita ngojeni muone muda huu kuna ndege inatoka turkey to Syria kupeleka vyombo ila watu wanauana asee dah