Vita ya Aleppo inaanza tena

Mido ist bila kuondoka israhell amani waisahau tuuu ila waasi hawa ni suala la muda tu kabla ya kufyekwa ila tu wale mnaosema kama Iran karipuliwa viwanda vya silaha na Russia ana mfupa mgumu acheni utoto na ushabiki Russia juzi hapa kuna mtu pale EU kasema silaha anazozalisha Russia kwa mwezi wao EU ama nato wanazalisha miezi sita ngojeni muone muda huu kuna ndege inatoka turkey to Syria kupeleka vyombo ila watu wanauana asee dah
 
Hahaha Magaidi wana uwana wao kwa wao, Raha sana hapo hakuna cha Marekani, Europe, UN wala,sijui NATO.

Russia kwa sasa anashida yake huko Ukraine na NATO wana msumbua, msaada kwa Syria unaweza kuwa kigodo sana.
Kila kitu ni opportunity.

Iran huku wana taka kumnenepesha Hezbollah, na Kambi zake za kigaidi nchini Syria zinapata tabu sana, asipopeleka misaada na silaha mapema.

Sijui hapa kwetu msikiti wa MTAMBANI wataamuaje, kwani hatuwezi kupeleka magaidi japo kwa uchache, au ndiyo tuna ile sera ya KUTOKUFUNGAMANA na UPANDE WOWOTE?!
 
Mkuu hivi hapo syria Turkey huwa ana maslahi gani yanayokinzana na Russia na Assad?
Syria, Iraq, Iran na Uturuki kuna Jamii ya Watu wanaitwa Wakurdi... Baada ya Ottoman kuanguka na vita ya pili ya Dunia waliahidiwa nchi ila badala yake wakagawanya kwa makundi kwenye Hizo Nchi, Wakurdi wa Uturuki wamekuwa na uasi dhidi ya Serikali ya Uturuki Tangu Miaka ya 60-70 hivyo basi kama Wakurdi wa Syria watapata nguvu au nchi hivyo basi itasababisha wa Kurdi sehemu zingine wadai Uhuru kwa nguvu au hiari... Uturuki yuko Syria kuzuia Hilo na kuwasukuma mbali na mipaka yake
 
Hao waasi hapo kwa Iran wanatafuta matatizo yani unamletea ugaidi gaidi kubuhu? Sasa hivi litatokea kundi jingine ghafla sana lianze uchinjaji Iran kwa vikundi hajambo
ati wana dini islam, wanakuambia ni dini ya amani, dini gani hii ya vurugu? Wanapigana wenyewe kwa wenyewe huku umoja wao wa ioc hauna cha kusema wakae kwa amani.
 
kama ndio ni mechanism ya mizozo ya vita mashariki ya kati atimuliwe tu madarakani eneo hilo liwe na utulivu na amani. Hiyo nchi sasa imekuwa ya kipuuzi kila taifa linaingia tu kama choo cha wengi na kufanya yake, mara iran, mara urusi, mara uturuki, hapo kweli kuna taifa au ni eneo la mataifa kupigana?
 
Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
kenya ipi hiyo itake serengeti na kilimanjaro yetu? Mkono utapigwa isijaribu hata kufikiria kitendo hicho
 
Hapo mashariki ya kati wanajuana naona ndo maana kila nchi imeamua kusimamia interest zake
sasa kama ndio interest wakapiganie kwenye nchi ya watu? Wapigane wenyewe kwa wenyewe juu kwa juu kuliko kugeuza nchi ya watu uwanja wa mapambano
 
mtambani waendelee tu kunywa al khasus, ya syria hayawahusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…