Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Leta kwanza kichwa cha PUT INUrusi inapeqa green light kabla yakumalizana naye muoshwa huwoshwa tulia
We baki huko huko kwenye pempas ufilhwe vizuri kama alivyoagiza papa,, kobaz wanavaa wanaumeI'm proud to be Kobaz
Syria hajawahi kutulia na Wala haitatulia bila kuigawa hiyo nchi kwenye mapande ya Kidini na kikabilaUturuki wana mambo ya kisenge sana Syria ilikuwa imesha anza kutulia wameanza kuivuruga tena.
Syria, Iraq, Iran na Uturuki kuna Jamii ya Watu wanaitwa Wakurdi... Baada ya Ottoman kuanguka na vita ya pili ya Dunia waliahidiwa nchi ila badala yake wakagawanya kwa makundi kwenye Hizo Nchi, Wakurdi wa Uturuki wamekuwa na uasi dhidi ya Serikali ya Uturuki Tangu Miaka ya 60-70 hivyo basi kama Wakurdi wa Syria watapata nguvu au nchi hivyo basi itasababisha wa Kurdi sehemu zingine wadai Uhuru kwa nguvu au hiari... Uturuki yuko Syria kuzuia Hilo na kuwasukuma mbali na mipaka yakeMkuu hivi hapo syria Turkey huwa ana maslahi gani yanayokinzana na Russia na Assad?
ati wana dini islam, wanakuambia ni dini ya amani, dini gani hii ya vurugu? Wanapigana wenyewe kwa wenyewe huku umoja wao wa ioc hauna cha kusema wakae kwa amani.Hao waasi hapo kwa Iran wanatafuta matatizo yani unamletea ugaidi gaidi kubuhu? Sasa hivi litatokea kundi jingine ghafla sana lianze uchinjaji Iran kwa vikundi hajambo
uturuki anatafuta nini ndani ya syria?Uturuki wana mambo ya kisenge sana Syria ilikuwa imesha anza kutulia wameanza kuivuruga tena.
ni kurwa na doto kivipi wakati edorgan huwa anaibwekea israel?Uturuki na Israel ni kulwa na doto
walivyo wajinga na wapumbavu wale wanaweza kugombana, halafu wote ni waislam, sijui jumuiya yao ya kiislam duniani iko wapi imawaacha tu wanachama wake wananyukanaWapambane sasa Turkey vs Iran,wote wanafiki.
kama ndio ni mechanism ya mizozo ya vita mashariki ya kati atimuliwe tu madarakani eneo hilo liwe na utulivu na amani. Hiyo nchi sasa imekuwa ya kipuuzi kila taifa linaingia tu kama choo cha wengi na kufanya yake, mara iran, mara urusi, mara uturuki, hapo kweli kuna taifa au ni eneo la mataifa kupigana?Iran na Russia kweli hawawezi kukubali Utawala wa Assad uanguke lakini hawana jinsi.
1. Kumbuka Russia anamenyana huko kwake na Ukraine -na hali sio poa kwa Russia katika vita hiyo. Hali ni tete kiasi kwamba Russia ameanza kuokoteza au kubangaiza wapiganaji mamluki e.g. Houthis, N.Korea n.k.
2. Kumbuka Juzi kati hapo viwanda vya kutengeneza silaha vya Iran vilishambuliwa na kuharibiwa na (IDF) Israeli. Kwa mantiki hiyo Iran imepungukiwa na uwezo wa Utoaji wa misaada ya Hali na Mali (silaha na mafunzo)kwa makundi ya kigaidi na hivyo uwezo wake kumsaidia Asad pia nao umepungua.
Ni katika mtizamo huo Bwana Asad wa Syria atakuwa na wakati mgumu sana.
kenya ipi hiyo itake serengeti na kilimanjaro yetu? Mkono utapigwa isijaribu hata kufikiria kitendo hichoMlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
bora angesema indiaSasa China na Kashmir wap na wap ?
nani atakuwa anawaua, ni assad au putin?Sio muda mrefu mtasikia wanajeshi wa uturuki wana uawa kama siafu hapo Syria
wako na nani?walee waasi awakoo pekeyaoo aisee wana silaaha nzitoo hatareee
hii iran ya maayatollah unaichukulia poa?Turkey siyo nchi ya kupambana na Underdog Iran.
sasa kama ndio interest wakapiganie kwenye nchi ya watu? Wapigane wenyewe kwa wenyewe juu kwa juu kuliko kugeuza nchi ya watu uwanja wa mapambanoHapo mashariki ya kati wanajuana naona ndo maana kila nchi imeamua kusimamia interest zake
mtambani waendelee tu kunywa al khasus, ya syria hayawahusuHahaha Magaidi wana uwana wao kwa wao, Raha sana hapo hakuna cha UN wala,sijui NATO.
Russia kwa sasa anashida yake huko Ukraine na NATO wan msumbua, msaada kwa Syria unaweza kuwa kigodo sana.
Kila kitu ni opportunity.
Iran huku wana taka kumnenepesha Hezbollah, na Kambi zake za kigaidi nchini Syria zinapata tabu sana, asipopeleka misaada na silaha mapema.
Sijui hapa kwetu msikiti wa MTAMBANI wataamuaje, kwani hatuwezi kupeleka magaidi japo kwa uchache, au ndiyo tuna ile sera ya KUTOKUFUNGAMANA na UPANDE WOWOTE?!