Vita ya Aleppo inaanza tena

Vita ya Aleppo inaanza tena

Japo apo umesema kweli. IRAN TO IRAQ × SYRIA TO LEBANON iyo kweli na Iran na russia kamwe kamwe kamwe awawezi kukubali utawala wa Asad uanguke apo SYRIA moto wake utakaowashwa sio wakitoto na wala awatoweza kufikia uzibiti kama ule kwanza.
Urusi hawezi peleka wanajeshi wake huko, kwasasa Putin anauhitaji mkubwa wa wanajeshi kwenye vita vyake na Ukraine kuliko wakati mwingine, na hata ikitokea atapelekwa wachache sanaa,
 
Vita nchini Lebanon ilipokuwa inaelekea mwisho, mzozo mwingine mkubwa umezuka Mashariki ya Kati - au labda si mpya sana. Waasi wa Syria wanaopinga serikali wameanzisha mashambulizi ya haraka dhidi ya jiji kubwa zaidi nchini, Aleppo. Tayari wanadhibiti vijiji kadhaa na wameendelea hadi barabara kuu ya Damascus-Aleppo.

Kwa mara ya kwanza tangu 2020, mapigano makali yamezuka nchini Syria. Vikosi vya serikali vinatoa upinzani dhaifu. Waasi wanasonga mbele kwa kasi, na vikosi vya Assad vimeshindwa kuwazuia, vikijiondoa vyenyewe maeneo

Wakati wa mapigano karibu na Aleppo, mshauri wa kijeshi wa Iran, Jenerali wa IRGC Kiyumars Pourhashemi, aliuawa. Shughuli mpya za waasi zimechochewa na kushindwa kwa Hezbollah na Israeli na kupelekwa tena kwa vikosi vya Urusi vilivyokuwa syria Ukraine. Dikteta wa Syria Bashar al-Assad amepanda ndege haraka kwenda Urusi kwa mashauriano na Putin.

Kulingana na ripoti ambazo hazijathibitishwa, makumi ya wanajeshi wa Urusi kutoka kwa "PMC ya Wagner" wameuawa wakati wa mashambulizi ya waasi, na baadhi , ya silaha na usafiri wa Urusi zimekamatwa. Waasi wanabomoa picha za Bashar al-Assad na alama zinazohusishwa na Urusi. Wametangaza kuwa maadui wao wakuu ni WaIrani na Warusi, wanaounga mkono utawala wa Assad.

View attachment 3165135
Jumanne netanyahu alisema Syria inacheza na moto,jumatano isis wakaanzisha mashambulizi syria, israel na mabwana zake wanataka kukata supply route ya silaha toka Iran kwa hizbullah
 
Jumanne netanyahu alisema Syria inacheza na moto,jumatano isis wakaanzisha mashambulizi syria, israel na mabwana zake wanataka kukata supply route ya silaha toka Iran kwa hizbullah
Netanyahu bado ana hillusion kuwa bado a ananguvu ..siku usa akiona mambo yanazidi kuwa mazito na uchumi unaenda mrama isreli ataachwa hapo ..ukrain pekee imeshaakula resilimali za kutosha za usa na sioni jinsi ya kuzirudisha.netanyahu anafanya hivyo kwa kuwa anajua lazima usa atambackup mambo hayawezi kuwa hivyo kila siku
 
Vita nchini Lebanon ilipokuwa inaelekea mwisho, mzozo mwingine mkubwa umezuka Mashariki ya Kati - au labda si mpya sana. Waasi wa Syria wanaopinga serikali wameanzisha mashambulizi ya haraka dhidi ya jiji kubwa zaidi nchini, Aleppo. Tayari wanadhibiti vijiji kadhaa na wameendelea hadi barabara kuu ya Damascus-Aleppo.

Kwa mara ya kwanza tangu 2020, mapigano makali yamezuka nchini Syria. Vikosi vya serikali vinatoa upinzani dhaifu. Waasi wanasonga mbele kwa kasi, na vikosi vya Assad vimeshindwa kuwazuia, vikijiondoa vyenyewe maeneo

Wakati wa mapigano karibu na Aleppo, mshauri wa kijeshi wa Iran, Jenerali wa IRGC Kiyumars Pourhashemi, aliuawa. Shughuli mpya za waasi zimechochewa na kushindwa kwa Hezbollah na Israeli na kupelekwa tena kwa vikosi vya Urusi vilivyokuwa syria Ukraine. Dikteta wa Syria Bashar al-Assad amepanda ndege haraka kwenda Urusi kwa mashauriano na Putin.

Kulingana na ripoti ambazo hazijathibitishwa, makumi ya wanajeshi wa Urusi kutoka kwa "PMC ya Wagner" wameuawa wakati wa mashambulizi ya waasi, na baadhi , ya silaha na usafiri wa Urusi zimekamatwa. Waasi wanabomoa picha za Bashar al-Assad na alama zinazohusishwa na Urusi. Wametangaza kuwa maadui wao wakuu ni WaIrani na Warusi, wanaounga mkono utawala wa Assad.

View attachment 3165135
Mwenye vita yake kashaingia turamp, putin kazi anayo, kule ukraine ulimi nje, haya tena limezuka jingine, lazima aombe arushiwe taulo safari hii
 
Tafuta press ya 24hrs before cease fire ya Lebanon sio maneno yangu ndugu
hao wanaopigana ni wazayuni ? tumia akil kdg tu kuelewa hoja ya jaaa , siku mkianza kuelekeza vidole sehem husika ndip, middle east itapata amani , mzayuni kukupa silaha sio kigezo ch kuua waislam wenzio
 
Jumanne netanyahu alisema Syria inacheza na moto,jumatano isis wakaanzisha mashambulizi syria, israel na mabwana zake wanataka kukata supply route ya silaha toka Iran kwa hizbullah
isis ni wayaudi ?
 
hao wanaopigana ni wazayuni ? tumia akil kdg tu kuelewa hoja ya jaaa , siku mkianza kuelekeza vidole sehem husika ndip, middle east itapata amani , mzayuni kukupa silaha sio kigezo ch kuua waislam wenzio
Mdusi, mimi nafikiri huo ushauri ni kwaajili yako. Haihitaji kuambiwa na mtu kwamba mzayuni anawalipa hao jamaa, leo kalipua pagers

— ❗️🇮🇱/🇸🇾 BREAKING: Dozens of wireless communications devices including pagers and walkie-talkies have exploded among the Syrian Arab Army!

@Middle_East_Spectator
 
Mdusi, mimi nafikiri huo ushauri ni kwaajili yako. Haihitaji kuambiwa na mtu kwamba mzayuni anawalipa hao jamaa, leo kalipua pagers

— ❗️🇮🇱/🇸🇾 BREAKING: Dozens of wireless communications devices including pagers and walkie-talkies have exploded among the Syrian Arab Army!

@Middle_East_Spectator
Mkuu Uturuki ndo muhusika mkuu kwa hichi kinacho endelea sasa ,maana waasi anao waunga mkono ndo wahusika wakuu wa mashambulizi yanayo endelea japo kuna makundi mengine madogo.
 
Mdusi, mimi nafikiri huo ushauri ni kwaajili yako. Haihitaji kuambiwa na mtu kwamba mzayuni anawalipa hao jamaa, leo kalipua pagers

— ❗️🇮🇱/🇸🇾 BREAKING: Dozens of wireless communications devices including pagers and walkie-talkies have exploded among the Syrian Arab Army!

@Middle_East_Spectator
Ukilipwa unaua ndugu zako ?
Tumia akil kdg tu utaelewa
 
Japo apo umesema kweli. IRAN TO IRAQ × SYRIA TO LEBANON iyo kweli na Iran na russia kamwe kamwe kamwe awawezi kukubali utawala wa Asad uanguke apo SYRIA moto wake utakaowashwa sio wakitoto na wala awatoweza kufikia uzibiti kama ule kwanza.
Iran na Russia kweli hawawezi kukubali Utawala wa Assad uanguke lakini hawana jinsi.
1. Kumbuka Russia anamenyana huko kwake na Ukraine -na hali sio poa kwa Russia katika vita hiyo. Hali ni tete kiasi kwamba Russia ameanza kuokoteza au kubangaiza wapiganaji mamluki e.g. Houthis, N.Korea n.k.
2. Kumbuka Juzi kati hapo viwanda vya kutengeneza silaha vya Iran vilishambuliwa na kuharibiwa na (IDF) Israeli. Kwa mantiki hiyo Iran imepungukiwa na uwezo wa Utoaji wa misaada ya Hali na Mali (silaha na mafunzo)kwa makundi ya kigaidi na hivyo uwezo wake kumsaidia Asad pia nao umepungua.
Ni katika mtizamo huo Bwana Asad wa Syria atakuwa na wakati mgumu sana.
 
Ntaandika kwa key points

1. Netanyahu alichukizwa na Assad kutorosha silaha za hizbollah kupitia Syria zilikua zikitoka Iran na Urusi. Hili limesemwa kwenye press ya mwisho ya netanyau kabla ya cease fire kama unataka references itafute hio press, ambapo Netanyahu kamtishia maneno mawili Assad mwanzo kanwambia litakukuta la Nasrallah maana umecheza na moto

2. Netanyahu anataka kuhakikisha anafunga njia ya silaha kumfikia hzb kwa kudisturb root yake huko Syria hivyo akafanya cease fire na Hizbollah kwa siku 60 ili azuie kabisa hio root, ndio maana baada ya cease fire Jio yake kaactivate makundi HTS,Isil na mengine kumvuruga Assad.

3. Mrusi ana maslahi yake Syria, Iran ana maslahi yake Syria mojawapo ni kulinda makundi yake wote hao Iran na Russia wana mkataba na Assad wa kuwepo pale.

4. Sasa Mturuki nae kuingiza kundi lake pale anakiwasha ndani ya Syria ambapo Iran kalalamika Mturuki kafata nini na hana makubaliano yoyote na serikali ya Assad, Mturuki pale ana interest zake nadhani ni kulinda biashara zake na Israel

5. Mgogoro huu unakuzwa na Israel na Marekani kwa malengo ya kupata amani yao kwa kuisolate gaza na lebanon ili Israeli aishi kwa amani kama wanavyofikiri wao wakidhani Iran haelewi kinachoendelea, Iran yeye anaendelea kuranda randa na karata yake ya kushambulia Israel kama kulipa kisasi siku akiona mambo yamemuelemea ndio maana katulia kwanza
Ndugu kwani mturuki na Israel ni kitu kimoja?

Si kwamba hao jamaa ni maadui wakubwa sana
 
Back
Top Bottom