Vita ya Aleppo inaanza tena

Vita ya Aleppo inaanza tena

Sijui lakini ila najiulizaga hivi; Islam ndugu yale Islam now how comes sijui Zayuni, USA or Russian ambao (kwa mujibu wa Waislamu wengi humu ) ni makafiri wawagombanishe na nyie mkagombana? Asie na akili hapo ni NANI? Sina ugomvi na mtu, nauliza tu
Umekosea kuuliza swali, iltakiwa kua kwanini waarabu? Na Kuna waafrika pia wanagombanishwa, Kuna korrea pia waligombanishwa, kwahio kugombana ni suala la maslahi Hasa katika uongozi au mali
 
Hata uko Syria wakileta ngebe IDF inaend kumchukua Assad Damascus

Kutoka mpaka wa Israel na Damascuss in KM 50 kwa maana nyingine ni kutoka Posta na Chanika, hapo Israel inatumia sasa Mizinga mizito mizito
Hio Ngoma mbele ya Russia na Iran hawezi aende Gaza Kwa wenye maroketi tu
 
Umekosea kuuliza swali, iltakiwa kua kwanini waarabu? Na Kuna waafrika pia wanagombanishwa, Kuna korrea pia waligombanishwa, kwahio kugombana ni suala la maslahi Hasa katika uongozi au mali
Tunajua Korea ni Wapagani, maeneo mengine wana dini nyingi. Africa hapa mnalaumu Al shaabab na Boko haram, hivo pia ni vikundi vinavyo tumia itikadi za Kiislamu na bahati mbaya vinafanya fujo maeneo yenye Waislamu wengi, Somalia is like an Islamic country, maanake kule Muislam akibadiri dini kwenda Ukristo anauawa kabisa, mfano ni sheikh Adam Haji nk. Congo walau unaelewa, wanatumia nchi nyingine yaani Rwanda. Sasa Syria, Libya nk si ni Waislamu watupu? Halafu Waarabu wanaongea lugha moja wote. How Shia na Sunni lawama wapewe mataifa ya Kizungu? Swali langu linabaki pale pale, nani mjinga hapo sasa, mchonganishi au aliyekubali wenyewe kwa wenyewe wachonganishane? Nieleweshe nielewe please.
 
Tunajua Korea ni Wapagani, maeneo mengine wana dini nyingi. Africa hapa mnalaumu Al shaabab na Boko haram, hivo pia ni vikundi vinavyo tumia itikadi za Kiislamu na bahati mbaya vinafanya fujo maeneo yenye Waislamu wengi, Somalia is like an Islamic country, maanake kule Muislam akibadiri dini kwenda Ukristo anauawa kabisa, mfano ni sheikh Adam Haji nk. Congo walau unaelewa, wanatumia nchi nyingine yaani Rwanda. Sasa Syria, Libya nk si ni Waislamu watupu? Halafu Waarabu wanaongea lugha moja wote. How Shia na Sunni lawama wapewe mataifa ya Kizungu? Swali langu linabaki pale pale, nani mjinga hapo sasa, mchonganishi au aliyekubali wenyewe kwa wenyewe wachonganishane? Nieleweshe nielewe please.
Binadamu ni binadamu TU, kati yetu waislam wapo wa motoni na peponi sababu zenyewe ndio Kama hizi Quran 2:2-... Kitabu ambacho ni muongozo Kwa wamchao Mwenyezi Mungu. Na katka matatizo makubwa aliyokumbana nayo Mtume ni unafiki wa waarabu. Wanazungakana kishenzi, pia wasomali ukiwaangalia wan relate sna na waarabu, kwahio unafiki wa kuuzana ni tabia ya mtu Hata Yesu aliuzwa kwaajili ya pesa. Huo ni ujinaga wao waarabu kukubali kuugawa Uislam katka makundi makuu ma2 Shia na Sunni, halafu na vijikundi vingine vingi kutoka humo. Lakin Quran Iko wazi Sana na haifungani na wanayofanya waarabu au mtu awaye yeyote shida inakuja kwenye uelewa wa kitabu chenyewe
 
Binadamu ni binadamu TU, kati yetu waislam wapo wa motoni na peponi sababu zenyewe ndio Kama hizi Quran 2:2-... Kitabu ambacho ni muongozo Kwa wamchao Mwenyezi Mungu. Na katka matatizo makubwa aliyokumbana nayo Mtume ni unafiki wa waarabu. Wanazungakana kishenzi, pia wasomali ukiwaangalia wan relate sna na waarabu, kwahio unafiki wa kuuzana ni tabia ya mtu Hata Yesu aliuzwa kwaajili ya pesa. Huo ni ujinaga wao waarabu kukubali kuugawa Uislam katka makundi makuu ma2 Shia na Sunni, halafu na vijikundi vingine vingi kutoka humo. Lakin Quran Iko wazi Sana na haifungani na wanayofanya waarabu au mtu awaye yeyote shida inakuja kwenye uelewa wa kitabu chenyewe
Tuna tofautiana kidogo mtazamo; mimi sijawalenga Waarabu kama taifa, sio waarabu wote ni Waislamu, wapo Waarabu Wakristo tena wengi tu, mfano aliyekua waziri wa mambo ya nje wa Iraq ya Saddam Hussein bwana Tareq Aziz, yule bwana alikua Mkristo, mke wa aliyekua rais wa PLO bwana Yasra Araffat alikua Mkristo. Mimi nawazungumzia Waislamu na Uislamu bila kujali taifa, Boko Haram wa Nigeria, pale hakuna Mwarabu, lakini kina Abubakari Shakur ni blacks from Nigeria na kabila lake linajulikana, wale wa Msumbiji as well wote hao ni Waislamu now swali langu linakuja? Kama kweli vikundi hivi vyote vilianzishwa na USA, Russia or Zayuni (kwa maneno yako wewe mwenyewe ) halafu hao "makafiri" wakawatumia Waislamu wenye msimamo mkali ili kuua Waislamu wenzao, hapo mpumbavu ni nani? Mshawishi au mshawishiwa? Unakumbuka hata enzi za JPM kule MKIRU yaani Rufiji, Kilwa na hiyo M naisahau kidogo, kile kikundi na chenyewe kilikua cha Kiislam na kilikua kina operate maeneo yenye Waislamu wengi; hili nalo vipi?
 
Hata uko Syria wakileta ngebe IDF inaend kumchukua Assad Damascus

Kutoka mpaka wa Israel na Damascuss in KM 50 kwa maana nyingine ni kutoka Posta na Chanika, hapo Israel inatumia sasa Mizinga mizito mizito
Thubutuu labda kama Iran revolutionary guards wawe wamekufa wote hapo Damascus.
Wishful thinkings.
 
Tunajua Korea ni Wapagani, maeneo mengine wana dini nyingi. Africa hapa mnalaumu Al shaabab na Boko haram, hivo pia ni vikundi vinavyo tumia itikadi za Kiislamu na bahati mbaya vinafanya fujo maeneo yenye Waislamu wengi, Somalia is like an Islamic country, maanake kule Muislam akibadiri dini kwenda Ukristo anauawa kabisa, mfano ni sheikh Adam Haji nk. Congo walau unaelewa, wanatumia nchi nyingine yaani Rwanda. Sasa Syria, Libya nk si ni Waislamu watupu? Halafu Waarabu wanaongea lugha moja wote. How Shia na Sunni lawama wapewe mataifa ya Kizungu? Swali langu linabaki pale pale, nani mjinga hapo sasa, mchonganishi au aliyekubali wenyewe kwa wenyewe wachonganishane? Nieleweshe nielewe please.
Usizunguke sana mjinga ni anayegombanishwa (mwarabu).
Wewe fuatilia hata Libya si walianza kugombanishwa hadi kumuasi Gaddafi!?
Iraq hata hiyo Syria nayo.
Waarabu ni watu ambao rahisi kuwachonganisha eidha kwa udini,ukabila,madaraka na mali.
 
Tuna tofautiana kidogo mtazamo; mimi sijawalenga Waarabu kama taifa, sio waarabu wote ni Waislamu, wapo Waarabu Wakristo tena wengi tu, mfano aliyekua waziri wa mambo ya nje wa Iraq ya Saddam Hussein bwana Tareq Aziz, yule bwana alikua Mkristo, mke wa aliyekua rais wa PLO bwana Yasra Araffat alikua Mkristo. Mimi nawazungumzia Waislamu na Uislamu bila kujali taifa, Boko Haram wa Nigeria, pale hakuna Mwarabu, lakini kina Abubakari Shakur ni blacks from Nigeria na kabila lake linajulikana, wale wa Msumbiji as well wote hao ni Waislamu now swali langu linakuja? Kama kweli vikundi hivi vyote vilianzishwa na USA, Russia or Zayuni (kwa maneno yako wewe mwenyewe ) halafu hao "makafiri" wakawatumia Waislamu wenye msimamo mkali ili kuua Waislamu wenzao, hapo mpumbavu ni nani? Mshawishi au mshawishiwa? Unakumbuka hata enzi za JPM kule MKIRU yaani Rufiji, Kilwa na hiyo M naisahau kidogo, kile kikundi na chenyewe kilikua cha Kiislam na kilikua kina operate maeneo yenye Waislamu wengi; hili nalo vipi?
Hili kaka nakumbuka tuliwahi kulizungumza shida ni umezeshwaji wa itikadi.
Wala haihitaji maneno mengi.
Uki preach maandiko kiitikadi basi umeshaharibu akili ya mfuasi na matokeo yake ndio hayo.
 
Russia ipo vitani miaka na miaka mzee hili nisuala dogo sana kwake ngoja uone Russia akipiga pale Syria hapigi kama anavyo piga Ukraine Jana na leo tu kuna maeneo Aleppo yashafanana na ukanda wa Ghaza 😢
Ni kweli lakini hayajakombolewa i.e. Hayarudishwa kwa bwana Assad.
Halafu vikundi vyote vya Kiharakati hapo Middle East vinaonekana kumwunga mkono HTS (Hayat Tahrir al-Sham).
 
Assad hajakimbia nchi acha kupotosha alienda kwenye ziara ya kikazi kama anavyo fanya Elensky nk
Kikazi lakini russia? wakati huku nchi yake ina vita? amekimbia wacha kutafuna maneno
 
Back
Top Bottom