Vita ya Azania na Tambaza (1993 - 1994)

Vita ya Azania na Tambaza (1993 - 1994)

Chige, upo sahihi ingawa ilikuwa ni nusu fainali kati ya jitegemee na St Anthony's mbagala pale shamba la bibi uwanja wa taifa, kama sijakosea Tambaza walitaka timu ya St Anthony's mbagala washinde ili wakutane nao fainali katika umiseta. Jitegemee walitumia fursa ya kuwa na maaskari wao wajeda kudhibiti vurugu za vijana wa Tambaza, Kipindi hicho daladala zilikuwa ni chai maharage ( KIA ).

Uharibifu mkubwa sana ulifanyika ikiwemo kifo cha kondakta wa daladala, nakumbuka wanafunzi wa jitegemee walikuwa wakivua na kuficha nguo za sare za shule kuwahofia wenzao wa Tambaza.
Wewe upo sahihi ilikuwa ni nusu fainali ya jitegemee na st Anthony
Ndio zile vurugu serikali ikavunja o level ya tambaza.maana siku ya tukio nilikuwepo wale watoto watambaza kipinde bangi ziliwavuruga akili sana.

Walikuwa na viwembe wanachanga tu yaani sitasahau ile siku nilikimbia ile michanga ya taifa niliona kama lami.
 
Hizo shule ziliduma sana kwa ukorofi...
Walikua wanapewa chai na skonzi wanaoingia asubuhi wanakunywa na wababe wanaiba hizo skonzi wanaenda kuwauzia mamalishe.
Waliokua wanaingia mchana walikua wanachakula pia.
Kazi ikaja walokunywa chai na wanataka wale na mchana ambapo sio Chao Ili wawahi tution magomeni kwa MAKUMAKU.
Huyu mwl NYAU niliwahi kutana nae maeneo ya Sayansi kijitonyama saa nane usiku anapiga mishe za dereva Taxi nilishangaa!
 
Zamani walikuwa wana soma wazee sana kabisaaa!....! kutoka kijijini huko mikoani hasa Kanda ya ziwa !! ubabe wa kishambaaa uliwajaa !! siku hizi mambo ni tofauti vitoto vinasoma vidogooo!! hata mkononi hakajai! yaani zamani zile ukienda form one kuna wengine ni umri wa Baba yako kabisaa!

walikuwa wana rudia mnooo!! miaka saba mtu anarudia shule yamsingi tu!...walikuwa na jeuri sana ya hata kumtia Rais jambajamba Ikulu, hasa enzi za Nyerere, na hata Mwinyi, maana walikuwa wanalingana kwa umri!! walikuwa wanaona Rais ni mwenzao tu!

Hadi kijana mmoja hivi!! ni marehemu sasa aliitwa Tuntemeke Sanga huyu bana alimwambia Nyerere ana taka cheo chake cha Urais sababu tu ni kuwa walilingana kiumri!!.....na huyu sanga alisoma kitabu kimoja cha mwandishi Camala Laye aka kimaliza chote!!

Basi akajiona Bonge la msomi shujaa!! harakati zenyewe alikuwa hajui halafu alikuwa muoga flani hivi!!..akamtisha nyerere sababu ya kulewa kiingereza!! alichokipata heee!!! hadi Mkewe alimkimbia!! yaani Zamani walikuwa na ubabe wa kishamaba sana!!

Sasa leo katoto miaka 19 tu kana degree mbili!! katamdindishia Rais Samia???.....kwanza atakalaani tu kakafie mbele huko!! wala hasemi chochote haka hata kakisimama jukwaani kutkana na kutoa misimamo hakaonekani hakana kikoromo!

kuna jamaa moja la Musoma liliitwa Mantiku Mantale la Musoma huko miaka hiyo mwee!! liliandamana mpaka Ikulu...kumtishia Nyerere! Ajiuzuru!! akaliambia sawa anisubiri hapo!! Basi julius alitoka na viboko vyenye pilipili kumi kidogo!!! alilichapa lile jamaa heee!! then!

likarudishwa kijijini kwao faster na Land rover 109!! sasa kila siku likawa lina report kwa mkuu wa wilaya ya Musoma! likashika adabu mpaka lilipokufa halikunyanyuka tena!! ...kitu kikubwa kilichokuwa kinachangia migomo ni Huduma za kishule za bure

hizi walikuwa wakipatiwa wana funzi wa serikali bure kuanzia chakula, Malazi, Mavazi, Usafiri wa bure unatumia Government warrant kutoka kwenu mpaka shule kwenda na kurudi bure, pia vitabu vya ziada na kiada, Madaftri bureee! unapewa!

haya yoote ni kwa kuwa serikali iliwataka wakaitumikie!! na uhakika wa ajira ulikuwepo tena una chagua unakotaka weye mwenyewe!! sometimes unakwenda fanya Ikulu kabisaa ndo kina pinda hao! ..

lkn ktk hayo yoote kazi za Polisi, Jeshi, Ualimu, Magereza watu walivibeza wazi wazi eti ni kazi za hovyo! majasho, hazina heshima na walizikataa katakata hawakutaka hata kuzisikia, hata ukichaguliwa huko wanakudharau sana mitaani!

Vita ya Kagera watu hasa wa mikoa ya pwani walikuwa wana kataa tu maksudi!! wengine wanatoroka maksudi tu, wengine wanakaa upande waadui maksudi tu!! isipokuwa Wakurya, Wasukuma, Wahehe tu!!

hawa bana ndo walijitoa kwa moyo wooote bega kwa bega kutwangana na Idd Amini!.....ikibidi kavu kavu!! hawakujali kuvaa Buti! wala Combat! wao ilikuwa ni kusonga mbere tu! liwalo na liwe!....sometimes waliona buti ni nzito zinawachelewesha kufika Entebe.

haya yoote ni ili mradi tu!! Nyerere awe salama!...siyo hawa wa leo wana muacha jiwe anakufa kwa COVID! isiyo sema kirahisi tu!..eti wao wanabaki salama nyuma huku! naya semahaya mjue kuwa tulidhamilia!
Hapa umeleta chai,Matiko Matale aliofanya harakati zake 1990 wakati huo rais ni Aly Hassan Mwinyi,wakati huo Nyerere alishastaafu.Matiko Matale alikuwa mkuu wa shule ya Beroya huko Songea na alikuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya huko huko Songea.
 
Hapa umeleta chai,Matiko Matale aliofanya harakati zake 1990 wakati huo rais ni Aly Hassan Mwinyi,wakati huo Nyerere alishastaafu.Matiko Matale alikuwa mkuu wa shule ya Beroya huko Songea na alikuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya huko huko Songea.
Haroo! muraaa umekurupuka unachua kure Nchini Mara kure, kina Matiku Joseph Mantare!! (siyo Matale! umeitaja kipare) wako ni wengiii sana tena sana!!...wanakura kichure kya Pure!

Wamesoea kubhita tiricha wanaingia taracha!! huyo Mkuu wa shule ya msingi sijui wapi huko...ni wa kwenu huko huko!!Mwamba huyu hapa
81011798_1049754825376610_7377127757089603584_n.jpg
 
Hamna bhana...

Vita ya kutisha ilikuwa ni dhidi ya Jitegemee! Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, ilikuwa wakati wa michuano ya UMISETA ambapo Tambaza walikutana na Jitegemee... nadhani nusu fainali.

Wakati huo Jitegemee walikuwa wanapiga soka la kufa mtu!! Kwenye ile mechi , Tambaza walikuwa wameshajiandaa na ugomvi huko huko. Vurugu za kufa mtu pale Shamba la Bibi, enzi pakiitw Uwanja wa Taifa zilianza baada ya Tambaza kupigwa bao.

Vurugu zilikuwa kubwa kiasi kwamba Barabara ya Chang'ombe na Nyerere (enzi hizo ikiitwa Pugu) kuelekea K/koo ilikuwa full mtiti. Kufika mitaa ya Bora, machizi wakavamia daladala, sasa Konda si akataka kuleta ubabe kama ilivyokuwa makonda wa enzi zile.

Konda kapanda zake juu kwenye career lengo lake akachukue silaha... wahuni wamamporoposha huko huko, kufika chini, akagombaniwa kama mpira wa kona hali iliyopelekea kifo chake.

Serikali hapo ndo wakaona hii sasa ishakuwa too much, ndipo shule ikapigwa makomeo na wanafunzi wote kuhamishiwa mikoani!!

Tambaza walikuwa na ugomvi usioisha dhidi ya Azania. Lakini katika utukutu wao kuna siku wakaenda kujichanganya kwa watoto wa Kinondoni Muslim! Hiyo siku Watoto wa Tambaza walipoteana pale Biafra manake kila mmoja aliingilia kwake!!

Kwa anaowajua Kinondoni Muslim ya wakati ule nadhani atanielewa manake majamaa yalikuwa yamepinda, hakuna tena!
Hii nimeipenda, kwAni humu jamvini hakuna aliyesoma kino muslimu? Atupe fidibaki
 
Enzi hizo hakukuwa na social media...na hata TV zilikuwa bado Sana....ugomvi ilikuwa njia ya kuwa z popular among vijana....TV zikaja na bongofleva halafu social media zikaja ikabaki history tu
 
hao jamaa watakuwa watu wazima sasa - miaka 50+; sasa sijui washapata busara kwa umri huo.
 
Zamani walikuwa wana soma wazee sana kabisaaa! kutoka kijijini huko mikoani hasa Kanda ya ziwa !!
unakuta jamaa kidevu kimekomaa kwa kukwangua ndevu 😀 😀 ngoma form II
 
unakuta jamaa kidevu kimekomaa kukwangua ndevu 😀 😀 ngoma form II
Zamani acha kabisa mkuu,jitu linaanza primary lina miaka 18 linafika O level uso umekomaa,ana bonge la nyayo mguuni kiatu namba 46,ndevu mpaka kifuani alafu shingoni bonge la kolomeo kama balbu zile za zamani,hapo ndo unaambiwa mwamba yupo form 2[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Zamani walikuwa wana soma wazee sana kabisaaa! kutoka kijijini huko mikoani hasa Kanda ya ziwa !! ubabe wa kishambaaa uliwajaa !! siku hizi mambo ni tofauti vitoto vinasoma vidogooo!! hata mkononi hakajai! yaani zamani zile ukienda form one kuna wengine ni umri wa Baba yako kabisaa!

walikuwa wana rudia mnooo!! miaka saba mtu anarudia shule yamsingi tu!...walikuwa na jeuri sana ya hata kumtia Rais jambajamba Ikulu, hasa enzi za Nyerere, na hata Mwinyi, maana walikuwa wanalingana kwa umri!! walikuwa wanaona Rais ni mwenzao tu!

Hadi kijana mmoja hivi!! ni marehemu sasa aliitwa Tuntemeke Sanga huyu bana alimwambia Nyerere ana taka cheo chake cha Urais sababu tu ni kuwa walilingana kiumri!!.....na huyu sanga alisoma kitabu kimoja cha mwandishi Camala Laye aka kimaliza chote!!

Basi akajiona Bonge la msomi shujaa!! harakati zenyewe alikuwa hajui halafu alikuwa muoga flani hivi!!..akamtisha nyerere sababu ya kulewa kiingereza!! alichokipata heee!!! hadi Mkewe alimkimbia!! yaani Zamani walikuwa na ubabe wa kishamaba sana!

Sasa leo katoto miaka 19 tu kana degree mbili!! katamdindishia Rais Samia???.....kwanza atakalaani tu kakafie mbele huko!! wala hasemi chochote haka hata kakisimama jukwaani kutkana na kutoa misimamo hakaonekani hakana kikoromo!

kuna jamaa moja la Musoma liliitwa Mantiku Mantale la Musoma huko miaka hiyo mwee!! liliandamana mpaka Ikulu...kumtishia Nyerere! Ajiuzuru!! akaliambia sawa anisubiri hapo!! Basi julius alitoka na viboko vyenye pilipili kumi kidogo!!! alilichapa lile jamaa heee!! then!

likarudishwa kijijini kwao faster na Land rover 109!! sasa kila siku likawa lina report kwa mkuu wa wilaya ya Musoma! likashika adabu mpaka lilipokufa halikunyanyuka tena!! ...kitu kikubwa kilichokuwa kinachangia migomo ni Huduma za kishule za bure

hizi walikuwa wakipatiwa wana funzi wa serikali bure kuanzia chakula, Malazi, Mavazi, Usafiri wa bure unatumia Government warrant kutoka kwenu mpaka shule kwenda na kurudi bure, pia vitabu vya ziada na kiada, Madaftri bureee! unapewa!

haya yoote ni kwa kuwa serikali iliwataka wakaitumikie!! na uhakika wa ajira ulikuwepo tena una chagua unakotaka weye mwenyewe!! sometimes unakwenda fanya Ikulu kabisaa ndo kina pinda hao! ..

lkn ktk hayo yoote kazi za Polisi, Jeshi, Ualimu, Magereza watu walivibeza wazi wazi eti ni kazi za hovyo! majasho, hazina heshima na walizikataa katakata hawakutaka hata kuzisikia, hata ukichaguliwa huko wanakudharau sana mitaani!

Vita ya Kagera watu hasa wa mikoa ya pwani walikuwa wana kataa tu maksudi!! wengine wanatoroka maksudi tu, wengine wanakaa upande waadui maksudi tu!! isipokuwa Wakurya, Wasukuma, Wahehe tu!!

hawa bana ndo walijitoa kwa moyo wooote bega kwa bega kutwangana na Idd Amini!.....ikibidi kavu kavu!! hawakujali kuvaa Buti! wala Combat! wao ilikuwa ni kusonga mbere tu! liwalo na liwe!....sometimes waliona buti ni nzito zinawachelewesha kufika Entebe.

haya yoote ni ili mradi tu!! Nyerere awe salama!...siyo hawa wa leo wana muacha jiwe anakufa kwa COVID! isiyo sema kirahisi tu!..eti wao wanabaki salama nyuma huku! naya semahaya mjue kuwa tulidhamilia!
Smaki umetisha!!!
 
unakuta jamaa kidevu kimekomaa kwa kukwangua ndevu 😀 😀 ngoma form II
Miaka ile ukichaguliwa form one, shule za serikali mweee!! wengi walikuwa wazee! shikamoo zinashuka kabisaa! Mfano Li-Kiranja la Bwalo/Mkuu/Kilimo/Sijui- Ulinzi, mawee!...

yalipanda hewani, msuri wa nguvu utadhani dume, ofisi kalii! safiii!! halafu limekomelea suti!...sasa siku ya kudeki Bwalo ndo kichekesho!....Turuhaga Babishakirao!! uko wapi kwanza! lkn uliwasaidia sana vijana!

Njoo hapa ule kiti moto!
 
Zamani acha kabisa mkuu,jitu linaanza primary lina miaka 18 linafika O level uso umekomaa,ana bonge la nyayo mguuni kiatu namba 46,ndevu mpaka kifuani alafu shingoni bonge la kolomeo kama balbu zile za zamani,hapo ndo unaambiwa mwamba yupo form 2[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Halafu kinakuja shule hiyo hiyo ki form one kina miaka 13!!
 
Azania Tambaza vita yao ya miaka mingiiii..
Shida Tambaza huwa wanajiona wao wazaliwa wa mjini Azania wengi kutoka mikoani…
Hata Zanaki na Jangwani ni yale yale
Zanaki wanajiona wazaliwa wa mjini wanaona Jangwani washamba wa mikoani wengi….Enzi zetu tuliwanyoosha Zanaki (soft soft yao walijua hawajui)
 
Haroo! muraaa umekurupuka unachua kure Nchini Mara kure, kina Matiku Joseph Mantare!! (siyo Matale! umeitaja kipare) wako ni wengiii sana tena sana!!...wanakura kichure kya Pure!

Wamesoea kubhita tiricha wanaingia taracha!! huyo Mkuu wa shule ya msingi sijui wapi huko...ni wa kwenu huko huko!!Mwamba huyu hapaView attachment 2363424
Umepiga ule mmea mwingi Sana tata
 
Back
Top Bottom