MILLIONS MOVEMENT
Senior Member
- Aug 2, 2012
- 148
- 54
Kenya wanafanya hila kuzuia bidhaa bora za tz kuingia soko lao sie serikali yetu imelala haitoi support kwa watz wajasiriamali kuna wakat kenya airways walikua wanawazingua watz wanaopeleka bidhaa za horticulture dubai wanawaambia wazisafirishie through nairobi ili ionekane zimetoka kenya na si tz na thanx to ethiopia airline iliokoa watz ndo kq wakabadilika
Kweli kuna vikwazo sana katika soko la Kenya kwa bidhaa inayoingia;Tatizo kubwa ni gharama zao wanazotoza na unatakiwa ulipe kwa pesa yao ambayo inathamani kubwa kuliko yetu ukipiga mchanganuo unaona gharama za bidhaa yako inakuwa juu so inakuwa ngumu kushindanisha.Pia Wakenya wanajali sana Documentation hakuna mkato lazima ufate taratibu zote ukitaka kuingiza mzigo nchini kwao hakuna shortcut kama ilivyo hapa kwetu.