Bidhaa za Azam hazina ubora wowote hata ufungaji wake haukidhi matakwa ya kimataifa sema tu kwa Tanzania ni jalala la bidhaaa fake fake hakuna noma,wanajamvi mtakubaliana nami kuwa Tanzania ni jalala kila kitu kikikataliwa Kenya kitatupwa Tanzania tuliona na kushuhudia na kusikia kipindi kile kuna Pedi za wanawake almaarufu kama Always hizi zilikuwa hazina viwango na Kenya walisema zinahatarisha afya za wanawake kama watazitumia huenda wakapa madhara kwa sehemu zao za siri wakakataa makonteina yale baada ya siku mbili tatu aaah mbona zilitinga ndani ya Bongo na wakina mama na wadada waliuziwa then baaadae ndio ikajulikana kuwa zilikuwa fake swali nani kazikubalia kuingia nchini sasa ndio sawa na Bidhaa za Azam hata ziwe feki au hazina ubora kwa Tanzania atauza tu na hakuna wa kuzikataa kwani Tanzania maskini hakuna wa kuwatetea wanyonge kila leo utasikia watu wana kansa wakati miaka hiyo tulifahamu kansa ni magonjwa ya kurithi lakini leo hii hata familia haina historia ya magonjwa hayo utasikia kuna mtu ana kansa kumbe ni mijibizaa michafu tuuziwayo lol kwa Afrika Tanzania inajulikana kama nchi inayozoa kila kitu kwani wale jamaa wa viwango wako corrupt ni balaaa kwani tulisoma kwa news mika miwili au mmoja kuwa walicheza movie kama kawaida ya Kibongo bongo kuwa wanayo ofisi kule Korea kumbe ilikuwa hewa hata ile kesi sifahamu iliishaje naona wanakuja na kesi zisizo za msingi kufukia zile za ukweli ama kweli Tanzania kila kitu kinawezekana hata ukitaka Uprofessor kesho tu unapata makaratasi yote.
Mkuu,
Nimeingia katika website ya AZAM JUICES na wanatuhakikishia wanafuata viwango vya ubora si wa Tanzania tu bali pia viwango vya kimataifa katika usindikaji, usafi wa mali ghafi na ufungashaji.
Fruit Processing Division
Bakhresa Food Products Ltd (BFPL) has got state of the art fruit and vegetable processing plant of 150 tons per day capacity from Fratelli Indelicate and FBR-ELPO, Italy to process wide range of locally grown fruits and vegetables that include Mango, Pine Apple, Orange, Guava, Passion fruit, Tomato etc.
At BFPL, the choicest fruits are selected, inspected, sorted, washed and then taken to the ripening chambers where they are ripened in a uniform manner under controlled conditions to maintain the color, flavor and taste. The ripened fruits are then thermally processed and aseptically packed in pre-sterilized high barrier bags to retain the natural taste, flavor, color and aroma of the fruit.
The process of manufacture passes through frequent & stringent quality checks for physical, chemical, organoleptic and microbiological parameters and immediate corrective measures are carried out on detection of variance in parameters. The tests are carried out in the in-house laboratory equipped with the latest facilities to perform all necessary tests.
The fruit pulp produced is packed in aseptic bags of 210 Ltrs, which is further packed in a drum.
The BFPL Fruit juice processing plant is the first indigenous aseptic packing facility for fruit juices in Tanzania. The plant has capacity of packing 41 million liters per annum. The product range includes Apple, Azamto (Black currant fruit juice drink), Mango, Orange, Pineapple, Guava, Mango Orange Guava (mix fruit juice drink) and a blend of Apple and Black currant juice.
This is Tanzanias first food plant certified with ISO 22000 by URS, UK. ISO 22000 includes HACCP. The high quality processing equipment supplied by world renowned manufacturers enables retaining the taste and Aroma of fruits of Tanzania at its best. The process employed ensures best retention of nutrients and originality of the fruit juice. The products are also fortified with Vitamin C (Ascorbic Acid).
Source:
Juices Division | Bakhresa Group
Naamini Bakhresa group of companies suala la ubora wa bidhaa zake hulichukulia kwa uzito maana wana viwanda/kuuza bidhaa Rwanda, Uganda, Mozambique, Malawi na Zambia na zoezi hilo hulifanya mara kadhaa kila baada ya kipindi zikiwemo taasisi kama TBS, ISO n.k naona kufanya zoezi hilo kivyao.
Bakhresa Group - Reaching life
kuhusu suala la baadhi ya watoto kupata matatizo baada ya kunywa juisi, kitu hiki siyo cha ajabu sana maana kuna baadhi ya watu wana aleji za aina mbalimbali mfano aleji ya maziwa ya ng'ombe akinywa maziwa
Milk Allergy Diet
Hivyo mwanaJF yeyote akinywa juisi au maziwa au 'wine' n.k na kupata mtafaruku wa msokoto wa tumbo au aleji basi aende hospitali kwa ushauri ambapo ataelezwa kama ni 'food poisoning au allergy'' n.k
Signs of Food Poisoning: How Do You Know If It's Food Poisoning or a Virus? - Yahoo! Voices - voices.yahoo.com
Ila lazima tukubali Kenya siku zote hutaka kufunika mafanikio ya nchi wanachama wa EAC iwe ktk utalii, bidhaa za viwandani, bidhaa ambazo hazijasindikwa kama maziwa, nafaka n.k.
Ndiyo maana suala zuri likifanyika ktk nyanja yeyote Afrika mashariki(Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi) lakini siyo Kenya wao hupendelea kuitangaza habari hiyo kama EAST AFRICA bila kuitaja nchi husika iliyofanya vizuri kwa jina .
Lakini ikiwa ni jambo zuri lililofanyika Kenya wao huitanguliza KENYA kwa jina na kuifanya Kenya kama EAST AFRICA na EAST AFRICA ndiyo KENYA.
Hawa jamaa zetu wa Kenya ni 'wajivuni kupita kiasi', majungu mtindo mmoja hata kama pembe za ndovu zimepitia Mombasa watasema zote zimetokea TZ hivyo ni lazima tuwadhibiti kwa hoja zenye uthibitisho na siyo kukubali kuwa sisi hatujiwezi.