Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion.

Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika beti kwenye kilimo cha mahindi niliacha biashara ya vyakula nikabakisha mtaji kidogo kwenye uwakala ambao haufiki hata laki 2,
Nilikua naumia sana sometimes hata mteja akija kutoa elf 50 nilikua sina nikapoteza wateja wengi sana kwa kifupi hali ilikua Mbaya.

Mungu akajalia mavuno ya mahindi yakawa si haba,si unaju huku kwetu mavuno ya vuli yanakuaga machache sana na watu wengi walikosa kabisa
Mimi nilipata kama gunia 22.

Kitu nilichoamua kuanza biashara ya unga wa sembe na bei nikaweka tofauti ya TSH 300 na wenzangu, Sasa wateja wote wamehamia kwangu majirani wameninunia bila sababu
Mimi napambana nirudishe mtaji wangu na ni base na uwakala na biashara ya nafaka pekee.

Je nakosea wadau kwa hii promotion ninayofanya, maana wenzangu walipanga kunimaliza kibiashara
 
Price difference pekee haitoshi ww kuendelea kulikamata soko cha muhumu ni kuongeza offer ambazo washindan wako wasiweze kuzitoa mfano kuna bidhaa kwa jumla zinauzwa rahisi sana mteja anaweza nunua unga KG 1 ww ukamuongeza na kiberiti, au nyanya kdg au bidhaa yoyote ambayo haitokuwa na hasara kwako bali itakuwa na faida kwa mteja.
Hakikisha unauza +offer ambazo zitawavuta wateja kwa wingi, au mteja akinunua kg5 kwa pamoja unampa kg moja bure but haiwi bure inakuwa well calculated
 
Price difference pekee haitoshi ww kuendelea kulikamata soko cha muhumu ni kuongeza offer ambazo washindan wako wasiweze kuzitoa mfano kuna bidhaa kwa jumla zinauzwa rahisi sana mteja anaweza nunua unga KG 1 ww ukamuongeza na kiberiti, au nyanya kdg au bidhaa yoyote ambayo haitokuwa na hasara kwako bali itakuwa na faida kwa mteja
Nzuri sana hii, wateja wanaridhika na kitu kidogo sana.. pia mshauri aongeze pia na ulinzi wa kiroho
 
Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion, Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika beti kwenye kilimo cha mahindi niliacha biashara ya vyakula nikabakisha mtaji kidogo kwenye uwakala ambao haufiki hata laki 2,
Nilikua naumia sana sometimes hata mteja akija kutoa elf 50 nilikua sina nikapoteza wateja wengi sana kwa kifupi hali ilikua Mbaya
Mungu akajalia mavuno ya mahindi yakawa si haba,si unaju huku kwetu mavuno ya vuli yanakuaga machache sana na watu wengi walikosa kabisa
Mimi nilipata kama gunia 22
Kitu nilichoamua kuanza biashara ya unga wa sembe na bei nikaweka tofauti ya TSH 300 na wenzangu, Sasa wateja wote wamehamia kwangu majirani wameninunia bila sababu
Mimi napambana nirudishe mtaji wangu na ni base na uwakala na biashara ya nafaka pekee,
Je nakosea wadau kwa hii promotion ninayofanya, maana wenzangu walipanga kunimaliza kibiashara
Songa mbele,mkabidhi Mungu mapito Yako!
 
Price difference pekee haitoshi ww kuendelea kulikamata soko cha muhumu ni kuongeza offer ambazo washindan wako wasiweze kuzitoa mfano kuna bidhaa kwa jumla zinauzwa rahisi sana mteja anaweza nunua unga KG 1 ww ukamuongeza na kiberiti, au nyanya kdg au bidhaa yoyote ambayo haitokuwa na hasara kwako bali itakuwa na faida kwa mteja.
Hakikisha unauza +offer ambazo zitawavuta wateja kwa wingi, au mteja akinunua kg5 kwa pamoja unampa kg moja bure but haiwi bure inakuwa well calculated
Hizo nyanya yeye anapewa bure?
 
Mimi nilipata kama gunia 22
Kitu nilichoamua kuanza biashara ya unga wa sembe na bei nikaweka tofauti ya TSH 300 na wenzangu, Sasa wateja wote wamehamia kwangu majirani wameninunia bila sababu
Mimi napambana nirudishe mtaji wangu na ni base na uwakala na biashara ya nafaka pekee,
Je nakosea wadau kwa hii promotion ninayofanya, maana wenzangu walipanga kunimaliza kibiashara

Hao washindani wako kwanini wasinunue unga wako wote kwako, halafu wakaendelea kuuza kwa bei yao ya faida ya 300 kwa kilo?

Magunia 22 sio mengi kuyanunua yote. Sidhani hata huko wanapopata wanapata kwahiyo bei.
 
Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion, Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika beti kwenye kilimo cha mahindi niliacha biashara ya vyakula nikabakisha mtaji kidogo kwenye uwakala ambao haufiki hata laki 2,
Nilikua naumia sana sometimes hata mteja akija kutoa elf 50 nilikua sina nikapoteza wateja wengi sana kwa kifupi hali ilikua Mbaya
Mungu akajalia mavuno ya mahindi yakawa si haba,si unaju huku kwetu mavuno ya vuli yanakuaga machache sana na watu wengi walikosa kabisa
Mimi nilipata kama gunia 22
Kitu nilichoamua kuanza biashara ya unga wa sembe na bei nikaweka tofauti ya TSH 300 na wenzangu, Sasa wateja wote wamehamia kwangu majirani wameninunia bila sababu
Mimi napambana nirudishe mtaji wangu na ni base na uwakala na biashara ya nafaka pekee,
Je nakosea wadau kwa hii promotion ninayofanya, maana wenzangu walipanga kunimaliza kibiashara
Sasa wao ndio walianzisha ligi ,ilibidi mshikamane muuze bei sawa ,kila mtu na ridhiki yake. biashara ndio ilivo hujafanya kosa
 
Jias
Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion, Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika beti kwenye kilimo cha mahindi niliacha biashara ya vyakula nikabakisha mtaji kidogo kwenye uwakala ambao haufiki hata laki 2,
Nilikua naumia sana sometimes hata mteja akija kutoa elf 50 nilikua sina nikapoteza wateja wengi sana kwa kifupi hali ilikua Mbaya
Mungu akajalia mavuno ya mahindi yakawa si haba,si unaju huku kwetu mavuno ya vuli yanakuaga machache sana na watu wengi walikosa kabisa
Mimi nilipata kama gunia 22
Kitu nilichoamua kuanza biashara ya unga wa sembe na bei nikaweka tofauti ya TSH 300 na wenzangu, Sasa wateja wote wamehamia kwangu majirani wameninunia bila sababu
Mimi napambana nirudishe mtaji wangu na ni base na uwakala na biashara ya nafaka pekee,
Je nakosea wadau kwa hii promotion ninayofanya, maana wenzangu walipanga kunimaliza kibiashara
Biashaea za kuigana lazima vita iwe ngumu, na asilimia 99.9 ya Wabongo ni biashara za kuigana tu, copy and paste
 
Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion.

Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika beti kwenye kilimo cha mahindi niliacha biashara ya vyakula nikabakisha mtaji kidogo kwenye uwakala ambao haufiki hata laki 2,
Nilikua naumia sana sometimes hata mteja akija kutoa elf 50 nilikua sina nikapoteza wateja wengi sana kwa kifupi hali ilikua Mbaya.

Mungu akajalia mavuno ya mahindi yakawa si haba,si unaju huku kwetu mavuno ya vuli yanakuaga machache sana na watu wengi walikosa kabisa
Mimi nilipata kama gunia 22.

Kitu nilichoamua kuanza biashara ya unga wa sembe na bei nikaweka tofauti ya TSH 300 na wenzangu, Sasa wateja wote wamehamia kwangu majirani wameninunia bila sababu
Mimi napambana nirudishe mtaji wangu na ni base na uwakala na biashara ya nafaka pekee.

Je nakosea wadau kwa hii promotion ninayofanya, maana wenzangu walipanga kunimaliza kibiashara
Kama hauvunji sheria ww uza bei unayotaka
 
Usiache kumuomba Mungu sana usiache kuwaombea na washindani wako nao wafanikiwe utabarikiwa sana sio mipango ya Mungu watu wengine wafanikiwe wengine washindwe
Mungu anataka wacha mungu siyo omba omba labda umedanganywa makanisani na misikitini kuwa kumuomba mungu ni sawa na kumcha mungu.
 
Back
Top Bottom