Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

Biashara sio uchawi
Biashara sio ushindani wa namja hiyo wa kutoa ofa za promotion.

Biashara ni jinsi gani una communicate na wateja wako.

Kuna watu wanafuatwa mbali kutokana na huduma zao.
Ili uteke wateja jifunze sana kuwa mkarimu, mcheshi cha mwisho despline...

Ukiishi na jamii inayokuzunguka vizuri basi jua ushamaliza kila kitu.
Hata kam kuna watu walipanga kukufanyia vitu vibaya utakuta wanaokukingia kifua ni hao hao majirani.

Kuna watu wapo radhi kukulinda wewe ili uwendelee kuwapa huduma..

Hivyo kama kuna ushindani wa namna hiyo jiulize ulikua unaishi vipi na hao wateja zako ...

Biashara ina mengi sana
 
Hao washindani wako wauzie kwa Bei ya jumla halafu mkubaliane Bei ya rejareja
 
Bakhresa,Mo dewji,GSM wote wana biashara ya kuuza maji ya kunywa ila matajiri huwa wana muafaka wa bei huwezi kukuza maji ya chupa ya lita moja yanauzwa kwa sh 200 hata siku moja....Wameweka bei yao ni 500 kisha wanashindana sokoni kupitia advertisement na distribution kupeleka hadi mikoani huko na nchi za nje.

Wote wanauza na wanaendelea kutajirika ila masikini huwa wanashindana kushusha bei ya bidhaa sokoni mwisho wa siku biashara zao zote zinakufa
 
Biashara haitaki unyonge, safi sana kwa kuwarudia kwa kishindo..!!
 
Back
Top Bottom