Vita ya Burudani Clouds tigo Fiesta2018 Vs EFM Mziki mnene2018

Tofauti ipo kubwa sana, clouds wanatoa burudani na kuingiza pesa, E FM wanatoa burudani bure wakiaminishwa na RAFIKI yao kuwa wataiua clouds, yaani Hapo ni Bashite na Ruge kwenye tasnia ya burudani. E FM watafeli tu ,
ni suala la mikakati tu, kila mtu ana lengo lake... unahisi Clouds kutoza pesa kwenye Tamasha lao huwa inawalipa..?
 
ni suala la mikakati tu, kila mtu ana lengo lake... unahisi Clouds kutoza pesa kwenye Tamasha lao huwa inawalipa..?
Sasa kama haiwalipi wanafanya la nini??...pesa wanapata pia kutoka kwa wadhamini...
 
Sasa kama haiwalipi wanafanya la nini??...pesa wanapata pia kutoka kwa wadhamini...
Kuna Clouds, Kuna Prime time promotion kama muandaaji,

(Sasa kama haiwalipi wanafanya la nini??) hili swali ulishajiuliza kwa EFM japo kuna wadhamini kama BIKO, HALOTEL na BULL CONDOM..

Inabidi kufahamu kwanza lengo la kuanzishwa kwa hilo Tamasha kama ni kupata kipato au Milage na kuweka mashabiki karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…