Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Nenda kaitafsiri IranSijaielewa lugha yako. Hata google amekataa kuitafsiri.
Mnaangaika na waarabu alafu, misaaada kwa wayahudi wa Marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kaitafsiri IranSijaielewa lugha yako. Hata google amekataa kuitafsiri.
Mazayuni wamesalimu amri na mateka wameshaanza kubadilishana mateka kwa awamu ya kwanza na mapigano ya mesitishwa ghafla.
View: https://youtu.be/90SYtbCFhEY?si=NPHF_55HMs-H5Giw
Inaonsha kuna makubaliano ya siri ili mazayuni wagfiche sura zao. Kwani hakuna walichofanikiwa. Hams wapo na ndiyo wanaingia kwenye mapatano na makabidhiano ya mateka.
Mazayuni chali.
Iran inaenda kuwa na nguvu kubwa mashariki ya kati kama marekani na west hawajafanya kitu kuizuia. Maana hao wote wanaisikiliza Iran na bado huko Iraq na Syria wanatengeneza makundi mengineIr an mjanja sana, kajitengenezea majeshi yake, na anawaza mbele zaidi hamas, hizbollah, houth siku moja israel itapigwa kutokea pande zote itashindwa wapi ijilinde na wapi iache
Kuna tatizo kwani kwa Hilo!!?..Iran inaenda kuwa na nguvu kubwa mashariki ya kati kama marekani na west hawajafanya kitu kuizuia. Maana hao wote wanaisikiliza Iran na bado huko Iraq na Syria wanatengeneza makundi mengine
Siyo unakiona, unaweaz kuchezewa kiini macho AI kijinga kabisa, kinachoongelewa hapo na uwe unafatilia habari za Kimataifa ndiyo muhimu.We umeona kuna mateka hapo? Nimeangalia hiyo clip yote! Wavaa madera... dah propaganda nyingi...
Uhai wa mtu haufananishwi na kitu chochote.Hivi unajua gaza hua inajengwa tena na jumuiya ya kimataifa kama fidia na israel pesa hua inamtoka, halafu pesa za mafuta zinamiminika pale kutoka dunia ya kiarabu chap miundombinu miaka sio mingi wanakua poa napenda msimamo wao wa kutetea ardhi yao
Misaada inatoka QATAR,KUWAIT,EGYPT usitake kutudanganya.Nenda kaitafsiri Iran
Mnaangaika na waarabu alafu, misaaada kwa wayahudi wa Marekani
Lgbtq+ wa usrahell kusalimu amri kwa waarabu mbona kawaidaHuyu mwanamke ni muongo ni hakuna mfano, yaani Israel isalimu amri kwa mwarabu..!! Labda Israel ya Maneromango.
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Haijawahi kutokea na haitakaa itokee kwa Israel ya mashariki ya kati kusalimu amri kwa waarabu labda Israel ya Maji Matitu.Lgbtq+ wa usrahell kusalimu amri kwa waarabu mbona kawaida
Mazayuni wamesalimu amri na mateka wameshaanza kubadilishana mateka kwa awamu ya kwanza na mapigano ya mesitishwa ghafla.
View: https://youtu.be/90SYtbCFhEY?si=NPHF_55HMs-H5Giw
Inaonsha kuna makubaliano ya siri ili mazayuni wagfiche sura zao. Kwani hakuna walichofanikiwa. Hams wapo na ndiyo wanaingia kwenye mapatano na makabidhiano ya mateka.
Mazayuni chali.
Mazayuni wamesalimu amri na mateka wameshaanza kubadilishana mateka kwa awamu ya kwanza na mapigano ya mesitishwa ghafla.
View: https://youtu.be/90SYtbCFhEY?si=NPHF_55HMs-H5Giw
Inaonsha kuna makubaliano ya siri ili mazayuni wagfiche sura zao. Kwani hakuna walichofanikiwa. Hams wapo na ndiyo wanaingia kwenye mapatano na makabidhiano ya mateka.
Mazayuni chali.
Mazayuni wamesalimu amri na mateka wameshaanza kubadilishana mateka kwa awamu ya kwanza na mapigano ya mesitishwa ghafla.
View: https://youtu.be/90SYtbCFhEY?si=NPHF_55HMs-H5Giw
Inaonsha kuna makubaliano ya siri ili mazayuni wagfiche sura zao. Kwani hakuna walichofanikiwa. Hams wapo na ndiyo wanaingia kwenye mapatano na makabidhiano ya mateka.
Mazayuni chali.
Kwanini waislamu ni watu waongo sana? Au mtume wenu mohamad alisema woman have half brain alikuwa yupo sawa
Wewe hata ukibadili ID unajulikana kwa uongo.Ulishasema IDF wameuliwa wote wameisha iweje tena wapo na wanaona aibu.. ? And aliyeomba po ni Hamas baada ya kuondosha kipendere cha Israel asiendelee kuwaua baada ya kubadilishana mateka...
Ila sishangai hata Jordans wana sherehe kila mwaka ushindi wa kupoteza Jerusalem... Muslim vita yeyote anasema ameshinda hata Afghanistan wanasema walishinda hahaha
Mazayuni wamesalimu amri na mateka wameshaanza kubadilishana mateka kwa awamu ya kwanza na mapigano ya mesitishwa ghafla.
View: https://youtu.be/90SYtbCFhEY?si=NPHF_55HMs-H5Giw
Inaonsha kuna makubaliano ya siri ili mazayuni wagfiche sura zao. Kwani hakuna walichofanikiwa. Hams wapo na ndiyo wanaingia kwenye mapatano na makabidhiano ya mateka.
Mazayuni chali.
Am not a muslim so sidanganyi na ikitokea nimedanganya nasisimka kwa uoga.. and natubu haraka nyie Allah kawajaalia kuongopa kwa kupitiliza.. ndio mnaogopa kuacha uuongo ili Allah asiwa replace na watu wanaotenda dhambi so unajitahidi haswa ufanye madhambi...Wewe hata ukibadili ID unajulikana kwa uongo.