Vita ya Ghaza imesimamishwa kimya kimya

Hakuna authetic hadeeth duniani isipokuwa Qur'an pekee, kwanza kusema hadeeth halafu ukasema "authentic" ni contradictory.

mada hapa ni mazayuni na Hamas, siyo Uislam na uongo wako.

maandamno umesalimika kwenu huko?
 
Gaza sio Ghaza,
Inaonesha sio inaonsha.
Wangeficha sio wagficha
 
Ir an mjanja sana, kajitengenezea majeshi yake, na anawaza mbele zaidi hamas, hizbollah, houth siku moja israel itapigwa kutokea pande zote itashindwa wapi ijilinde na wapi iache
Unadhanai israel hawajui, tokea walishawahi kupigwa mtungo before, wakijifunza waka adopt, one thing about israel huwa wanajufunza all the time halaf wana adopt na kujiandaa for future war
 
Mzayuni kaingiwa huruma???

Mamaaa...! Hao jama siyo wa kujaribu, huwa wanafyeka kila kitu, wakati wewe ukishangaa watoto kuuliwa na Mazayuni, wanyama nao walikuwa wakila shaba!

Zayuni taifa la majayanti hawana cha mswalie mtume wale

Washukuru hizo huruma zilizompata Netanyahu
 
Hakuna authetic hadeeth duniani isipokuwa Qur'an pekee, kwanza kusema hadeeth halafu ukasema "authentic" ni contradictory.

mada hapa ni mazayuni na Hamas, siyo Uislam na uongo wako.

maandamno umesalimika kwenu huko?
This am getting from Islamic source ... so are you admit Muslims lies in everything they said.. I agreed with you sasa niambie what is the purposes of your Allah to create you and jinn...

NETANYAHU keshasema mazungumzo sawa ila vita iendelee hadi ushindi we don't need Hamas or Islamic jihad in Israel Gaza..

Maandamano ya wapi? Unauliza kama nimepona? Half brain wewe
 
Mbona hujaweka video za Hamas za October 7.. au umeaahau? Nikukumbushe dhambi ile adhabu yake ndio hizo video zako za kuedit edit.. janja yenu na aljazeera kuhadaa dunia imefail kwa uongo mkuu.. deal lenu ni kuharibu image ya israel worldwide but mmefail.. mlichobakiza ni kuongea uongo kuwa mmeshinda vita.. hahahaha
 
Huyu mwanamke ni muongo ni hakuna mfano, yaani Israel isalimu amri kwa mwarabu..!! Labda Israel ya Maneromango.

Wameshapoteana wenyewe kwa wenyewe hawaelewani hapo mgambo wa hamas tu, wakienda kwa hezbollah si wataita maji mma
 

Attachments

  • Screenshot_20240706-181755_Chrome.jpg
    389.5 KB · Views: 2
Unataka Oktoba 7, hii hapa:


View: https://youtu.be/kkVg8BHfdxQ?si=hwzH_O5LC1zVOm5l
 
Unajifanya hujuwi maandamano ya wapi? kwenu umepasahau?
 
Weka video za Hamas za kuua raia wazee , wanawake na watoto wasio na hatia kwa jina la Allah na Akbar na sio za propaganda zetu masjidini bila kusahau video clip ya Joshua Mollel be honestly au na wewe usha qualified and umebecome totally evil so that you will be enter to peponi kwa Allah na utapewa rank kubwa... tatizo utapata huna ahadi uliyoandaliwa huko according to quran au mtapeana 73 Virginity boys?
 
Unajifanya hujuwi maandamano ya wapi? kwenu umepasahau?
I don't know what are you talking about... Au umemiss mihogo na juice ya ukwaju ya baharia pale lumumba uwanja wa shule ya mnazi mmoja. So umechamganyikiwa unataka kunivua uraia...

Muslims mnaongoza kwa ki accusations.. ndio Netanyahu anawafahamu vizuri ndio maana kichapo tu... hivi zile accusations za mabucha ya nguruwe mlitaka nini haswa? Maana kichapo mlikula Mkumbushe mazinge taperi lenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…