Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.

Lissu.jpg

Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
 
Fanya survey hapo mtaani kwako hata wayu kumi tu utabaini ni wangapi watapiga kura.

Utaweza kuwazuia watu wasiandamane lakini hutaweza kuwalazimisha kupiga kura.

Watanzania hawana imani tena na hii tume. Unapigwa na jua huku mwingine anajitapa kushinda uchaguzi haitegemei kura yako bali nani atahesabu.

I think people are no longer stupid.
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Hawezi kujitafakari kwa sababu ni "akida bora mimi"....ni mbishi ,mkaidi na king'ang'anizi.....

Tundu Lissu si mwanasiasa mzuri....siasa inahitaji sana diplomasia....

Tundu Lissu haamini katika 10 D's ?!!

Hajifunzi kutoka kwa mh.Rais Trump anavyozicheza kete zake(kuwasideline EU juu ya kadhia ya Ukraine)?!!

Alivyo wa ajabu ,amesahau ile siku aliyoitisha maandamano kususia matokeo ya uchaguzi....pale ubungo nani ALIJITOKEZA zaidi ya kujaa askari polisi FFU waliokuwa wanahanikiza zile nyimbo zao "mchumbaaaa yuko wapi mchuuumbaaaa ,mchumbaaa mbona hutokei mchumbaaa haha ha ha).

Watanzania hatuna utaratibu wa maandamano ya akina ROBERT AMSTERDAM......

#Nchi kwanza!
 
Fanya survey hapo mtaani kwako hata wayu kumi tu utabaini ni wangapi watapiga kura.

Utaweza kuwazuia watu wasiandamane lakini hutaweza kuwalazimisha kupiga kura.

Watanzania hawana imani tena na hii tume. Unapigwa na jua huku mwingine anajitapa kushinda uchaguzi haitegemei kura yako bali nani atahesabu.

I think people are no longer stupid.

Hata CHADEMA na watu ambao hawana vyama wote wakisema hawaendi kupiga kura mamilioni ya wanachama wa CCM wataenda kupiga kura na uchaguzi UTAFANYIKA kwa sababu CCM bado wana millions of wanachama.

Kwa hiyo haitabadilisha kitu

Hivi unadhania watu kama kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah wako wangapi kwenye nchi hii?
 
Hatutegemei sana Watanzania, ila Dunia itazuia,
Ha ha ha ha ha

EU na Brussels wanapambana na "25% tarrifs imposed by Trump's regime"...

EU na Brussels wako msibani kuomboleza kutengwa na Trump katika mazungumzo kuhusu Ukraine......

Trump hana mpango na siasa koko za vyama vya upinzani huku Afrika......

Kula chuma hiyo weee chawa konki wa Mh.Mbowe.....ha ha ha
 
Mabadiliko ni lazima. Ni kama maji ya maguriko huwezi yazuia. Hebu fikiria Treni tuliazia wapi? Engine ya makaa ya mawe, diesel na sasa hivi umeme. Hili kisayansi unafahamu ubongo wa binadamu unahitaji nn.

CCM ni sawa na engine ya makaa ya mawe kwa sasa na ndiyo maana wakaona bado Wasira atawaletea mabadiliko. Wenye akili watanielewa.
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Mroho wa madaraka.
 
Nakunong'oneza hili jambo halikuja kibwege, mpango huu ni kabambe na umepangwa vema
Trump hajali siasa koko za wapinzani huku Afrika......

Kila mtu apambane na hali yake....hizi nchi hazina WAJOMBA ng'ambo.....

Kitisho chao juu ya demokrasia kilikuwa kupitia USAID....sasa "mbaazi" tutapewa na WACHINA....

Kula chuma hiyo wewe chawa konki wa mh.Mbowe.....
 
Mabadiliko ni lazima. Ni kama maji ya maguriko huwezi yazuia. Hebu fikiria Treni tuliazia wapi? Engine ya makaa ya mawe, diesel na sasa hivi umeme. Hili kisayansi unafahamu ubongo wa binadamu unahitaji nn.

CCM ni sawa na engine ya makaa ya mawe kwa sasa na ndiyo maana wakaona bado Wasira atawaletea mabadiliko. Wenye akili watanielewa.
Jidanganye.....

Nilimsikia mh.Katibu John Mnyika akisoma mapendekezo ya kuibadilisha katiba ya CDM....kipengele cha chaguzi za ndani ,wawahi kuchaguana kabla ya mwaka wa uchaguzi mkuu wa taifa ....leo hii mnapambana na wenzenu wanaosubiri tu ifike Oktoba mama ajizolee ushindi wa KISULISULI....

Kazi mnayo ha ha ha
 
Hawezi kujitafakari kwa sababu ni "akida bora mimi"....ni mbishi ,mkaidi na king'ang'anizi.....

Tundu Lissu si mwanasiasa mzuri....siasa inahitaji sana diplomasia....

Tundu Lissu haamini katika 10 D's ?!!

Hajifunzi kutoka kwa mh.Rais Trump anavyozicheza kete zake(kuwasideline EU juu ya kadhia ya Ukraine)?!!

Alivyo wa ajabu ,amesahau ile siku aliyoitisha maandamano kususia matokeo ya uchaguzi....pale ubungo nani ALIJITOKEZA zaidi ya kujaa askari polisi FFU waliokuwa wanahanikiza zile nyimbo zao "mchumbaaaa yuko wapi mchuuumbaaaa ,mchumbaaa mbona hutokei mchumbaaa haha ha ha).

Watanzania hatuna utaratibu wa maandamano ya akina ROBERT AMSTERDAM......

#Nchi kwanza!

Kama anategemea tu maandamano abadilishe plan haraka sana.

Asitegemee watanzania ambao walichagua monopartism over multipartism wakai-pressure CCM kubadilisha sheria kandamizi za Uchaguzi
 
No Reforms No Erections.


wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?
Wangefanyaje Mind you?
hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video?
😬
#######
yani kulikuwa hamna video hata picha moja?
 
Back
Top Bottom