Tatizo lilianza ulipomzungusha miezi mingi mtu ambaye una mpango wa kumkubalia. Mara nyingi wakizungushwa sana wanakata tamaa ila wanazuga zuga wakumege kwanza waone kama kuna maajabu.amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli)
HAta nyie mnazngua tena huenda ikawa zaidi mie kuna mmoja nampigia simu jibu alilonipa dahHey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
Mzuwanda huyo.Hey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
JamiiForums tupo kusomaHey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
Miezi 3 yote iyo anatafuta nn??...Ila Mapenzi ya kitoto raha sanaHey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni text zake wala call zake, zimepita wiki mbili sasa yupo kmya, wiki iliyoisha nimemtext kumpa HI plus kuomba msamaha kwa kitu hata sijui nilichotenda amejibu shortcut sana hadi nikajisikia vibaya.
Sasa na mimi niliamua kukaa kmya leo naona text yake "hey i mic you"
Wanaume mnazingua
Kuna watu wana mambo ya muhimu zaidi kufikiria kuliko drama za wanawake mzee. Sio kila mwanaume ni pussy driven.Mwanaume una zila kama dem
Unakuta msamaha wenyewe anaomba na vichapo juu utasikia "leo kazi ya kubembeleza ninayo, haya basi samahani". Halafu anataka asamehewe hapo hapoHapo sasa, kwanini akosee halafu ajione yeye ndo ana haki tena? msamaha unaenda na unyenyekevu eboo
Ongezea ni hii,I miss you,why unanitesa lakini huku unasonya,maisha bila unafiki hayaendiSasa umenuniana na mmoja unatujumuisha na wote, sema mmezinguana, kwahiyo ulitegemea ulichomkosea ukiomba msamaha tu akukubalie chap chap? Ulitakiwa upate joto la jiwe hebu mjibu "I miss you too" muendelee mlipoishia
hahaha, mwanetu anamchanganya WowgirlUtoto raha sana.