Vita ya kugombea mali za aliyekuwa Mchungaji, Marehemu Getrude Rwakatare sasa imeshika kasi

Na usishangae nyuma ya hawa vijana kuna pisi kali zinachochea mali ziuzwe, mali zikikauka vijana watakuta wamezeeka bila mke wala Mali.
 
Utajiri level ya mama wakatare. Ni wa kugombea mali kweli

Yaani watoto tumbo moja na baba mmoja bado mnagombea mali za mabilioni.

Yaani hata mgawane vipi bado kila mtu ana qualify kuwa bilionea ila bado mnagombana tu.

Wahindi na waarabu wanatumia ujanja gani kumudu mirathi kwa amani
 
Utajiri level ya mama wakatare. Ni wa kugombea mali kweli

Yaani watoto tumbo moja na baba mmoja bado mnagombea mali za mabilioni.

Yaani hata mgawane vipi bado kila mtu ana qualify kuwa bilionea ila bado mnagombana tu.

Wahindi na waarabu
Inategemea Mali ilipatikana vp?

Ova
 
Tukawaulize Kakobe, Lusekelo, Mwingira na Gwajima wamejipangaje kurithisha mali kwa kanisa na si kwa familia.
 
"Kifo na kiheshimiwe unajitaabisha wee kukusanya kwa jasho nguvu nyingi zikiwemo za giza lakini mwishowe ni umauti na kusahaulika tu"
What's the meanings of life? Where are we going after death?, which are the target of living hood?.....
°sometimes wealth can be useless, over "Holy death"
Na ndio maana nchini spain ipo mila inakabudu kifo as holy death.
 
Kosa la mama Rwakatare ni kutowaarithisha watoto wake maadili mema na upendo ndio maana yote haya yanatokea.
 
Urithi mzuri usio na migogoro kwa sasa ni PESA tu. Ukiondoka watoto wanapigiana pasu, kila mtu anatawanyika. Lakini miundombinu? Watagombana tu; mara, ooh, mimi nyumba niliyogawiwa ni mbaya, n.k.
 
Hizo mbn chache Sana itakuwa vijana wa Mama Rwakatare hawajitambui sijui kwakuwa wako CCM
 
Mitoto yote minne ya Marehemu Getrude Lwakatare ni ya hovyo mno. Hivi bado kanisa lipo? Hizo Mali zitapukutika kama maua. Na Kwa kuwa ni mivivu siyo wawekezaji watakuwa maskini wa kutupwa.
 
Mitoto yote minne ya Marehemu Getrude Lwakatare ni ya hovyo mno. Hivi bado kanisa lipo? Hizo Mali zitapukutika kama maua. Na Kwa kuwa ni mivivu siyo wawekezaji watakuwa maskini wa kutupwa.
Mkuu labda ndo masharti wanayopewa wakienda kutafuta uchungaji wao huko Nigeria..
 
Mkuu labda ndo masharti wanayopewa wakienda kutafuta uchungaji wao huko Nigeria..

Wakristo matajiri wanakosea sana kulea watoto kwenye mambo ya mali

Hata wakiwa tumbo moja bado wanagombania mali.

Tazama matajiri wa kiislam wakifariki mifarakano hakuna.

Kafa baba wa gsm kimyaa.. kafa sumry kimyaa.. kafa patel kimyaa.. kafa zakaria kimyaaa.. kafa ali mafuruki kimyaaa husikii familia zikigombea mali.

Ila wakristo kafa mengii mgogoro, kafa lwakatare mgogoro, kafa bilionea msuya mgogoro mpaka wanachinjaaana mtu na wifi yake... yaani balaa tupu
 
Mara nyingi misiba ya waislamu huwa wanatumia sheria za mirathi za kiislamu katika kugawa mali.. Sasa shida ni kwamba hakuna sheria za mirathi za wakristo.. wanatumia sheria za kiserikali ambazo zinakaribisha magomvi mengi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…