wasumu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 2,271
- 2,065
Wandugu wote tunashabikia vita ndio ila madhara ya vita ni zaidi ya tujuavyo sisi kimwili na kiroho.
Wewe Muislam mimi Mkristo hatupendani hakika nasema kuwa kuna vita inakuja kumaliza vita vyote na vita hii sio ya ma bomu au nyuklia ila ni vita ya Jehovah God and christ.
Tungekuwa tunajua hili wala tusingekuwa na chuki dhidi yetu ila tupo busy kufukuzana na panya wakati Nyumba inaungua.
Tazama na uangalie yanayokuka a great calamity upon earth hakuna atakayebeba bunduki wala kubeba wala kurusha nyuklia hakuna serikali duniani itaweza hakuna majeshi yatasimama
Kwa nini tusipendane kwa nini tuuane kwa nini
Wewe Muislam mimi Mkristo hatupendani hakika nasema kuwa kuna vita inakuja kumaliza vita vyote na vita hii sio ya ma bomu au nyuklia ila ni vita ya Jehovah God and christ.
Tungekuwa tunajua hili wala tusingekuwa na chuki dhidi yetu ila tupo busy kufukuzana na panya wakati Nyumba inaungua.
Tazama na uangalie yanayokuka a great calamity upon earth hakuna atakayebeba bunduki wala kubeba wala kurusha nyuklia hakuna serikali duniani itaweza hakuna majeshi yatasimama
Kwa nini tusipendane kwa nini tuuane kwa nini