Vita ya mwanafunzi na Mwalimu

LENGISHO

Senior Member
Joined
Sep 15, 2017
Posts
169
Reaction score
265
Huyu mwalimu kakomolewa kweli
Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!* *Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.* *_Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE._* *Mwalimu alisonya na kuondoka.* *Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa* *Mniache Tuu Mimi Sio Kwa Bifu Ilo Aiseee*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…