Vita ya mwanafunzi na Mwalimu

Vita ya mwanafunzi na Mwalimu

LENGISHO

Senior Member
Joined
Sep 15, 2017
Posts
169
Reaction score
265
Huyu mwalimu kakomolewa kweli
1f602.png
1f447.png
2714.png

Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!* *Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.* *_Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE._* *Mwalimu alisonya na kuondoka.*
1f60f.png
1f60f.png
1f60f.png
1f612.png
1f612.png
*Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa*
1f602.png
1f602.png
1f605.png
1f64c_1f3fd.png
1f64c_1f3fd.png
*Mniache Tuu Mimi Sio Kwa Bifu Ilo Aiseee*
1f3c3_1f3fe_200d_2642.png
 
Back
Top Bottom