holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Mambo vipi ndugu zangu wapenda mchezo wa soka? Wakati timu zikichuana kuwania ubingwa na zingine zikipambana zisishuke daraja, kumeibuka vita nyingine ndogo ya kuwania ufungaji bora, mpambano ni mkali mno 1. CLEMENT MZIZE GOALS 9
2. Rupia 8
3. Ateba GOALS 8
4. PACOME GOALS 7
5. AHOUA GOALS 7
6. PRINCE GOALS 7
na wengine wanachuana vikali kuwania kiatu hicho cha dhahabu. Nani ataibuka mshindi? Apdates zinahitajika hapa mpaka mwisho wa msimu.
2. Rupia 8
3. Ateba GOALS 8
4. PACOME GOALS 7
5. AHOUA GOALS 7
6. PRINCE GOALS 7
na wengine wanachuana vikali kuwania kiatu hicho cha dhahabu. Nani ataibuka mshindi? Apdates zinahitajika hapa mpaka mwisho wa msimu.